Dr R Nshala, Conglts sana kwa ushindi wako wa kishindo.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122].
Napenda sana kutoa shukurani zangu na za wapenda HAKI, kwa wajumbe wote wa TLS kwa kukuamini na kukuchagua kuiongoza TLS.
TLS inaendelea kupata Kiongozi bora tena kipindi hiki, toka 2017.
Huu ni ushindi kwa wapenda HAKI wote Tanzania.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122].
Napenda sana kutoa shukurani zangu na za wapenda HAKI, kwa wajumbe wote wa TLS kwa kukuamini na kukuchagua kuiongoza TLS.
TLS inaendelea kupata Kiongozi bora tena kipindi hiki, toka 2017.
Huu ni ushindi kwa wapenda HAKI wote Tanzania.