Dkt. Shika sasa ana maisha magumu, hana pa kuishi

Dkt. Shika sasa ana maisha magumu, hana pa kuishi

Kwa uzoefu wangu Ni kwamba,wasomi wengi nchi hii madishi yakianza kucheza huwa lazima waanze habari za kujinasibisha na UN.

Atakuambia alikuwa coordinator wa UN somewhere na vitu kama hivyo.

Ni suala la muda,mtaanza kumuona kwenye majalala.
Utasikia oo mi nilikua flani ha ha ha ha ulivyokua flani ulifanya nini huyu jamaa kama alikua bilionea kweli kwanini hakujenga tanzania au kuwakumbuka ndugu zake ambao wange msitili saizi. Inaonekana alikua na nyodo sana
 
Waandishi wanapaswa kutilia maanani kitu wanaita "ethical consideration." Na hili Daily News, kama waandishi wa habari, wanalijua.
Kama wanalijua mbona hawakulifuata? Siyo lazima kila kitu kukiandika, mwandishi angeweza kutoa taarifa kwa wahusika ili wamsaidie.
 
Bongo hua mnashabikia ujinga, Shika hana hela alikua anawadanganya tu, website aliyotoa imetengenezwa for free kutumia templates za kijinga online, yaani aliyetengeneza ilimchukua kama nusu saa tu, kupata .ru russian domain ni rahisi mtu yeyote anaweza pata unalipia online hata $5. Mzee maskini, kashika watanzania vilaza, mnampa promo za kijinga tu. Akapimwe akili sio mnakaa mnamchekea mgonjwa. $50Billion mnazijua kweli? that scumbag hana hata elfu kumi.

Alafu ona jamaa walivyo na vitambi, watanzania em fanyeni mazoezi seriously acheni ujinga, mnakula sana ugali na chips mayai, afya za ovyo.
 
It's a pity,this guy should be in a "loony" somewhere not in the streets.Hivi alikuwa anafundisha nini cha kuweza kukusanya dola mil 18?????????
 
Kama wanalijua mbona hawakulifuata? Siyo lazima kila kitu kukiandika, mwandishi angeweza kutoa taarifa kwa wahusika ili wamsaidie.
Ukiiangalia hii habari ina maswala mawili tofauti yenye malengo mawili tofauti pia. Moja: Kumsaidia Dk. Shika kwa lengo la kumkwamua kimaisha. Pili: Daiy News walitaka kupata wasomaji kwa lengo la kuongeza mapato. Haya yote wamefanya kwa kuzingatia miiko ya taaluma.
 
Yule Bilionea wa 900 itapendeza hana pa kulala, bado anasubiri hela zake kutoka Russia.

===

View attachment 1249631

FAMOUS 'BILLIONAIRE' SHIKA TURNS HOMELESS

FAMOUS Dr Louis Shika— billionaire without cash—as he has nicknamed himself, is now putting up at Mnazi Mmoja bus stand in Dar es Salaam, the ‘Daily News’ has learnt.

Dr Shika (pictured) became popular in 2017 when he attempted to buy the Lugumi’s mansions through the auction, offering the highest bid of 900m/-, which he later failed to settle.

He has now relocated from Mabibo suburb to Mnazi Mmoja in efforts to get a Good Samaritan who can grant him 200 US dollars (about 500,000/-), which can “within three days make me the real richest person.”

The billionaire is now ‘living’ at the Bus stand for com-muter buses that ply between Mnazi Mmoja and Buguruni, Mabibo and Tabata suburbs.
In an interview with the ‘Daily News’ on Monday night at his new settlement, Dr Shika explained: “I have a lot of money in various accounts abroad.

I need only 500,000/- to send to Switzerland for the country to release my 18,000 million dollars within three days.”
He said that the 18,000 million dollars was part of his earnings he made while serving as senior lecturer at Moscow State Medical University in Russia, some years back.

The medical professional Dr Shika, as he introduced himself, earned about 50 billion dollars in Russia but has direct access to only 11 billion dollars for the time being, he explained.

He said the mission to bring his money back home has failed due to Tanzania’s financial policies and he had in May this year written President John Magufuli, requesting him, among others, for 200 dollars.
He is still waiting for the president’s response. Dr Shika claimed that he plans to invest the 18,000 million dollars to at least 30 domestic companies, including fisheries and mining.

He said he will also invest part of the money to his Chemical Industries Lancefort Company, which is in Russia.

The United Nations has sought to work with me since the tenure of Secretary General Kofi Annan,” he said.

At the time of his UN appointment by the late Annan, Dr Shika claims he was also needed at one of the universities in the United States with a lucrative salary promise but rejected the offer, opting for the UN green pastures.

But, the UN mission failed due to his inability to pay the 3,975 US dollars to DHL for the consignment delivery.
He narrated his life story, saying he refrained from working with Tanzanian health sector because one of the officers rejected to accept him at Ruvuma regional hospital under the ground that his identification letter from health ministry was not verified.

“I was serving at the hospital as Medical Assistant before I went to Russia for my first degree and PhD medical studies.

I returned back as a specialist where the ministry posted me at the same working station in Ruvuma but the officers rejected me.

They told me to return in Dar es Salaam until they cross check my letter’s validity. I agreed with them but never made any follow to date,” he said.
Dr Shika who have six children from different mothers but without a wife, is still searching for employment abroad, upon investing his 18,000 million dollars in various investments in the country.

Source: Daily News
Mku kwani hao watoto wake 6 wameshindwa kumpa Baba yao Laki Tano kweli? Watoto wa Dr? Tena aliesomea Urusi wala sio shule za kayumba?
 
Jana nilimsikiliza akihojiwavna na AZaM kuwa anashida ya Dolla 200 ili apate hzo pesa zake kutoka Russia Sasa najiuliza huyu ni billionare gani huyu ambaye hana pesa
 
Kwani wewe ukisikia UN unafikiria muujiza gani? Kweli usilolijua ni kama usiku wa giza. Katibu Mkuu wa UN amesema kuwa UN inaweza kushindwa mishahara ya wafanyakazi wake ifikapo Jan 2020. Sasa wewe unataka mfanyakazi wa UN asaidie vipi nchi yake ama ndugu zake? Kwa taarifa yako wafanyakazi wa UN wanawajibika kwa UN na wala si kwa nchi zao.
Utasikia oo mi nilikua flani ha ha ha ha ulivyokua flani ulifanya nini huyu jamaa kama alikua bilionea kweli kwanini hakujenga tanzania au kuwakumbuka ndugu zake ambao wange msitili saizi. Inaonekana alikua na nyodo sana
 
Back
Top Bottom