Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Akili yako imekuwa like tunnel vision. According to your mind and beliefs you're right.
I shouldn't argue with narrow minded people who think in one dimension or in one vector plane
Utabadilisha lugha zote na sisi kuzungu kinapanda sana lakini mimi nakupiga na lugha ya Taifa tu kizungu cha nini. shida yenu mikiwekwa kona mnaanza kuleta uzungu, babu hata ki spanish naweza kukuandikia shida yako unadhani unaongea na kilaza. Kula maisha babu lugha hainitishi mimi.
 
If they kill you, your blood will speak more than your mouth spoke.

Tutachinjana hadharani. Waache ujinga. Tanganyika yetu haiuzwi.

Walimuua Dr. Mvungi kwa katiba. Huyu hatutakubali
Sema hutokubali, usituhusishe na wengine kwenye huo upumbavu wenu.
 
Mimi mwenzangu akifanya vizuri kwanini nisimsifie.
 
Basi mwambie askofu ajitambulishe rasmi kama mwanachama wa CHADEMA
Wanajificha nyuma udini lakini wanachuki za wazi juu ya Rais Samia inawakera sana hawakutegemea mtu kuchukua nchi bila nguvu hawajui mamlaka Mungu anatoa. JPM aliwatesa kweli lakini waliuvyata wote na dua wakamuombea 😛
 
Ngoja tuanze uchunguzi huyu ana passport ya USA tufanye utaratibu aende haraka hatutaki mahusiano mabaya na USA likimpata.
 
Chawa kwa kawaida hukaa kwenye "pindo/mshipi" wa nguo ya kwanza kuvaliwa inayokuwa in contact na mwili.

Sijui kama chawa hukaa mgongoni zaidi ya kiunoni kwenye nguo za ndani.

Kama wameweza kujitangaza wanakaa huko,hawa ndiyo wanatisha watu.
 
Haya mambo yanaanzia ngazi ya familia mkuu, ni wachache huwaandalia future nzuri watoto wao, wengi wetu ni mtoto asome. Akishindwa shule basi ajihangaikie, na akimaliza shule tunataka atusaidie na sio aanze nae maisha yake.
Unatengeneza kizazi cha kujijali chenyewe tu
 
Wasiojulikana bado wapo, kama walifanya kazi huyu msaliti akiwa msaidizi na hakuwahi kuwakemea, sitashangaa msaliti nae akiamua kuwaacha wasiojulikana wamsaidie kuwafunga watanganyika midomo wanaolilia ardhi yao iliyopewa mwarabu...
Samia Kwisha habari yake.

Ataendelea kuwepo kwa muda mfupi; lakini kuwepo huko si kwa ridhaa ya wananchi.

Hana njia yoyote anayoweza kurudisha imani ya wananchi kwake.
 
Tena ni bahati yake sana "kutishwa" miaka 3 nyuma alikuwa nao hata huo mdomoi wa kuongelea? Wenzake waliokuwa na midomo wako wapi?
 
Ushauri mzuri sana
 
Mbna mnaretemeka Kuhusu vifo awam hii, awam ilipita walikua wapi.
 


Dr Nshala ni mzalendo bahati nzuri mimi binafsi namjua kama Kaka. Huyu kaka ni kati ya wanasheria wenye uwezo mkubwa Duniani sio Tanzania pekee. Yaani huyu ni zaidi ya Chenge maana ni mzalendo na hajaweka mbele kujinufaisha. Mimi nilishaongea naye kuhusu kuja USA na atatengeneza zaidi ya $200K kwa mwaka lakini akangangania kubali Tanzania na kwenye jumuia yetu pale Ununio na kazi zake za kupigania mazingira......

Serikali ingetakiwa kumfanya rafiki maana sio mwanasiasa ni Mtaifa tu.
 
Pelekani watoto kusoma undergraduate degrees hizo ndio zina matter kwenye uelewa wa kawaida kushinda post graduates.

Ni sawa na mtu akasome tax law masters, halafu hana degree ya accountancy au finance. Huko kwao uwezi kusajiliwa kufanya kazi as a tax lawyer bila ya kuwa qualified accountant first au exception degree yako ya kwanza ni ya finance. Hizo ni specialisations laws huko kwao na kuna taratibu nyingi za kuwa mwanasheria bila ya kusoma sheria undergraduate ndio msingi wa hizo masters.

Ndio kama hawa wanasheria wenu it doesn’t matter ata angekuwa amesoma heaven university hana foundation ya business law halafu anakwenda kuandika mathesis na kujiita mtaalamu wa maswala ya contract umeona wapi.

Kwanza atuambie aliandika mambo gani tupime merit ya kazi yake kama ina qualify kudadavua mikataba ya kibiashara.

Pili nimemuona mpuuzi kujisifia kusoma maswala ya environmental wakati kila siku yanabadilika with COP new agendas, moreover siku hizi environmental reporting ni mandatory kwenye financial statements za mashirika makubwa dunia imepiga hatua sana kwenye nyanda hizo how they think wewe bado unazungumzia research ya mazingira na mambo uliyo soma 2000 wakati a lot has changed in between.

Social sciences sio hard science ambazo theories zinaweza kukaa muda mrefu, huko kwenye social science na biashara global policies mpya kila kitu kinabadilika kifikra na kwenye utekelezaji siku ya pili; we unajisifia kusoma environmental issues 2000’s, akili zake sio sawa.

Hii ndio shida yetu watanzania tunaweka sana imani kwa wasomi as if ni miungu watu, sisi wenyewe Binafsi ni wavivu wa kujifunza mambo. Matokeo yake we are vulnerable to their statements, wakiamua kupotosha tunaamini non-the-wiser on the merit of their statements.

Huyo bwana amepotosha sana kwenye IGA sio hivyo tu along the way amewapa watu shutuma za uongo, ametoa seditious statements dhidi ya nchi; halafu anatoka hapo anasema uhuru wake wa maoni.

Nyofoa kucha tu hakuna namna
 
Wa wivu mtoto wa kike ndo maana huolewi yaani joja zoote hizi zinazoongelewa hapa we umeona joho tu! Sijui akili za wapi au umelewa uji wa magimbi
 
mimi nilichokuja kugundua katika harakati zangu ni kwamba kusoma na kua na akili ni vitu viwili tofauti.

hivi kweli msomi wa sheria unanyoosha tai yako kabisa eti unaenda kushitaki Seriakali kwenye Mahakama zake yenyewe ?

ili ugundue nini yaani na akili zako zote na usomi wako wote ?

ndio maana nikasema kusoma na kua na akili havihusiani …

mimi mwanzo kabisa nilisema hivi:

mngeenda kushtaki kwenye Mahakama za nje ya Africa kidogo mngenishawishi.

ila kumshtaki Baba yako na bado unaishi kwake huo ni ujinga wa kiwango cha rami …
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…