Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Naona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
Siasa zetu za kishamba sana. Mawakili ni watetezi wa haki za watu kutoka moyoni...uwakili unaendana sana na utekelezaji wa imani zetu za kidini linapokuja suala la haki. Hapo siyo mambo ya chama fulani bali utendaji haki uliotukuka. Watanzania tubadilike, tukiendekeza siasa Taifa litapotea!
 
Hivi fisiem pamoja na wingi wao wanakuwa hawana wanasheria wa kutosha kupiga kura na kuweka mtu wao?Ama kweli hilo ni kundi la vilaza!
 
Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa

Any way I like their life style

Mbona Huyo bwana sio maarufu?

Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence

God first
Huyu alikuwa sana kwenye vipindi vya channel ten zamani na ni very radical to the point
 
View attachment 1064467

Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimempata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

View attachment 1064353

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Vipi Muunga mkono juhudi Albert msando yeye hajagombea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa

Any way I like their life style

Mbona Huyo bwana sio maarufu?

Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence

God first
Usiseme Dr. Nshala kuwa sio maarufu, sema humfahamu. Dr. Nshala na Lisu ndio mawakili waliopigia kelele ukiukaji wa haki za wachimbaji wadogo kule Bulyanhulu enzi za Mkapa kupitia chama chao cha wanasheria wa mazingira (LEAT). Dr. Nshala ndiye alikuwa bosi wa Lisu.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lawyers wana wajibu mkubwa kwa jamii. Utawala wa sheria Tanzania unapitia kipindi kigumu. Nina imani Nshala na timu yake watatoa mchango maridhawa katika hili. Hatuhitaji mwanasheria mwenye mlengo wa Status quo kipindi hiki.

All the best!

Dk. Rugemeleza Nshala ni makini sana. Ataendeleza yale mapinduzi ya kweli ndani ya TLS yaliyoanzishwa na Tundu Antipas Lissu, akayaendeleza Fatuma Karume na sasa yatakuwa institualised kabisa ktk TLS kwa umakini na Dr. Rugemeleza Nshala.

Fahamu harakati za Dr. Rugemeleza Nshala kutetea haki za taasisi mbalimbali zilizotishiwa / zinazotishiwa na sheria gandamizi Tanzania.

Source : watetezi TV
 
6 Apr 2019
Arusha, Tanzania

Rais wa TLS Rugemeleza Nshala

Chama cha wanasheria Tanganyika kimefanya uchaguzi katika nafasi mbalimbali ikiwemo nafasi ya rais wa TLS ambapo wamemchagua dkr Rugemeleza Nshala kuwa rais ambaye ataongoza chama hicho kwa mwaka mmoja baada ya Fatma karume kumaliza muda wake

Source : millard ayo

.Dr. Rugemeleza Nshala : https://www.worldcat.org/title/disp...reignty-over-mineral-resources/oclc/811321243
He holds a Bachelors of Laws degree (LL.B) from the University of Dar es Salaam; a Masters of Environmental Management degree (MEM) from Yale School of Forestry and Environmental Studies; and Masters of Laws degree (LL.M) and Doctor of Juridical Sciences degree (S.J.D) from Harvard Law School.
Source : https://jukwaalauziduaji.or.tz/speakers/rugemeleza-nshala/
 
Lakin nakumbuka Ruge nshala uliwahi kulitetea suala la Tibaijuka Escrow
 
Dr. Rugemeleza Nshala harakati zake pia zimegota siyo mijini tu bali hata vijijini kutoa mafunzo na mada za haki zilizopo ktk mazingira mbalimbali mijini na vijijini.
1 Aug 2017
In Kiwele, Tanzania, forest banditry and subsistence farming eroded once lush forests. Before Lawyer’s Environmental Action Team (LEAT) entered the community, citizens did not connect environmental conservation and natural resource management with their own livelihoods. Before the training, forest banditry, did not understand anything about environmental conservation or natural resource management affected their own livelihoods. LEAT's approach involved citizen participation in the management of wildlife resources, linked with good governance. The community now feels a duty to protect their environment and is preparing for the return of trees, animals, and life.
 
Back
Top Bottom