Walimu ni walimu Mkuu, hata wawe na shahada.Chama cha ovyo Ni cha walimu.ungekua uamuzi wangu ili uitwe mwl lazima uwe na shahada moja
Kwani CCM yenye kutawala nchi hii toka uhuru imebadilisha nini kwenye nchi zaidi ya Majina,Tanganyika kuwa Tanzania na TANU kuwa CCM?Huku nchi ikiendelea kuogolea kwenye Lindi la umaskini wa kutupwa![emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa mfano hiyo TLS imebadirisha nini katika hii nchi tangu muanze kusema inashikwa na watu wasio ccm
?
Sent using Jamii Forums mobile app
Instanbul, mbona ni typo err! Huyu ni Mhaya, si ajabu twatoka wote huko hivyo being conversant na spelling za majina!
Unamuona Lissu sasa huyu jamaa alikuwa Rais wa Leat na Lissu katibu kama huijui leat muulize MkapaLawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Utadhani chama cha kidini yaniView attachment 1064467
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanganyika (TLS) kimempata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
View attachment 1064353
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Kabla ya Tundu lisu, TLS ilikuwa kama hafaamiki vile, na sikujua kama uchaguzi ni kila mwaka.Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Hivi hao mawakili ambao sio wasomi wanapatikana wapi hapa duniani?Hapa ndipo nimeamini Lissu ana ushawishi mkubwa sana kwa jumuia ya mawakili wasomi nchini. ..
Ushawishi huu na sympathy kwa wananchi utaishangaza dunia oct 20
Hongera sana Nshala
Wapo wengi tu! Hujawahi kuwasikia watu wanaoitwa 'bush lawyers'?Hivi hao mawakili ambao sio wasomi wanapatikana wapi hapa duniani?
Kwani wanakuwa wamepata hizo degree zao maporini au?
Hili swali linathibitisha ni jinsi gani ulienda shule kusomea ujinga!Kwani wanakuwa wamepata hizo degree zao maporini au?
Unajua maana ya kutaradadi?
Hoja ni mwanasheria kuwa sio msomi, nikauliza ni wapi wanasheria wanakuwa sio wasomi, ukasema wapo bush lawyers / wanasheria pori, nikakuuliza huwa wanapata degree zao maporini? (Hii ni Sarcasm), lengo ni kutaka kujua upori wao upo wapi. Sasa kujifanya mjuaji badala ya kujibu hoja kama ilivyo ni uxhoga na uxenge tu.Hili swali linathibitisha ni jinsi gani ulienda shule kusomea ujinga!
Nikitaka kufanya 'reference' ya 'mwanasheria-pori' nitakurejelea wewe kama case study!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau chama cha walimu CWTChama pekee cha kitaaluma kisichoburuzwa na Dola.
- Cha Pili ni Chama cha Madaktari.
Yaani hawa TLS wanawapa serikali tabu sana, kila siku wanachagua viongozi ambao Dola haiwapendi, hawaburuzwi.
This is TLS!
Hivi huko shule ulienda kusomea ujinga?Hoja ni mwanasheria kuwa sio msomi, nikauliza ni wapi wanasheria wanakuwa sio wasomi, ukasema wapo bush lawyers / wanasheria pori, nikakuuliza huwa wanapata degree zao maporini? (Hii ni Sarcasm), lengo ni kutaka kujua upori wao upo wapi. Sasa kujifanya mjuaji badala ya kujibu hoja kama ilivyo ni uxhoga na uxenge tu.