Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi wa Mkutano wa TAWIRI, Dec 6-8

Kiongozi wa watu wote ukimbinafsisha na kuwa wa chama chako tu hicho ndicho utakipata, usimlaumu mtu jilaimu mwenyewe.
Utakipata nini kwani huyu baba amefanyaje?.Tangu magufuli amtoe kwny oksijeni kuja kuongea na vyombo vya habari sitakaa nisahau niliumia sana...ile video ni mbaya mno..so sisi tunamuombea afya njema Maombi mabaya juu yake yasifanikiwe...
 
Sisi wengine siyo watu tunaopenda kuzunguzunguka, bali hupenda mambo yaliyonyoka.

Ni ukweli kuwa kumekuwa na tetesi kuwa Makamu wa Rais anaumwa sana, na wengine kusema ameenda nje ya nchi kutibiwa. Lakini baadaye Waziri Mkuu akasema kuwa Makamu wa Rais yupo Marekani kwa shughuli za kikazi. Taarifa ambayo ilitiliwa mashaka na wengi.

Na sisi wengine tulihoji, kama kweli Makamu wa Rais anaumwa kwa nini umma usiambiwe? Maana kuugua kwa mwanadamu ni jambo la kawaida, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kusema kuwa yeye hawezi kuugua au hataugua. Ni sawa tu na kifo. Kama mtu anaumwa, kwa nini usisemwe ukweli? Hivi unajisikiaje mtu akikuficha kukudanganya juu ya habari ya kuugua kwa ndugu au rafiki yako? Kiongpzi wa nchi, katika ngazi ya Taifa ni kama kiongozi wa familia, katika ngazi ya familia. Kama kweli kiongozi wa familia anaumwa, kwa nini wanafamilia wasiambiwe ukweli? Waliokuwa wanahoji ili kuupata ukweli wana kosa gani?

Kuna watu, ambao mimi nawaita ni wajinga, wakageuza habari na kusema kuwa wanauuliza kupata uhakika juu ya taarifa za kuwa Makamu wa Rais anaumwa, eti wanamwombea mabaya Makamu wa Rais!

Huu ni uwongo mkubwa. Ni kutaka kupeleka ujumbe wa uwongo hata kwa Makamu wa Rais mwenyewe kuonesha kuwa kuna watu wanamchukia kiasi cha kumwombea mabaya. Jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Mimi binafsi naamini kuwa Makamu wa Rais Dr. Mpango ni kati ya watu wanaoweza kuwa na maadui wachache sana, kama wapo. Dr. Mpango, hata ukiacha masuala ya uongozi, kwa hulka yake binafsi, ni mtu asiye na makuu, tena anayeamini, mtu kuwa kiongozi hakujabadilisha ubinadamu wake. Mtu wa namna hii, watu wamwombee mabaya kwa sababu gani?

Tumesikia Makamu wa Rais, Dr. Mpango atakuwa mgeni Rasmi leo kwenye tukio moja huko Arusha. Kama alikuwa anaumwa na sasa amepona, au amepata nafuu, au hakuwa anaumwa, naamini ni habari njema kwetu sote.

Tunajua Dr. Mpango alipitia changamoto kubwa ya kiafya wakati wa covid 19, tena wakati wa kipindi kigumu, tulichoshuhudia kuondoka kwa viongozi wengi wakubwa na baadhi ya jamaa zetu, lakini Mungu alimnusuru Dr. Mpango. Basi kwa huruma na mapenzi yake Mungu wetu wa rehema, azidi kumjalia afya njema na maisha ya furaha na amani.
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.

View attachment 2834215
Watakua wameogopa na kumtoa mafichoni? Unajua kiongozi mtindo wa magufuli fisadi wanaweza kumkaba juu kwa juu kwenye maikulu yao akaishia.
Wananchi tuko macho msifikiri tunatania.
 
Sisi wengine siyo watu tunaopenda kuzunguzunguka, bali hupenda mambo yaliyonyoka.

Ni ukweli kuwa kumekuwa na tetesi kuwa Makamu wa Rais anaumwa sana, na wengine kusema ameenda nje ya nchi kutibiwa. Lakini baadaye Waziri Mkuu akasema kuwa Makamu wa Rais yupo Marekani kwa shughuli za kikazi. Taarifa ambayo ilitiliwa mashaka na wengi.

Na sisi wengine tulihoji, kama kweli Makamu wa Rais anaumwa kwa nini umma usiambiwe? Maana kuugua kwa mwanadamu ni jambo la kawaida, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kusema kuwa yeye hawezi kuugua au hataugua. Ni sawa tu na kifo. Kama mtu anaumwa, kwa nini usisemwe ukweli? Hivi unajisikiaje mtu akikuficha kukudanganya juu ya habari ya kuugua kwa ndugu au rafiki yako? Kiongpzi wa nchi, katika ngazi ya Taifa ni kama kiongozi wa familia, katika ngazi ya familia. Kama kweli kiongozi wa familia anaumwa, kwa nini wanafamilia wasiambiwe ukweli? Waliokuwa wanahoji ili kuupata ukweli wana kosa gani?

Kuna watu, ambao mimi nawaita ni wajinga, wakageuza habari na kusema kuwa wanauuliza kupata uhakika juu ya taarifa za kuwa Makamu wa Rais anaumwa, eti wanamwombea mabaya Makamu wa Rais!

Huu ni uwongo mkubwa. Ni kutaka kupeleka ujumbe wa uwongo hata kwa Makamu wa Rais mwenyewe kuonesha kuwa kuna watu wanamchukia kiasi cha kumwombea mabaya. Jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Mimi binafsi naamini kuwa Makamu wa Rais Dr. Mpango ni kati ya watu wanaoweza kuwa na maadui wachache sana, kama wapo. Dr. Mpango, hata ukiacha masuala ya uongozi, kwa hulka yake binafsi, ni mtu asiye na makuu, tena anayeamini, mtu kuwa kiongozi hakujabadilisha ubinadamu wake. Mtu wa namna hii, watu wamwombee mabaya kwa sababu gani?

Tumesikia Makamu wa Rais, Dr. Mpango atakuwa mgeni Rasmi leo kwenye tukio moja huko Arusha. Kama alikuwa anaumwa na sasa amepona, au amepata nafuu, au hakuwa anaumwa, naamini ni habari njema kwetu sote.

Tunajua Dr. Mpango alipitia changamoto kubwa ya kiafya wakati wa covid 19, tena wakati wa kipindi kigumu, tulichoshuhudia kuondoka kwa viongozi wengi wakubwa na baadhi ya jamaa zetu, lakini Mungu alimnusuru Dr. Mpango. Basi kwa huruma na mapenzi yake Mungu wetu wa rehema, azidi kumjalia afya njema na maisha ya furaha na amani.
take home msg ni ipi hapa/
 
Sisi wengine siyo watu tunaopenda kuzunguzunguka, bali hupenda mambo yaliyonyoka.

Ni ukweli kuwa kumekuwa na tetesi kuwa Makamu wa Rais anaumwa sana, na wengine kusema ameenda nje ya nchi kutibiwa. Lakini baadaye Waziri Mkuu akasema kuwa Makamu wa Rais yupo Marekani kwa shughuli za kikazi. Taarifa ambayo ilitiliwa mashaka na wengi.

Na sisi wengine tulihoji, kama kweli Makamu wa Rais anaumwa kwa nini umma usiambiwe? Maana kuugua kwa mwanadamu ni jambo la kawaida, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kusema kuwa yeye hawezi kuugua au hataugua. Ni sawa tu na kifo. Kama mtu anaumwa, kwa nini usisemwe ukweli? Hivi unajisikiaje mtu akikuficha kukudanganya juu ya habari ya kuugua kwa ndugu au rafiki yako? Kiongpzi wa nchi, katika ngazi ya Taifa ni kama kiongozi wa familia, katika ngazi ya familia. Kama kweli kiongozi wa familia anaumwa, kwa nini wanafamilia wasiambiwe ukweli? Waliokuwa wanahoji ili kuupata ukweli wana kosa gani?

Kuna watu, ambao mimi nawaita ni wajinga, wakageuza habari na kusema kuwa wanauuliza kupata uhakika juu ya taarifa za kuwa Makamu wa Rais anaumwa, eti wanamwombea mabaya Makamu wa Rais!

Huu ni uwongo mkubwa. Ni kutaka kupeleka ujumbe wa uwongo hata kwa Makamu wa Rais mwenyewe kuonesha kuwa kuna watu wanamchukia kiasi cha kumwombea mabaya. Jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Mimi binafsi naamini kuwa Makamu wa Rais Dr. Mpango ni kati ya watu wanaoweza kuwa na maadui wachache sana, kama wapo. Dr. Mpango, hata ukiacha masuala ya uongozi, kwa hulka yake binafsi, ni mtu asiye na makuu, tena anayeamini, mtu kuwa kiongozi hakujabadilisha ubinadamu wake. Mtu wa namna hii, watu wamwombee mabaya kwa sababu gani?

Tumesikia Makamu wa Rais, Dr. Mpango atakuwa mgeni Rasmi leo kwenye tukio moja huko Arusha. Kama alikuwa anaumwa na sasa amepona, au amepata nafuu, au hakuwa anaumwa, naamini ni habari njema kwetu sote.

Tunajua Dr. Mpango alipitia changamoto kubwa ya kiafya wakati wa covid 19, tena wakati wa kipindi kigumu, tulichoshuhudia kuondoka kwa viongozi wengi wakubwa na baadhi ya jamaa zetu, lakini Mungu alimnusuru Dr. Mpango. Basi kwa huruma na mapenzi yake Mungu wetu wa rehema, azidi kumjalia afya njema na maisha ya furaha na amani.

Kulikuwa na taarifa kuwa atakuwapo Arusha mkutanoni leo kwani mkutano haujaanza?
 
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.

View attachment 2834215

6 DEC 2023​

TAWIRI 14th Scientific Conference 2023​


TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE will be hosting the 14th Scientific Conference that will be held from the 6th to 8th December 2023 at Arusha International Conference Center (AICC), Arusha, Tanzania.

6 Dec 2023
Arusha International Conference Center (AICC), Arusha, Arusha, Tanzania.



This year, TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE will be hosting the 14th Scientific Conference that will be held from the 6th to 8th December 2023 at Arusha International Conference Center (AICC), Arusha, Tanzania. The conference aims to disseminate and share wildlife research findings and experiences with the Government, Wildlife Management Authorities, Conservation partners and the general public to help gain an understanding of the current conservation challenges facing Tanzania and the world at large.

Conference Theme

Human-Wildlife Coexistence for biodiversity conservation and socio-economic development.

Sub-Themes

  1. Human-Wildlife Interactions
  2. Emerging technologies for Wildlife Conservation
  3. Tourism Development and diversifications for social-economic development
  4. Wildlife Ecology, Ecological Interactions
  5. Monitoring of Wildlife Population and threatened species
  6. Ecosystem Health and Wildlife Diseases
  7. Water Resources and Wetland Conservation
  8. Climate Change and - ecological resilience
  9. Bee ecology, Beekeeping and Api-tourism development
  10. Vegetation, invasive species and Habitat conservation
 
Sisi wengine siyo watu tunaopenda kuzunguzunguka, bali hupenda mambo yaliyonyoka.

Ni ukweli kuwa kumekuwa na tetesi kuwa Makamu wa Rais anaumwa sana, na wengine kusema ameenda nje ya nchi kutibiwa. Lakini baadaye Waziri Mkuu akasema kuwa Makamu wa Rais yupo Marekani kwa shughuli za kikazi. Taarifa ambayo ilitiliwa mashaka na wengi.

Na sisi wengine tulihoji, kama kweli Makamu wa Rais anaumwa kwa nini umma usiambiwe? Maana kuugua kwa mwanadamu ni jambo la kawaida, na hakuna mtu hata mmoja ambaye anaweza kusema kuwa yeye hawezi kuugua au hataugua. Ni sawa tu na kifo. Kama mtu anaumwa, kwa nini usisemwe ukweli? Hivi unajisikiaje mtu akikuficha kukudanganya juu ya habari ya kuugua kwa ndugu au rafiki yako? Kiongpzi wa nchi, katika ngazi ya Taifa ni kama kiongozi wa familia, katika ngazi ya familia. Kama kweli kiongozi wa familia anaumwa, kwa nini wanafamilia wasiambiwe ukweli? Waliokuwa wanahoji ili kuupata ukweli wana kosa gani?

Kuna watu, ambao mimi nawaita ni wajinga, wakageuza habari na kusema kuwa wanauuliza kupata uhakika juu ya taarifa za kuwa Makamu wa Rais anaumwa, eti wanamwombea mabaya Makamu wa Rais!

Huu ni uwongo mkubwa. Ni kutaka kupeleka ujumbe wa uwongo hata kwa Makamu wa Rais mwenyewe kuonesha kuwa kuna watu wanamchukia kiasi cha kumwombea mabaya. Jambo ambalo siyo kweli hata kidogo.

Mimi binafsi naamini kuwa Makamu wa Rais Dr. Mpango ni kati ya watu wanaoweza kuwa na maadui wachache sana, kama wapo. Dr. Mpango, hata ukiacha masuala ya uongozi, kwa hulka yake binafsi, ni mtu asiye na makuu, tena anayeamini, mtu kuwa kiongozi hakujabadilisha ubinadamu wake. Mtu wa namna hii, watu wamwombee mabaya kwa sababu gani?

Tumesikia Makamu wa Rais, Dr. Mpango atakuwa mgeni Rasmi leo kwenye tukio moja huko Arusha. Kama alikuwa anaumwa na sasa amepona, au amepata nafuu, au hakuwa anaumwa, naamini ni habari njema kwetu sote.

Tunajua Dr. Mpango alipitia changamoto kubwa ya kiafya wakati wa covid 19, tena wakati wa kipindi kigumu, tulichoshuhudia kuondoka kwa viongozi wengi wakubwa na baadhi ya jamaa zetu, lakini Mungu alimnusuru Dr. Mpango. Basi kwa huruma na mapenzi yake Mungu wetu wa rehema, azidi kumjalia afya njema na maisha ya furaha na amani.
Kongole ndugu Bams kwa andiko bora kabisa.
Kama kiongozi anaumwa,ni vyema umma tukapewa taarifa ili tuingie kwenye kumuombea Bwana Mungu aponyae amponye.

Mimi kama mwanamaombi, nawaombea viongozi wetu Mungu awape hekima,busara,werevu,afya njema na nguvu, lakini kama kuna ambaye najua nigonjwa,huwa nafunga kumuombea aponywe na Damu ya Yesu Kristo.

Sasa tutamuombeaje mtu aponywe wakati hatujaambiwa kuwa anaumwa na hatuna taarifa zake sahihi!!???
 
Back
Top Bottom