Pre GE2025 Dkt. Samia ni turufu ya CCM kwa Watanzania uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Dkt. Samia ni turufu ya CCM kwa Watanzania uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Hamduni

Senior Member
Joined
Apr 25, 2020
Posts
172
Reaction score
118
π——π—žπ—§. π—¦π—”π— π—œπ—” π—‘π—œ 𝗧𝗨π—₯𝗨𝗙𝗨 𝗬𝗔 𝗖𝗖𝗠 π—žπ—ͺ𝗔 π—ͺπ—”π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” π—¨π—–π—›π—”π—šπ—¨π—­π—œ π— π—žπ—¨π—¨ 2025

Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi wa kipekee ambaye amebeba matumaini makubwa ya Watanzania. Utendaji kazi wake umejikita katika kuimarisha uchumi, kuleta maendeleo, na kuhakikisha mshikamano wa kitaifa. Kama mwanamke wa kwanza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameonesha kuwa uongozi bora haupimwi kwa jinsia, bali kwa maono, uchapa kazi wake na utekelezaji wa ahadi kwa vitendo.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika kipindi chake cha miaka 4, Rais Samia amesimamia kukamilika na uendelezaji wa miradi mikubwa kama Reli ya Kisasa (SGR), Bwawa la Umeme la Julius Nyerere ,Uwekezaji mkubwa Bandari ya Dar es salaam, Uwanja wa Ndege wa Msalato, Daraja la Kigongo Busisi, na Upanuzi wa Huduma za Maji Safi na Umeme Mijini na Vijijini. Ameboresha sekta za afya na elimu kwa kujenga Shule na Hospitali, kuongeza upatikanaji wa vifaa tiba, na kuboresha maisha ya Wafanyakazi. Jitihada zake za kuvutia wawekezaji zimeimarisha Uchumi wa Taifa na kupanua fursa za ajira kwa Watanzania walio wengi.

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kusema; "π‘Ύπ’‚π’π’‚π’˜π’‚π’Œπ’† π’π’Š π’‹π’†π’”π’‰π’Š π’Žπ’–π’‰π’Šπ’Žπ’– 𝒍𝒂 π’Žπ’‚π’†π’π’…π’†π’π’†π’; π’–π’Œπ’Šπ’˜π’‚π’‘π’‚ π’π’‚π’‡π’‚π’”π’Š π’˜π’‚π’•π’‚π’π’†π’•π’‚ π’Žπ’‚π’‘π’Šπ’π’…π’–π’›π’Š π’šπ’‚ π’Œπ’˜π’†π’π’Š." Mwalimu Nyerere alitambua uwezo wa wanawake katika kuleta mabadiliko. Kauli yake imejidhihirisha kupitia uongozi wa Rais Samia, ambaye amekuwa mfano bora wa utekelezaji wa maono hayo kwa vitendo.

Rais Samia mara kwa mara amesisitiza kuwa wanawake si wanyonge. aliwahi kusema; "π‘²π’‚π’Žπ’‚ π‘΄π’˜π’‚π’π’‚π’Žπ’Œπ’†, π’π’Šπ’π’‚π’‚π’Žπ’Šπ’π’Š π’•π’–π’π’‚π’˜π’†π’›π’‚ π’Œπ’–π’‡π’‚π’π’šπ’‚ π’Žπ’‚π’Žπ’ƒπ’ π’Žπ’‚π’Œπ’–π’ƒπ’˜π’‚ π’•π’–π’Œπ’Šπ’‘π’†π’˜π’‚ π’π’‚π’‡π’‚π’”π’Š." Kupitia hotuba zake na vitendo vyake, amewahamasisha wanawake kote nchini kushiriki kikamilifu katika maendeleo. Pia ameongeza uwakilishi wa wanawake kwenye nafasi za uongozi serikalini na taasisi mbalimbali.

Uongozi wake umethibitisha kuwa CCM ni Chama kinachojali maslahi ya wananchi. Miradi inayotekelezwa ambayo imegusa maisha ya watu wa kawaida ni udhihirisho wa dhamira ya Chama ya kuleta maendeleo jumuishi. Rais Samia ameimarisha imani ya Watanzania kwa CCM kupitia uwajibikaji na utekelezaji wa ahadi za Chama.

Rais Samia ni mfano bora wa uongozi thabiti unaothamini mshikamano, maendeleo, na uwajibikaji. Ameonyesha kuwa wanawake ni nguzo muhimu ya maendeleo ya Taifa. Kwa utendaji wake wa bidii na maono amekuwa turufu ya CCM kwa Watanzania na kielelezo cha matumaini kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.

CCM kwa aina ya Mgombea waliomteua haina shaka kuwa itashinda kwa kishindo na kuweka historia nyingine kwa kuwa na Mgombea Mwanamama wa Kwanza aliyeshinda Urais kwa kuchaguliwa kwa kura nyingi kuliko vipindi vingine vyote vya uongozi katika historia ya Tanzania.

#𝙏π™ͺπ™£π™–π™šπ™£π™™π™šπ™‘π™šπ™–π™‰π™–π™ˆπ™–π™’π™–
 
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
 
Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
Machawa mna shida sana
 
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
Uislamu hauhitaji chawa unatuibisha ungemuachia hiyo kazi wakina Lucas Mwashambwa
 
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
Msikilize Mwl. J. K. Nyerere hapa.
 

Attachments

  • 5777675-245a16d1a646e1c5265c1678e4e73a60.mp4
    1.4 MB
We ndo wale asubuhi wanaamshwa na mkojo.
 
QmmmmmmQe
Asubuhi yote hii badala ya kusalimia shangazi zenu kijijini walioshindia viazi jana usiku mnakuja kumwabudu mwanamke mgeni aliyekuja kutawala nchi yenu.
Mmelaaniwa
 
CCM wenyewe wanajua bila vyombo vya dola vinavyoingilia uchaguzi na tume inayoitwa huru haijawahi kushinda hata uchaguzi mmoja.
 
Washinde hata asilimia 150. Taifa la wajinga siku zote ni taifa la kipuuzi
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
 
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
Thats obviously, umashindana na mtu anasubiri mbowe ampe jukwaa la mkutano kuna chama hapo kweli
 
85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr Samia ameijenga sana Tanzania ktk swala zima la demokrasia na utawala bora. Mfano chadema imefanya uchaguzi wao wa ndani wakiwa huru bila ya kusikia kelele za kuingilia tofauti na huko nyuma
4. Vyombo vya habari vipo huru sana
5. Kukubalika kwa Dr Samia ndani ya CCM ni turufu nyengine
6. Mgogoro ndani ya chadema baada ya uchaguzi wao wa ndani na kutokuwa na mgombea rais anaekubalika utaifanya CCM kushinda kwa kishindo
Mnahangaika sana jaribuni uchaguzi huru na haki na uwazi muone kitakachowakuta
 
Sijui unajisikia vipi kuanza kuandaa mazingira ya wizi wa kura. Umezoea kuiba na kuwakosea watu haki hadi umejisahau kabisa. Embu jaribu kuwa na akili kidogo.
 
Back
Top Bottom