Nikufundishe jambo! Mpaka mwanamke kupata PhD mara nyingi mwana anakuwa umri umesogea.Mtoto wa professor,aliolewa na Professor,na mtoto ana PhD, ni mbunge.
Leo anajifungua ana umri Gani ? Ukiingia kujifungua mtoto ukiwa na 45+ kutoka huko ukiwa salama ni chance ya 50/50
Unataka CV yake ili umrudishe katika Ukatibu Mkuu? Jua ana PhD ya ITCV yake tafadhali
Associate Professor kijana anaitwa Professor.Wengi wenye Associate Professor wanajiita professor
Na Professor anaitwa naniAssociate Professor kijana anaitwa Professor.
The main differences between an associate professor and a professor are:Associate Professor kijana anaitwa Professor.
Swali gani hili umeuliza. Anaitwa Professor. Katika Uprofessor kuna tabaka mili yaani Full Professor na Associate Professor. Hii ni sawa na Senior Lecturer na LecturerNa Professor anaitwa nani
Una matatizo si bure! TCU katika Tanzania ndiye authority ya hayo maswali unayoulizaThe main differences between an associate professor and a professor are:
1. Academic Rank:
- Associate Professor: This is an intermediate academic rank, typically the second level in the tenure-track faculty hierarchy.
- Professor: This is the highest academic rank, often referred to as a "full professor."
2. Tenure and Promotion:
- Associate Professor: This rank is typically achieved after successful completion of the tenure and promotion process. Associate professors have earned tenure.
- Professor: Professors have been promoted beyond the associate professor rank, often after demonstrating continued excellence in research, teaching, and service over an extended period.
3. Responsibilities and Expectations:
- Associate Professor: Associate professors are expected to have a strong research program, teach effectively, and contribute to the academic community through service activities.
- Professor: Professors are expected to be leaders in their field, with a well-established research program, a proven track record of effective teaching, and significant contributions to the academic community and their profession.
4. Salary and Compensation:
- Associate Professor: The salary of an associate professor is generally higher than that of an assistant professor, but lower than that of a full professor.
- Professor: Professors typically have the highest salaries among faculty members, reflecting their seniority, experience, and contributions to the institution.
5. Decision-Making and Governance:
- Associate Professor: Associate professors may have some involvement in departmental and institutional decision-making processes, but the level of involvement may be more limited compared to that of full professors.
- Professor: Professors often play a more prominent role in the governance of their department, college, and the university as a whole, serving on important committees and contributing to strategic planning.
Ila Hawa ni wasukuma nahisiKatika kabila ya wasafwa ukoo wa Mlozi ndio unaongoza Kwa kuwa na wasomi ma doctor wenye PhD wengi
Ni wengi sana
Poleni wafiwa
Dah aiseee Very sorry kwa Prof Sedoyeka My lecturer pale IFM, sasa ni Mkuu wa chuo IAA!!Yes mume wake ni Prof.Sedoyeka ambaye baba yake alikua mkuu wa wilaya
Kwa marehemu alipata changamoto ya kiungulia kwa siku 2 kabla ya kifo chake.Mtoto wa professor,aliolewa na Professor,na mtoto ana PhD, ni mbunge.
Leo anajifungua ana umri Gani ? Ukiingia kujifungua mtoto ukiwa na 45+ kutoka huko ukiwa salama ni chance ya 50/50
Ooh so sad indeedKwa marehu alipata changamoto ya kiungulia kwa siku 2 kabla ya kifo chake.
Pamoja na kupata matibabu hosp siku ya kifo chake mapema asubuhi, alidhoofika na kuanza kushindwa kupumua vizuri na kukimbizwa hosp. Lakin kwa bahati mbaya aliweza kufariki kabla ya kupata huduma.
Hivyo chanzo kinatajwa ni kukosa oksejini ya kutosha katika damu.
Wataalam watasaidia kama inahusiana na mambo ya uzazi. Alijifungua mapacha wiki 2 zilizopita.
Asante kwa hii habari.Kwa marehemu alipata changamoto ya kiungulia kwa siku 2 kabla ya kifo chake.
Pamoja na kupata matibabu hosp siku ya kifo chake mapema asubuhi, alidhoofika na kuanza kushindwa kupumua vizuri na kukimbizwa hosp. Lakin kwa bahati mbaya aliweza kufariki kabla ya kupata huduma.
Hivyo chanzo kinatajwa ni kukosa oksejini ya kutosha katika damu.
Wataalam watasaidia kama inahusiana na mambo ya uzazi. Alijifungua mapacha wiki 2 zilizopita.
Profesa Sedoyeka ni mume wake na marehemuWa SUA (Mlozi) ndiye baba yake ujue. Kuhusu Prof Sedoyeka aliyekuwa IFM ni kijana mdogo sana
Kuzaa siyo lelemama aisee. Nilishaingia leba eti kumpa sapoti baby mama dah kidogo nizirai. Mpaka leo huwa siamini kwamba bichwa la mtoto linaweza kupita katika kanjia kale kadogo mnato. Sijui inakuwaje yaani maana litoto likitoka mshimo unaoachwa pale mtu unashangaa. Ajabu sasa baada ya miezi mitatu tu ukipagusa tena unakuta pamekuwa mnato hatari. Mungu ni mwema....Kuzaa mtihanii
Naogopa kuzaa mie
Katika kabila ya wasafwa ukoo wa Mlozi ndio unaongoza Kwa kuwa na wasomi ma doctor wenye PhD wengi
Ni wengi sana
Poleni wafiwa
Yes. Mbona miaka 45 mbali sana. Mtu aliyesoma shule moja kwa moja mpaka Ph.D anamaliza na miaka 28-32, ukiwa na kichwa chepesi una-publish sana ktk international journals kabla ya kifikisha miaka 35 utakuwa associate professor. Average annual points zako zikiwa 10 yaani 8 from journal papers plus 2 from teaching.Professor mdogo kwa umri anaweza kukosa miaka 45 ya kuzaliwa?
hii kitu inanifikirisha sana, ni kwa nini wanaofariki kwa uzazi wengi ni wadada wasomi na waelewa wa mambo lakini ni nadra kusikia wanawake wasio wasomi hasa wa vijijini wakifariki kwa sababu za uzazi....Hii kitu ya wadada wazuri kujifingua na kupotea,imezidi sana,last week ilimchukua dada mzuri sana Jiji la Tanga,idara ya Sheria.
Ummy Mwalimu, anzisha utafiti kujua tatizo ni nini, vinginevyo tunapoteza visura wetu kila siku.