Sasa hivi ukishapata shavu la Lissu tu ni lazima ushinde tuLawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Mashuhuri sana, Tundu Lisu alitoa wasifu wake ulikuwa kiboko ndiyo maana wamemchagua.Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Umeona eh! Ule waraka wake kwa Nshala ulikuwa kiboko!Hapa ndipo nimeamini Lissu ana ushawishi mkubwa sana kwa jumuia ya mawakili wasomi nchini. ..
Ushawishi huu na sympathy kwa wananchi utaishangaza dunia oct 20
Hongera sana Nshala
This is TLS!
Na jaji mkuu amepiga kura kwa NshalaNaona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
Yaah jiwe na genge lake wamehangaika sana kila wajiribu wanaangukia PUA sio wapuuzi wale sijui chama cha waalimu na wajinga wengineChama pekee cha kitaaluma kisichoburuzwa na Dola.
- Cha Pili ni Chama cha Madaktari.
Yaani hawa TLS wanawapa serikali tabu sana, kila siku wanachagua viongozi ambao Dola haiwapendi, hawaburuzwi.