GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,542
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok thanks for notificationMashuri sana Tundu Lisu alitoa wasifu wake ulikuwa kiboko ndioyo maana wamemchagua.
Na nyie si msome? Au mnaishia kujiandikia kwa buku 7 tu??Naona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
Unataka rais wa TLS awe maarufu na mwenye influence ipi?Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Umeuliza " Mbona Huyo bwana sio maarufu?"Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Je ni chama kipi kinachoburuzwa na dola? Tuanzie na CWTChama pekee cha kitaaluma kisichoburuzwa na Dola.
- Cha Pili ni Chama cha Madaktari.
Yaani hawa TLS wanawapa serikali tabu sana, kila siku wanachagua viongozi ambao Dola haiwapendi, hawaburuzwi.
Hahahaa......... !
Wasonga tupa kule daadeki!! Big up!Gwilimi anaendelea kuwa mgombea mkongwe na mzoefu wa nafasi hiyo.
Huyu ni CCM, kibaraka kajaribu, 123 si haba!. Wasonga - 123
kwani alikuwepo?Na jaji mkuu amepiga kura kwa Nshala
sema, Nshala unamsemaje?This is TLS!
Kuwafunza adabu!Kazi yake Nini?
Hongera mkuu kwa kazi ngumu tangu jana hadi leoThis is TLS!
Naona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
Dkt. Nshala atashirikiana na,Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Hahahaa....... Taaluma haina vyama!Wasonga na matakataka yake ameangukia pua...