Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
We mpumbafu huu uzi wa msiba..unaleta utopolo wako hapa...jukwaa la michezo halikutoshi?...Kolo unaogopa kufa, una raha gani duniani hapa ikiwa timu lako bovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpumbafu huu uzi wa msiba..unaleta utopolo wako hapa...jukwaa la michezo halikutoshi?...Kolo unaogopa kufa, una raha gani duniani hapa ikiwa timu lako bovu
Atakuwa alichelewa shuleni sasa alikuwa anaziba mapengo! Mungu ampe pumziko la amani!Alikuwa bado anazaa tu .Too risk kuzaa at 40+.
Queen mlozi ni mama yakeNi ndugu na Queen mlozi wa ccm?
Solo mlozi unamjuaQueen Mlozi ni Mama yake huyo Marehemu Baba yake ni Professor Malongo Mlozi wa SUA
Pumbavu mama yako angeogopa kuzaa ungepatikanaje.Nitakulatua makofiKuzaa mtihanii
Naogopa kuzaa mie
Acha uoga,jiachie sperms ziiingie weweKuzaa mtihanii
Naogopa kuzaa mie
😂😂😂😂Pumbavu mama yako angeogopa kuzaa ungepatikanaje.Nitakulatua makofi
Nilishapoteza mtu wa karibu sana kwa uzazi pia. Naogopa kweliiiAcha uoga,jiachie sperms ziiingie wewe
Acha uoga,hiyo ni chance tuNilishapoteza mtu wa karibu sana kwa uzazi pia. Naogopa kweliii
Hapana fuatilia VizuriKwa sasa ni RC Kagera
Possibly maana Chief Nsolo kijana wa Queen Mlozi anaelekea kuzika Hanang... jambo moja tu ambalo bado linanichanganya kwa nini ameeitwa Sedoyeka, kwamba aliolewa na kijana wa Sedoyeka au Baba yake ni Sedoyeka yule alikuwa DC morogoro nyakati hizo.... mhh ya watu tuwaachie watu!!Ni ndugu na Queen mlozi wa ccm?
Hatari mnoHii Nchi ukiwa na issue nzito ya kiafya ni bora ukimbie hata Kenya la sivyo tunakuzika. Tuna sekta mbovu sanaaaaaaa ya afya.
Yes mume wake ni Prof.Sedoyeka ambaye baba yake alikua mkuu wa wilayaPossibly maana Chief Nsolo kijana wa Queen Mlozi anaelekea kuzika Hanang... jambo moja tu ambalo bado linanichanganya kwa nini ameeitwa Sedoyeka, kwamba aliolewa na kijana wa Sedoyeka au Baba yake ni Sedoyeka yule alikuwa DC morogoro nyakati hizo.... mhh ya watu tuwaachie watu!!
Wewe ni mgeni humu? Huyo hata afe Donald Trump ataandika R.I.P CLASSMATENa wewe ulisoma UDSM Engineering ?miaka ya 2000
Nina wawili, wife anakomaa tuongeze hana habari kabisa.Yani hivi vifo vya uzazi vinasikitisha mno jamani...naogopa kabisa kuongeza mtoto wa 6...na lengo langu lilikua atleast watoto 8...
Nani singo maza?Huyu alikuwa single mother!
vifo vipi vinafurahisha?Vifo vinavyotokana na uzazi vinahuzunisha sana. R. I. P.