Huyu jamaa ni mtunzi.. Ninawasi wasi na uzi ule.... Japo alijaribu kujenga facts ila ni nadharia zaidbritanicca anafaili lote, kuna muda alizama kufuatilia habari za huyu nguli. Alituwekea hadi hadidu rejea za kazi yake.
Njoo utupatie mrejesho mkuu.
Huyu jamaa ni mtunzi.. Ninawasi wasi na uzi ule.... Japo alijaribu kujenga facts ila ni nadharia zaid
Asante kwa nukuuYesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo
28 “Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha"
Of course Sio rahisi kuelewa kitu anachokiwaza mtu afu hajakisemaKuna jambo naliona kwa huyu mzee, sio rahisi kunielewa kwa sasa ila muda utamaliza.
Nafikili huyu dr shika ni level nyingine,maana kwa namna tu ya uongeaji wake ni dhahili ni mtu makini sana.Kuna jambo naliona kwa huyu mzee, sio rahisi kunielewa kwa sasa ila muda utamaliza.
NJONI KWANGU NINYI NYOTE MSUMBUKAO NA WENYE KULEMEWA NA MIZIGO NAMI NITAWAPUMZISHA.Mathayo 11:28
Macho huna basi hata kupapasa huwezi ?Nani alimtumia?
Hiyo ni Dr wa CCMMbona anajibu kwa jeuri sana, huyu hajafikia hatua ya kuonewa huruma.
CCM na wale wote waliokuwa wanampandisha ndege kwenda Mikoa mbalimbaliwakina nani walimtumia??
Lipo Sawa kabisa,tena ni lile la futi8Jamaa dishi halipo sawa,...
Nataka kumpa pesa akalale gesti Sewa Bar BuguruniUnamutafutia nini? Pesa za kumpa huna sasa je?
Pesa anazo ila zimeshikiliwa nje ya Nchi,UswiziJana nilimsikiliza akihojiwavna na AZaM kuwa anashida ya Dolla 200 ili apate hzo pesa zake kutoka Russia Sasa najiuliza huyu ni billionare gani huyu ambaye hana pesa
Ndio maana huna muda na yule mwehu musiberKutengeneza news kupitia kwa mu kwenye hali kama ya Dr. Shika, is not fair, it's out of context and unethical, unless kama lengo ni kumhighlight ili asaidiwe.
P
Kama ni Sewa ya Buguruni, utakuwa humtakii mema!, unataka agombaniwe kama moira wa corner?, usiishie kumlipia tuu gest bali Maria na fedha za kulipia zile huduma, thanks god, it's cheaper kuliko ...Nataka kumpa pesa akalale gesti Sewa Bar Buguruni
Huyu ni MtumishiNafikili huyu dr shika ni level nyingine,maana kwa namna tu ya uongeaji wake ni dhahili ni mtu makini sana.
Hahaha...Asante kwa ushauri Dkt.PaskoKama ni Sewa ya Buguruni, utakuwa humtakii mema!, unataka agombaniwe kama moira wa corner?, usiishie kumlipia tuu gest bali Maria na fedha za kulipia zile huduma, thanks god, it's cheaper kuliko ...
P