Dkt. Samia, Mchumi aliyehitajika kukinusuru kilimo na kuwafuta machozi wakulima

Samia huyuhuyu Hangaya the chief of Sukumaland ni Mchumi? Kaanza lini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kilimo cha kutegemea jembe la mkono na mvua zisizo tabirika kwenye karne hii ya 21, nacho ni cha kupongezana!

Kisa tu mmetoa vimbolea vyenu vya ruzuku, basi hatunywi maji!!
Itakua hauna taarifa za kutosha kuhusu kilimo mzee Tanzania inazidi kuendelea katika kilimo sasa hatuna kilimo cha kutegemea mvua tunalima kilimo cha umwagiliaji na ili kukamilisha mpango huu serikali inampango wa kuchimba visima 110 ili vitusaidie katika kilimo cha umwagiliaji na kingine usichokijua ukiachilia mbali mbolea ya ruzuku iliyosaidia kupunguza gharama za kilimo mkulima anapata faida zaidi akiuza mazao yake ukilinganisha na awali mkulima alikuwa hadhaminiki hii ndio maana halisi ya kilimo biashara
 

Hayo yote yamefanyiwa kazi na Serikali ya Rais Samia Suluhu vijana wataenda kuongeza ujuzi kilimo ni ajira pia kilimo ni biashara vijana inatakiwa wachangamkie fursa zipo kwenye kilimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…