Dkt. Philip Mpango maneno uliyotamka siku unaapishwa yalitoka ndani ya moyo wako? Ulikuwa unawakebehi Watanzania?

Hata Buhigwe ameenda wakati wa kampeni za uchaguzi 2020, alikuwa hana muda napo!
Ha ha ha! Kweli mkuu, huyo Daktari wa mipango hata Buhigwe ameenda wakati wa uchaguzi was 2020, long time no see him there!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…