Mtu mzima mwenye meno zaidi ya 30 ukiwa mzima wa afya halafu watokee watu wakuulizie.... Halafu anajitokea mtu baki kukujibia wapi ulipo hii inatia shaka. Angeweza tu hata kujirekodi akimpigia simu jafo wakizungumza mambo ya mazingira ingetoshaKatelephone akisema mtu mzima yuko na afya tele basi andaeni mazishi, mzee ana mdomo mbaya sana yule.
Umewaza kwa hisia sana mkuu... kuna wengine huwa wanatamani ile siku wangezaliwa wangekufa papo hapo, ili kutokuijua kabisa dunia.Sema nini, hatuwezi kwenda Peponi/mbinguni bila kufa hivyo ni vema kwa tunaopendana tukaombeana vifo tu ili kwenda kuipata faraja ya milele kuliko haya maisha ya Joto, mafuriko na kukosa pesa.
Mimi nikiwa mmoja wapo. Hii adha ya dunia bora hata nisingeiona, ningejiondokea zangu nikiwa na miaka 2 tu.Umewaza kwa hisia sana mkuu... kuna wengine huwa wanatamani ile siku wangezaliwa wangekufa papo hapo, ili kutokuijua kabisa dunia.
Muda ni rafiki mwemaNipo Arusha bado sijamtia machoni
😀😄😄😅😄😀😀😀Jambo Ni GumuVipi upo site??
VP kaonekana akishiriki huo mkutano?
NakaziaMuda ni rafiki mwema
Conference Theme
Human-Wildlife Coexistence for biodiversity conservation
Vyovyote vile lkn Dr. Mpango ni kiongozi muhimu sana kwa nchi yetu wakati uliopita na hasa sasa, ameenda nje kikazi au anaumwa tuzidi kumuombea afya njema na maisha marefu kwa ustawi wa nchi yetu. Yule mzee anapoongea anapoagiza, anapoelekeza, anaposhauri unaona kabisa yanatoka ndani ya moyo wake na mapenzi ya dhati kwa taifa lake.Hata wakati wa Jiwe alitolewa kwenye oxygen na kuletwa kwa Waandishi wa habari, alikuwa anakohoa kila baada ya sekunde 2 kiasi cha kushindwa kueleweka alichokuwa anaongea (video yake imo humu JF)
Naomba tafsiri MmawiaUmwana wachuu abaha wa kasuuluu
Huu ndio upuuzi ambao kweli sielewi unafanyika kwa sababu gani, kuna mambo ambayo yanaweza kuwa classified secret lkn hili si miongoni mwa mambo hayo. Utafikiri eti wananchi ni wajinga wasiojua kutafakari mambo, VP sio mimi wala dereva wa boda boda. Wananchi wanapaswa kujua habari zake tena kwa wakati na kwa usahihi.Hapa ndio umesema kwa weledi. Chanzo cha haya maneno ya hovyo mitaani ni tabia chafu ya serikali yetu kupenda kusema uongo.
Hakuna anayemuombea mabaya VP wetu hata kidogo, lakini wameshindwa nini kuwaambia raia wake kama ni mgonjwa ili nasi tumuombee dua njema?
Kwani binadamu gani huwa haugui? Hayo ya kusema eti yuko kikazi nje ya nchi kimya kimya ni dharau kwetu na kwa mgonjwa (kama anaumwa) na ndio yanafanya watu wajiulize au hayupo tayari?
Taharuki mwasisi wake ni dola yenyewe!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga na mpumbavu. Hakuna anayesubiri taarifa mbaya. Tunangojea tumuone makamu ambaye tuliambiwa yuko kikazi korea. Yule sio baba ako kwamba afichwe fichwe, ni potential presidentWatanzania mmekua na roho mbaya...kusubiria taarifa mbaya...
Mungu ni mwema kila wakati...
Mjinga na mpumbavu mwenyewe....kama una akili na umejua naongelea watu wa aina gani usingeandika upupu wako huu...Wewe ni mjinga na mpumbavu. Hakuna anayesubiri taarifa mbaya. Tunangojea tumuone makamu ambaye tuliambiwa yuko kikazi korea. Yule sio baba ako kwamba afichwe fichwe, ni potential president
HOtuba yake inasemaje leo?Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Philip anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Mkutano wa TAWIRI unatarajia kufanyika kuanzia Disemba 6 hadi 8 jijini Arusha.
View attachment 2834215
Limewashuka wavumishaji..[emoji28]
SafiVipi mkuu ?