Dkt. Samia atajwa Rais Bora Afrika 2023

Dkt. Samia atajwa Rais Bora Afrika 2023

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Rais Samia Suluhu Hassan Aorodheshwa Kama Kiongozi Bora Afrika Mwaka 2023

Dar es Salaam, 15 Agosti 2024 – Rais Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kama kiongozi bora Afrika kwa mwaka 2023 na gazeti la The African Times USA. Tuzo hii muhimu inadhihirisha uongozi wake wa kipekee na mafanikio makubwa katika kuimarisha maendeleo na utulivu nchini Tanzania.

The African Times USA imeangazia juhudi za Rais katika kuleta mabadiliko makubwa ambayo yameinua Tanzania katika nyanja za ukuaji wa uchumi, utawala bora, na mageuzi ya kijamii. Jitihada zake za kukuza umoja, demokrasia, na uwezeshaji wa wanawake zimeweka mfano wa kuigwa na viongozi kote barani Afrika.

Heshima hii ni uthibitisho wa kujitolea kwa Rais Samia katika kuhakikisha maendeleo na ustawi wa Tanzania na ahadi yake thabiti kwa ustawi wa wananchi wake.
efe90023-a4a8-43c9-9c2c-bfa78bfa48a4.jpeg
 
Anatumia njia zile zile alizotumia Magufuli na wapambe wake.

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli ameteuliwa kuwania Tuzo ya Kiongozi Bora Afrika, zijulikanazo kwa jina la The African Prestigious Awards zinazotarajia kufanyika nchini Ghana”.

 
Rais Samia Suluhu Hassan Aorodheshwa Kama Kiongozi Bora Afrika Mwaka 2023

Dar es Salaam, 15 Agosti 2024 – Rais Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kama kiongozi bora Afrika kwa mwaka 2023 na gazeti la The African Times USA. Tuzo hii muhimu inadhihirisha uongozi wake wa kipekee na mafanikio makubwa katika kuimarisha maendeleo na utulivu nchini Tanzania.

The African Times USA imeangazia juhudi za Rais katika kuleta mabadiliko makubwa ambayo yameinua Tanzania katika nyanja za ukuaji wa uchumi, utawala bora, na mageuzi ya kijamii. Jitihada zake za kukuza umoja, demokrasia, na uwezeshaji wa wanawake zimeweka mfano wa kuigwa na viongozi kote barani Afrika.

Heshima hii ni uthibitisho wa kujitolea kwa Rais Samia katika kuhakikisha maendeleo na ustawi wa Tanzania na ahadi yake thabiti kwa ustawi wa wananchi wake.
View attachment 3071105
Utulivu unasumamiwa na akina Awadh
 
Rais Samia Suluhu Hassan Aorodheshwa Kama Kiongozi Bora Afrika Mwaka 2023

Dar es Salaam, 15 Agosti 2024 – Rais Samia Suluhu Hassan ametambuliwa kama kiongozi bora Afrika kwa mwaka 2023 na gazeti la The African Times USA. Tuzo hii muhimu inadhihirisha uongozi wake wa kipekee na mafanikio makubwa katika kuimarisha maendeleo na utulivu nchini Tanzania.

The African Times USA imeangazia juhudi za Rais katika kuleta mabadiliko makubwa ambayo yameinua Tanzania katika nyanja za ukuaji wa uchumi, utawala bora, na mageuzi ya kijamii. Jitihada zake za kukuza umoja, demokrasia, na uwezeshaji wa wanawake zimeweka mfano wa kuigwa na viongozi kote barani Afrika.

Heshima hii ni uthibitisho wa kujitolea kwa Rais Samia katika kuhakikisha maendeleo na ustawi wa Tanzania na ahadi yake thabiti kwa ustawi wa wananchi wake.
View attachment 3071105
Nonsense,wamemjuaje,kwani anawaongoza.Ni moron na minion wao ndio maana.Halafuu,wametumia mechanism na method gani kujua she is the best,wanabwata tu.Very stupid of them.Naomba nirudie,ukiona Rais wenu anapendwa na nchi za magharibi mjue mnapigwa,wake up fellow.Samia frankly alitakiwa kwa busara ,hekima,weledi na IQ aliyo nayo, kuwa Mwenyekiti wa UWT, sio Rais wa nchi.
 
Labda bora wa kuuza rasilimali za nchi
Mkuu hivi unamjua Netamyahu mpaka unajiita jina lake kweli?Hebu follow the link below uone how evil the man is.

Israel Sweeps Anal Rape Competition at Paris Olympics - VT Foreign Policy.

This is how evil the World and especially Israel has become.So evil that the murder of innocent children,women;the rape they are carrying out on Palestinians and now rape in the Olympics as a game is understandable.And don't forget,Natanyahu is the head coach of the rape team and in the Olympics!!!!!Wow,how evil.This is extreme evil never seen in the history of mankind.
 
Mkuu hivi unamjua Netamyahu mpaka unajiita jina lake kweli?Hebu follow the link below uone how evil the man is.

Israel Sweeps Anal Rape Competition at Paris Olympics - VT Foreign Policy. This is how evil the World and especially Israel has become.So the murder of innocent children and women,the rape they are carrying out on Palestinians is understandable.Natanyahu is the head coach of the rape team and in the Olympics?It is extreme evil never seen in the history of mankind.
Wewe ndiyo Evil, ulitaka achokozwe wauawe watu wake zaidi ya 1300 akae kimya iliakufurahishe wewe? Tena inatakiwa wapigwe haswa Wapalestina mpaka washike adabu
 
Wewe ndiyo Evil, ulitaka achokozwe wauawe watu wake zaidi ya 1300 akae kimya iliakufurahishe wewe? Tena inatakiwa wapigwe haswa Wapalestina mpaka washike adabu
Sasa akichokozwa ndio apeleke rape kama mchezo kwenye Olympics; wa-rape Wapalestina,si watoto akina mama na vijana na wazee wa Kipalestina!!!???You must also be very evil.I believe I am sharing with the wrong person.
 
Sasa akichokozwa ndio apeleke rape kama mchezo kwenye Olympics, wa-rape Wapalestina,si watoto akina mama na vijana na wazee wa Kipalestina!!!???You must also be very evil,I believe I am talking to the same person.
Ulitaka wabembelezwe? wamlaumu aliyewatuma kwa huo ujinga wao na hayo ndiyo matokeo halisi, hakuna muda wa kubembelezana.
 
Ulitaka wabembelezwe? wamlaumu aliyewatuma kwa huo ujinga wao na hayo ndiyo matokeo halisi, hakuna muda wa kubembelezana.
So you can also do that,mmm?? Hivi unajua kwamba hata kuua under any circumstances is evil?Mkuu wars are of the Devil,we as humanity are supposed to live in peace as God's sons and daughter.So the fact that you are endorsing evil,shows clearly that you are of Satan and also evil.
 
Back
Top Bottom