Dkt Samia usiruhusu Chadema wapigwe, toa Amri walindwe!

Dkt Samia usiruhusu Chadema wapigwe, toa Amri walindwe!

shamimuodd

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,188
Reaction score
2,113
GTs,

Kadri muda unavyoenda naona kuna dalili za kutaka kuyafanya maandamano yawe ya umwagaji wa damu. Nashauri serikali kupitia kwa Dkt Samia atoe Amri kwa polisi waliojiandaa kuua waandamanaji badala yake wawalinde na yeye ikiwezekana ahutubie kwenye hayo maandamano uwe ni wakati wake wa kusikiliza kero na kutolea uamuzi na maandamano yaishe.

Inavyoonekana kuna mpango wa kufanya maandamano kiwe kigezo cha kumuondoa asigombee 2025 hasa hao polisi wakitumia nguvu kubwa.

Ushauri wangu: Dkt Samia bado Tanzania na watanzania tunamuhitaji sana aendelee kutuongoza maana uongozi wake umeonesha uthubutu ktk kuleta maendeleo.

Nawasilisha
 
GTs,

Kadri muda unavyoenda naona kuna dalili za kutaka kuyafanya maandamano yawe ya umwagaji wa damu. Nashauri serikali kupitia kwa Dkt Samia atoe Amri kwa polisi waliojiandaa kuua waandamanaji badala yake wawalinde na yeye ikiwezekana ahutubie kwenye hayo maandamano uwe ni wakati wake wa kusikiliza kero na kutolea uamuzi na maandamano yaishe.

Inavyoonekana kuna mpango wa kufanya maandamano kiwe kigezo cha kumuondoa asigombee 2025 hasa hao polisi wakitumia nguvu kubwa.

Ushauri wangu: Dkt Samia bado Tanzania na watanzania tunamuhitaji sana aendelee kutuongoza maana uongozi wake umeonesha uthubutu ktk kuleta maendeleo.

Nawasilisha
naye tapigwa na dunia na Mungu
 
GTs,

Kadri muda unavyoenda naona kuna dalili za kutaka kuyafanya maandamano yawe ya umwagaji wa damu. Nashauri serikali kupitia kwa Dkt Samia atoe Amri kwa polisi waliojiandaa kuua waandamanaji badala yake wawalinde na yeye ikiwezekana ahutubie kwenye hayo maandamano uwe ni wakati wake wa kusikiliza kero na kutolea uamuzi na maandamano yaishe.

Inavyoonekana kuna mpango wa kufanya maandamano kiwe kigezo cha kumuondoa asigombee 2025 hasa hao polisi wakitumia nguvu kubwa.

Ushauri wangu: Dkt Samia bado Tanzania na watanzania tunamuhitaji sana aendelee kutuongoza maana uongozi wake umeonesha uthubutu ktk kuleta maendeleo.

Nawasilisha
Tatizo walio karibu na Rais hawamuambii ukweli. Mtu aliyempoteza ndugu yake au rafiki yake na analia kuomboleza ni vigumu kumzuia asilie. Polisi walinde maandamano kuhakikisha vurugu haitokei basi na yatapita tu.
 
Tatizo walio karibu na Rais hawamuambii ukweli. Mtu aliyempoteza ndugu yake au rafiki yake na analia kuomboleza ni vigumu kumzuia asilie. Polisi walinde maandamano kuhakikisha vurugu haitokei basi na yatapita tu.
Kabisa. Yaani kama washauri wengi wanaomzunguka rais wanahofia kupoteza vyeo zaidi kuliko kumshauri kwa maslahi mapana ya nchi
 
Maandamano ni kitu kizuri sana shida ni jobless and hopeless people ambao huyatumia maandamano vibaya kwa kuvunja maduka na kuiba, dawa ni FFU kesho kukamata protesters na kuwasweka ndani miezi sita au mwaka, wasiwapige wala kuwaua sababu kuandamana ni haki yao ya kikatiba.

Damu ikimwagika ni laana kubwa itakayotafuna nchi na kuchochea vurugu zisizokoma kama Burundi.

Watu wakifa Mabeberu watahamishia kabisa camera zao bongo na kuchochea vurugu zaidi, hata kesho camera za mabeberu zitawekwa road ili kupata habari mbaya tu za kuichafua tz.

Vijana mnaopenda ugali wa jela kesho kaandamaneni mkawe wake za manyapara!!
 
Ushauri wangu: Dkt Samia bado Tanzania na watanzania tunamuhitaji sana aendelee kutuongoza maana uongozi wake umeonesha uthubutu ktk kuleta maendeleo.
Ushauri mzuri ila tu hapa ndio unakosea.
 
KUNGUNI yeyote atakaye jaribu kusogeza pua yake atajuta kuandamana.
 
Kabisa. Yaani kama washauri wengi wanaomzunguka rais wanahofia kupoteza vyeo zaidi kuliko kumshauri kwa maslahi mapana ya nchi
Nani anaweza kuvumilia ndugu yake akitekwa na kuuawa bila hatia? Mbona watu wanajisahau kama si binadamu?
 
GTs,

Kadri muda unavyoenda naona kuna dalili za kutaka kuyafanya maandamano yawe ya umwagaji wa damu. Nashauri serikali kupitia kwa Dkt Samia atoe Amri kwa polisi waliojiandaa kuua waandamanaji badala yake wawalinde na yeye ikiwezekana ahutubie kwenye hayo maandamano uwe ni wakati wake wa kusikiliza kero na kutolea uamuzi na maandamano yaishe.

Inavyoonekana kuna mpango wa kufanya maandamano kiwe kigezo cha kumuondoa asigombee 2025 hasa hao polisi wakitumia nguvu kubwa.

Ushauri wangu: Dkt Samia bado Tanzania na watanzania tunamuhitaji sana aendelee kutuongoza maana uongozi wake umeonesha uthubutu ktk kuleta maendeleo.

Nawasilisha
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom