Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Mimi sina hata nikiita press watajiuliza huyu naye ni nani. Impact ninayo kwa family yangu tu lakini kuna wengine hata kwenye family zao wanaondoka kama hajaondoka mtu.
Basi kama unampact na familia yako mkuu jitahidi kunyamaza maana nchi sio levo ya familia yako.

Waache waliovuka levo za familia na kuweza kuijadili nchi Kwa mapana yake wahoji.

Mtu mwenye akili na busara humtambua pale tu anapofungua mdomo kuongea au kalamu kuandika.tafakari
 
Wahoji kitu gani? wanamwakilisha nani nchi hii? family zao au? Hii nchi inawakilishi waliochaguliwa, ina viongozi waliochaguliwa. Sasa wewe kama unaona una hoja jiunge na siasa sio unakuja kwenye press na unafiki eti mimi sina chama chochote ni mwanaharakati, mwanaharakati alikutuma nani. kapiganie family yako. Kaja na misifa kibao eti nimesoma USA ningelipwa 22k siju bla bla ujinga mtu watu wakimtaka wanamtikia kilema stroke mwisho wa habari.
 
Sasa huyo prof wako fake ndio level yangu maana hatuna impact nchi zaidi kwenye nyumba zetu maisha yamempiga sasa anatafuta sababu ya kuaga dunia eti tukutane paradiso aliyemwambia anaenda paradiso nani? hicho kitabu cha dini alichoshika kinasema heshimuni mamlaka zenu sio anakuja kwenye press na kukosa heshima kwa viongozi hata kama una hoja tofauti sema ila heshimu mamlaka. Mbona kwa JPM aliufyataa
 
Akisifiwa tu una jicho zuri ameshalegea na kudondosha wino. Ila hii Ni ya kwao sema wanatumia mgongo wa muwekezaji mkuu.
Yaani hii anajilipa Koo yake na watu wake wa karibu,watu wameshajilipa kwenye madini,nishati ,mbuga kilichobakia Ni bandari.
Yaani watu wameshauza ama wamejimilikisha kwa gia ya uwekekazaji Ila Ni wao tu wanajilia matunda ya wajinga waliolala ,wanabakia kuongelea mitandaoni
 
Wewe ndie huna hoja, unaandika upuuzi mtupu. Wasiojulikana wapo na tulishaona walichomfanya Lissu, ana haki ya kutoa taarifa kuhusu uhai wake.

Asipuuzwe.
Yeye alipoamua kumtukana raisi hakujua madhara yake, sisi tumsaidie nini aasa, ameshalikoroga atulie tu aache kulia lia, wakili msomi kweli hajui kua ulimi uliponza kichwa.
 
Duu, Hizi Kiki zinafanana Kabisaa na za Mpilipili wa Uto FC.
Nb: Kuna Rafiki yake alienda kwa Demu wake Iringa Kutekwa. Haya Maisha yanaenda Kasi.
Yaani ; Mawakili Wenzako hakuna aliyetumia Mbinu hii ya kiki angalau Wametumia Kiki ya Kwenda Mahakamani.
Maoni ni Muhimu lakini Kuichafua nchi na Rais kimataifa Siyo Uzalendo Kabisaa.
Mimi kama King Marafyale nalaani Kauli hiyo Tata Isiyoiheshimisha nchi Yetu###%}{
 
Hija lini?
 
Napata ukakasi na uwezo wako wa kuchambua mambo.πŸ₯‚
 
Napata ukakasi na uwezo wako wa kuchambua mambo.πŸ₯‚
Hata napata ukakasi na wewe. Sasa ukitaka ujue uwezo wangu weka hoja zako na nitakujibu kwa hoja halafu tuone uwezo wangu na wako bila matusi bila dharau.
 
Wameanza kumwaga damu.

This was expected.
 
Narrow minded people.πŸ’”πŸ’”πŸ’”
 
Hata napata ukakasi na wewe. Sasa ukitaka ujue uwezo wangu weka hoja zako na nitakujibu kwa hoja halafu tuone uwezo wangu na wako bila matusi bila dharau.
Huna uwezo chanya wa kudadavua hoja nzito mkuu.JF si sehemu sahihi wewe kuwepo na hii ni kulingana na comments zako kwenye huu uzi

Kama kupitia huu uzi umedhibitisha uwezo wako wa kufikiri mkuu huoni kama utakuwa unajichosha maana kupitia mwandiko wako nimeshafahamu uwezo wako!!😁😁
 
dah huyu jamaa muongo sana
 
Ningekujibu vizuri lakini huwezi kuacha tabia za kihaya za kujisifu. Endelea kuandika vizuri kama ndio unadhani mafanikio. Maisha magumu sana wacha sisi tule maisha faida ya nini nikupe.
 
Narrow minded people.πŸ’”πŸ’”πŸ’”
Ni kweli lakini na uhakika mimi ni bora kuliko wewe hilo na uhakika 100% wala sina shaka, nyinyi ndio wale msukuma jana kasema wapiga kelele ni watu wasiokuwa na kazi za kufanya na uhakika wewe mmoja wapo.
 
Nyinyi mnashida sana na kwa kauli yako ndio maana hamuwezi kuja kuchukua nchi hii. Wewe ukiona mtu anadhani yeye ni bora kuliko mtu mwingine basi ujue huyo anashida kama sio kiuchumi basi hayuko stable kifamily. Elimu yako kwangu sio umuhimu ila mtu anayedhani anajuwa kila kitu labda kasoma hii elimu yetu ya kukariri ndio matokeo yake haya. Asubuhi njema tafuta pesa utapata amani.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…