Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa

Ndugu zangu ma Ustaadh mnafelia wapi ???

Sent from my Sonny Ericsson using Tapatalk
Ma Ustaadh wamejikita kwenye taaluma ya Uhasibu!
 
Wakili msomi wa maCCM ndugu Wasonga ametangazwa kuwa mshindi na mwenyekiti wa uchaguzi huo ndugu Jecha Salim Jecha
akasonge ukatili wa ccm na serikali yake, aiche taaluma ya wasafi kama Rugeleleza Nshala!
 
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Wanyakyusa wametaradadi TLS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki

Wannyakyusa muache sifa matanga gwenu
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
 
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
tatizo lenu hamumjui vizur huyo jamaa..hahahahahah mnachekesha...
 
Lawyers wana wajibu mkubwa kwa jamii. Utawala wa sheria Tanzania unapitia kipindi kigumu. Nina imani Nshala na timu yake watatoa mchango maridhawa katika hili. Hatuhitaji mwanasheria mwenye mlengo wa Status quo kipindi hiki.

All the best!
jambo msilolijua ni kama usiku wa giza nene...sisi yetu macho
 
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
tobaa mbona akina anko lissu na aunty Fatma kibao jiwe iko sheeda
 
Back
Top Bottom