Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Dkt. Rugemeleza Nshala ashinda kuwa Rais wa TLS

Hivi Wasonga aliwafanyia nn nyie mawakili wasomi?
Next time mpeni hata nafasi ya pili
 
Boss Informer Kwanza nimpe Hongera Rais aliyechaguliwa kuongoza TLS kwa mwaka mmoja aka Miezi 12,
Hongera pia kwa wote mliochaguliwa kuongoza TLS.
Mimi nina WAZO tu au Swali,
Hivi kwa Miezi 12 aka Mwaka Mmoja kwa Rais wa TLS aka Viongozi wanaweza kutimiza Ahadi zao ????
Au Chaguzi zao hazina gharama??? Au Chaguzi zao hazina maandalizi??? Au hawana mambo mengi ya kukabidhiana Ofisi, kuaga, kukaribishwa, na mengineyo????
Naona kama Mwaka hautoshi, miaka 2 ingefaa kwa Rais wao kufanya kitu.
Labda waseme huko hawanaga kazi nyingi za kufanya au kutimiza.
Hili ni Wazo tu na Swali.



OTE="Informer, post: 31007897, member: 95208"]
View attachment 1064467

Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimempata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

View attachment 1064353

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
[/QUOTE]
 
View attachment 1064467

Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimempata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

View attachment 1064353

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
The Anointed, the TAL blessed.....Tundu ni nomaaa. Has powers inbuilt in his words/soul.

Akisema Jambo linakuwa, je Lissu ni nabii??
 
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa

Ndugu zangu ma Ustaadh mnafelia wapi ???

Sent from my Sonny Ericsson using Tapatalk
Unaleta udini baada ya Lumumba kuangukia pua...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana Rais wa TLS na wasomi wote wa sheria. Stay steady.
 
View attachment 1064467

Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimempata Rais wake kwa mwaka 2019/20

Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.

View attachment 1064353

Kura za Urais:

President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29

Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
TUWATAKIE KILA LA KHERI MAJAALIWA NA SISI TUTAFIKA KUWA WAWAKILISHI WAPYA HAPO BAADAE. BRAVO FOR THE WINNERS OF 2019/2020.
 
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.

1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa

Ndugu zangu ma Ustaadh mnafelia wapi ???

Sent from my Sonny Ericsson using Tapatalk
Tupo kule tunadhibiti msiwaibie wananchi Wanyonge
 
Chama pekee cha kitaaluma kisichoburuzwa na Dola.

- Cha Pili ni Chama cha Madaktari.

Yaani hawa TLS wanawapa serikali . uamuzi, kila siku wanachagua viongozi ambao Dola haiwapendi, hawaburuzwi.
Chama cha ovyo Ni cha walimu.ungekua uamuzi wangu ili uitwe mwl lazima uwe na shahada moja
 
Back
Top Bottom