KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Tena ukiwa mdogo Professor anakuambia subiri ukue kwanza🤣🤣🤣PhD za china,ukienda mwaka huu,next year unarudi nayo .
Nenda udsm uone utarudi nayo mwaka Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ukiwa mdogo Professor anakuambia subiri ukue kwanza🤣🤣🤣PhD za china,ukienda mwaka huu,next year unarudi nayo .
Nenda udsm uone utarudi nayo mwaka Gani?
China ni jalala la PhDTena ukiwa mdogo Professor anakuambia subiri ukue kwanza🤣🤣🤣
Huyu marehemu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza kuhusu bw sedoyeka sifahamu kama alishaoaga na kama ana watotoHao ndio watoto wa kwanza? Mbona Sedoyeka ana watoto wengine au aliachana na mke wa kwanza akamuoa huyu mbunge?
She has gone too early. Rest in peace. She seemed smart enough."
The life is really fullfilled of pleasures and sadnesses, but by the grace of God we still passing through all situations.alikua mwalimu wangu huyu open enzi hizo nakomaa nashule kipindi hicho sijajua kama elimu ya bongo ni pyramid scheme ,
Alikua mtu poa sana kama humjui ni lazima umchukulie poa maana alikua ni mdada mdogo sana ila na PhD na ni head of department halafu yupo simple tu tena ni easy going.
Our first encounter nilienda kufatilia research yangu department nikakutana mdada mrembo akanikaribisha nikamwambo mambo vp naomba kumuona Dr Fauzia nikiamin huyo dada ni secretary wa Dr fauzia nisijue kwamba Dr fauzia kahamishwa department na uyo dada ninayeongea nae ndio top manyota akiniuliza shida yako nini nikamwambia akaniuliza jina nikamwambia akachek mezan kwake kumbe nimefika pale alikua live na proposal yangu akaniambia kabadilishe research title halafu uje, nilimaindi mno ila sikumuonyesha nilitoa tabasamu la kishamba nikaondoka nikaenda kuambia wahuni wangu kuna kamanzi kanazingua balaa kamenibadlishia title na nilikua hatua za mwisho kabisa niingie field wadau wakaniamnia sio kamanzi kale yule Dr (phD) na ndio HOD wetu nikawa na adabu pia nikashukuru sikuonyesha uswahili , nilichelewa kupeleka marekebisho akanitumia email ikiwa title mbalimbali nichague moja halaf nimpelekee nilivyopeleka ndio akanisanua kwamba title yangu ingenitesa mno nisingepata data za kutosha na muda haukua upande wangu nilishangazwa sana level ya utu aliokuanayo mdada yule
hivi ndivyo nitakavyomkumbuka Dr Shogo Mulozi RIP
Bado unarudia kilekile, hujaeleza upuuzi au kutokuwa na umuhimu kwa elimu ambayo ndio hoja yangu.Dah wew jamaa mbishi sana huyu binti marehemu huwezi kusema katoka kwenye familia ya wasomi saanaa.
Baba yake kweli msomi kwelikweli Professor huyu mtoto hadi anazaliwa mama yake Queen Mlozi alikuwa ni mwalimu wa primary.
Huyu mama yake marehemu degree yake kaipata kupitia mature age entry na aliweza kufaulu kupitia kujuana kati ya Mume wake akiwa professor sua na wakufunzi wa mzumbe aliposomea degree huyo mama yake marehemu.
Huyu mama zen akafluck fluck huko ccm akahonga na kupewa u dc baadae akawa katibu mkuu uwt.
Suala la kufanikiwa mtu kimaisha na masuala ya elimu are not directly proportion.
Kuna watu kibao nawajua mimi wazazi wao hawana elimu yeyote ila wamefanikiwa kupita watu wengi wenye elimu zao na Kuna watu wazazi wao ni wasomi na elimu zao kubwa ila hawana lolote la kujivunia.
Kwa hiyo ndugu kwa karne hii kufanikiwa ki maisha hakutegemei sana elimu ya darasani.
Mimi hapa mwenyewe nina degree 3 bachelor 1 na masters 2 tofauti ila kimafanikio ya kimaisha nakiri Dimondplatnumz aliyefeli form 4 wakati mimi nina division 1 amenizidi kimafanikio ya kimaisha huyo dimond
Alikua na watoto wawili tayariHuyu marehemu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza kuhusu bw sedoyeka sifahamu kama alishaoaga na kama ana watoto
Kumbe hawakuwa na watoto kabla ya hawa.Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Ndio yeye.Sedoyeka ni yule mkuu wa chuo cha uhasibu Arusha. Alikuwa katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii?
We jamaa mwongo sana....😂😂😂Nilikuwa simjui ila baada ya kuiona tu hii Picha yake na kutumia Utaalam wangu fulani nimeshajua nini Kimemuondoa.
Prof Sedoyeka wamezaliwa wawili tu?Acha kuchanganya mambo mkuu, marehemu tayari alikuwa na familia yake yeye mwenyewe marehemu alikuwa na PhD kwenye mambo ya Tourism, MBA na Bachelor Electrical Engineering mume wake ni Professor.
Baba wa marehemu Professor kaka yake ndio anafanya kazi NMB kwenye familia yao walizaliwa 2 tu.
Elimu ina umuhimu wake na vipaji vina umuhimu wake mtu kama christiano ronaldo, mbwana samatta, diamond platnum, Ramadhan Brothers ukiwaambia umuhimu wa elimu versus vipaji walivyobarikiwa na wakaweza kuvitumia vizuri hawawezi kuelewa ukiwaambia kuhusu elimu ya darasani.
Kila kimoja Elimu au kipaji kina umuhimu wake ndugu ila all in all kipaji kinalipa zaidi kama ukikigundua mapema na ukakitumia vizuri mapema.
Elimu ina mlolongo mrefu sana hadi uje ufanikiwe kwenye elimu unless otherwise uwe genius kwenye hiyo field unayosomea.
Kufa utakufa tu mkuu, anakufa fundi viatu anayeshinda chini ya mti sembuse wewe unayeshabikia makolo.Tulia kijana watu tuzae...sema itabidi niache tuu maana si kwa vifo hivi inatisha mnoo..
kabisa mkuuThe life is really fullfilled of pleasures and sadnesses, but by the grace of God we still passing through all situations.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
Fyatua Watoto wewe, lini kifo kiliepukika ikiwa tarehe na aina ya kifo kilishapangwa na Mungu?Yani hivi vifo vya uzazi vinasikitisha mno jamani...naogopa kabisa kuongeza mtoto wa 6...na lengo langu lilikua atleast watoto 8...
Acha kupangia Watu maisha wewe, huoni Mungu anabalansi dunia kwa Ke ambao hawakujaliwa hata Mtoto mmoja?Unazaa watoto 8 unamfuta mkapa?
Wewe ndiye mjinga unayelazimisha kwamba ili ufanikiwe ni lazima uwe umesoma.Bado unarudia kilekile, hujaeleza upuuzi au kutokuwa na umuhimu kwa elimu ambayo ndio hoja yangu.
Tena wewe hujafanikiwa pamoja na hizo degree zako tatu kwa sababu ya uwezo mdogo wa kuelewa, ulifanikiwa kujaza makaratasi. Unakaza fuvu.
Aliyekwambia mtu akifeli Form 4 hatakiwi kufanikiwa kwenye mambo mengine nani?
Na huyo Diamond kwani amefanikiwa kuliko wasomi wote.
Nani alikwambia ukiwa na Degree tatu unatakiwa umzidi Diamond ndio utakuwa umefanikiwa?
Kama ulikuwa unashindana na Diamond si ungeimba, sasa Degree tatu zote alafu unajilinganisha naye na hamfanyi field moja. Maskini wa akili wewe.
SawaFyatua Watoto wewe, lini kifo kiliepukika ikiwa tarehe na aina ya kifo kilishapangwa na Mungu?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
ww utopolo kipu kwayatiKufa utakufa tu mkuu, anakufa fundi viatu anayeshinda chini ya mti sembuse wewe unayeshabikia makolo.
Nasikilq mwenye kipaji anaweza kusomaWapi nimesema Elimu haina maana kwenye maelezo yangu.
Kila kitu kina umuhimu wake.
Ila kipaji kina lipa zaidi ya elimu ndugu kwa sababu under Ceteris paribus, kila mtu anaweza kusoma kupata elimu ila kila mtu hawezi kuwa na kipaji fulani