Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Mungu ampumnzishe kwa amani.Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ampumnzishe kwa amani.Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Au labda alifiwa na mkewe ndo akamuoa huyo nae kafa.Hao ndio watoto wa kwanza? Mbona Sedoyeka ana watoto wengine au aliachana na mke wa kwanza akamuoa huyu mbunge?
Duh! So sad! Vipi kuhusu watoto?Uzazi amejifungua.mapacha ...akapata complications
Ila bado unaendelea tu Kusoma Posts zangu zenye Uwongo je, hapa nikikushauri ukajiandikishe kwa Watu wa DCEA ili uwemo katika ile List yao ya Watanzania Milioni 4 wana Utaahira nitakuwa Nakukosea au?We jamaa mwongo sana....😂😂😂
No research,no right to speak,ni mke wa mtu na mme wake ni Prof.SedoyekaHuyu alikuwa single mother!
Acha wivu,na itakusaidia nini kwa sasa?alishakua na akatoka akawa mbunge wa EALA,Mungu kamchukua,tumuombee apjmzike kwa amani,inatosha!Alipataje huo ukuu wa Chuo?
.
1. Nafasi ilitangazwa wazi? Kwenye magazetti? Lipi? La lini?
2. Wali-apply wangapi? Shortlisted? Invited for interview? Interview scores? Panelists walikua wakina nani?
3. Nani alishinda interview? Scores zao?
Mkuu haya mambo mbona mnachukua kama kusema marehemu? Hamuwez kujifunza kupitia yaliyofanyika kwake?Acha wivu,na itakusaidia nini kwa sasa?alishakua na akatoka akawa mbunge wa EALA,Mungu kamchukua,tumuombee apjmzike kwa amani,inatosha!
Alisoma Moro sec 1993 -1996.Alisoma Kilakala...then UDSM, Eletrical Engineering. Baadae mambo ya utalii. Alikuwa mpole na hakuwa na makuu hata kidogo. Kifo kuna wakati kinatupata maswali magumu kweli kweli, na lazima tyuyajibu with flying colours. Mbele yetu na sisi wengine tuko kwenye foleni
Rest In Eternal Peace Dr. Shogo
Duuuh 1&2 au 3&4 km hiyo ya pili tunajuana tulikuwa woote F rightR.I.P my classmate & deskmate@ morosec
Bro, acha hizo. Usihukumu watu usiowajua.Nilikuwa simjui ila baada ya kuiona tu hii Picha yake na kutumia Utaalam wangu fulani nimeshajua nini Kimemuondoa.
Acha arrogance. Sasa hayo maswali unamuuliza nani na utauliza wangapi? Una jibu la swali hilo kwa taasisi yoyote Tanzania?Alipataje huo ukuu wa Chuo?
.
1. Nafasi ilitangazwa wazi? Kwenye magazetti? Lipi? La lini?
2. Wali-apply wangapi? Shortlisted? Invited for interview? Interview scores? Panelists walikua wakina nani?
3. Nani alishinda interview? Scores zao?
Huu ndiyo ilitakiwa uwe ndiyo mjadala.Ni aibu mpaka leo mwanamke anakufa kwa kujifungua.
Hii Nchi ukiwa na issue nzito ya kiafya ni bora ukimbie hata Kenya la sivyo tunakuzika. Tuna sekta mbovu sanaaaaaaa ya afya.Kizazi kipya cha madokta hakipo vizuri kwenye huduma za afya hasa uzazi tena ikiwa upasuaji ndio hatari sana.
Marehemu mwenye alikuwa kiongozi. Sitashanga nikisikia tukipoteza Waziri kwa malaria. Tuna viongozi wanapenda kuiba wanasahau hata maisha yao.Huu ndiyo ilitakiwa uwe ndiyo mjadala.
Tumepoteza msomi kwa kuwa waliopo madarakani hawajali wazazi ama watoto wanaokufa wakati wa kujifungua.
Early 2000s...no idea when exactly and when did she complete her programsUDSM aliingia mwaka gani?
Alikuwa bado anazaa tu .Too risk kuzaa at 40+.Early 2000s...no idea when exactly and when did she complete her programs
Kolo unaogopa kufa, una raha gani duniani hapa ikiwa timu lako bovuww utopolo kipu kwayati