TANZIA Dkt. Shogo Mlozi, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki afariki dunia

TANZIA Dkt. Shogo Mlozi, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki afariki dunia

She has gone too early. Rest in peace. She seemed smart enough."

alikua mwalimu wangu huyu open enzi hizo nakomaa nashule kipindi hicho sijajua kama elimu ya bongo ni pyramid scheme ,
Alikua mtu poa sana kama humjui ni lazima umchukulie poa maana alikua ni mdada mdogo sana ila na PhD na ni head of department halafu yupo simple tu tena ni easy going.
Our first encounter nilienda kufatilia research yangu department nikakutana mdada mrembo akanikaribisha nikamwambo mambo vp naomba kumuona Dr Fauzia nikiamin huyo dada ni secretary wa Dr fauzia nisijue kwamba Dr fauzia kahamishwa department na uyo dada ninayeongea nae ndio top manyota akiniuliza shida yako nini nikamwambia akaniuliza jina nikamwambia akachek mezan kwake kumbe nimefika pale alikua live na proposal yangu akaniambia kabadilishe research title halafu uje, nilimaindi mno ila sikumuonyesha nilitoa tabasamu la kishamba nikaondoka nikaenda kuambia wahuni wangu kuna kamanzi kanazingua balaa kamenibadlishia title na nilikua hatua za mwisho kabisa niingie field wadau wakaniamnia sio kamanzi kale yule Dr (phD) na ndio HOD wetu nikawa na adabu pia nikashukuru sikuonyesha uswahili , nilichelewa kupeleka marekebisho akanitumia email ikiwa title mbalimbali nichague moja halaf nimpelekee nilivyopeleka ndio akanisanua kwamba title yangu ingenitesa mno nisingepata data za kutosha na muda haukua upande wangu nilishangazwa sana level ya utu aliokuanayo mdada yule
hivi ndivyo nitakavyomkumbuka Dr Shogo Mulozi RIP
The life is really fullfilled of pleasures and sadnesses, but by the grace of God we still passing through all situations.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
 
Dah wew jamaa mbishi sana huyu binti marehemu huwezi kusema katoka kwenye familia ya wasomi saanaa.
Baba yake kweli msomi kwelikweli Professor huyu mtoto hadi anazaliwa mama yake Queen Mlozi alikuwa ni mwalimu wa primary.
Huyu mama yake marehemu degree yake kaipata kupitia mature age entry na aliweza kufaulu kupitia kujuana kati ya Mume wake akiwa professor sua na wakufunzi wa mzumbe aliposomea degree huyo mama yake marehemu.
Huyu mama zen akafluck fluck huko ccm akahonga na kupewa u dc baadae akawa katibu mkuu uwt.
Suala la kufanikiwa mtu kimaisha na masuala ya elimu are not directly proportion.
Kuna watu kibao nawajua mimi wazazi wao hawana elimu yeyote ila wamefanikiwa kupita watu wengi wenye elimu zao na Kuna watu wazazi wao ni wasomi na elimu zao kubwa ila hawana lolote la kujivunia.
Kwa hiyo ndugu kwa karne hii kufanikiwa ki maisha hakutegemei sana elimu ya darasani.
Mimi hapa mwenyewe nina degree 3 bachelor 1 na masters 2 tofauti ila kimafanikio ya kimaisha nakiri Dimondplatnumz aliyefeli form 4 wakati mimi nina division 1 amenizidi kimafanikio ya kimaisha huyo dimond
Bado unarudia kilekile, hujaeleza upuuzi au kutokuwa na umuhimu kwa elimu ambayo ndio hoja yangu.
Tena wewe hujafanikiwa pamoja na hizo degree zako tatu kwa sababu ya uwezo mdogo wa kuelewa, ulifanikiwa kujaza makaratasi. Unakaza fuvu.

Aliyekwambia mtu akifeli Form 4 hatakiwi kufanikiwa kwenye mambo mengine nani?
Na huyo Diamond kwani amefanikiwa kuliko wasomi wote.
Nani alikwambia ukiwa na Degree tatu unatakiwa umzidi Diamond ndio utakuwa umefanikiwa?

Kama ulikuwa unashindana na Diamond si ungeimba, sasa Degree tatu zote alafu unajilinganisha naye na hamfanyi field moja. Maskini wa akili wewe.
 
Acha kuchanganya mambo mkuu, marehemu tayari alikuwa na familia yake yeye mwenyewe marehemu alikuwa na PhD kwenye mambo ya Tourism, MBA na Bachelor Electrical Engineering mume wake ni Professor.
Baba wa marehemu Professor kaka yake ndio anafanya kazi NMB kwenye familia yao walizaliwa 2 tu.
Elimu ina umuhimu wake na vipaji vina umuhimu wake mtu kama christiano ronaldo, mbwana samatta, diamond platnum, Ramadhan Brothers ukiwaambia umuhimu wa elimu versus vipaji walivyobarikiwa na wakaweza kuvitumia vizuri hawawezi kuelewa ukiwaambia kuhusu elimu ya darasani.
Kila kimoja Elimu au kipaji kina umuhimu wake ndugu ila all in all kipaji kinalipa zaidi kama ukikigundua mapema na ukakitumia vizuri mapema.
Elimu ina mlolongo mrefu sana hadi uje ufanikiwe kwenye elimu unless otherwise uwe genius kwenye hiyo field unayosomea.
Prof Sedoyeka wamezaliwa wawili tu?

Hivi ni kabila gani? Amekuwa rector kijana sana.

Zamani alikuwa na kipindi tbc cha mambo ya technology wakati huo alikuwa ni doctor na ni lecturer ifm.

Baba yake, alikuwa DC mpaka wakati wa JK.
 
RIP Shogo. Aka Twiga. Aka engineer aliyeasi.

Kifo kina ukatili sana. Ulikuwa dada mwema. Mwenye malengo yake. Ulikuwa dada unajielewa. Wengi humu watakuhukumu na kuhusisha mafanikio yako na surname yako. Ukweli ni kwamba ulikuwa dada msomi. Mpenda kujituma na mengineyo. Yes inawezekana nyayo za wazazi zili influence maisha yako hasa ya kisiasa. Lakini haikuondolei ukweli kwamba Ulikuwa dada mpambanaji. You were a true gain to any human soul you encountered.

Ulikuwa very kind kwa wale waliobahatika kukutana na wewe au kuwa karibu yako. Personally, I will miss that big smile of yours…Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yako pema peponi Shogo.

Tangu enzi za FoE, Ubungo, Finland, Larger Europe...you will be dearly missed. Nakumbuka your first trip to Helsinki when you were doing your PhD, in 🇨🇳. Nakumbuka tulivyobishana while sharing a drink in one of the streets in Europe……...nikikuchallenge kwa nini hukwenda kufanya PhD Europe. Ukinitania kwa nguvu zoteee….🤲🏻

You were a true human and your soul will live with us forever.

Nakumbuka ukinipa story of your young brother Nsolo you loved so much.. ( whom I have never had a chance to meet)….nakumbuka how you were so excited alivopata kazi NMB. May he keep shining and lighting up the world as you always.

Shogo, we shared a lot. Your memories and moments will forever be with me, and others you touched.

Namuombea mume wako mpenzi , watoto wako uliowaacha hapa duniani, wazazi na ndugu waweze kuhimili hili pigo, ambalo kiukweli halimithiriki. Hakika ni Mungu pekee ndo ataweza kuwafariji.

Kama tulivyoingia duniani kwa zamu, basi wote tunasubiri zamu zetu kuondoka.

Go well dearest Shogo! Forever in our hearts.
 
Yani hivi vifo vya uzazi vinasikitisha mno jamani...naogopa kabisa kuongeza mtoto wa 6...na lengo langu lilikua atleast watoto 8...
Fyatua Watoto wewe, lini kifo kiliepukika ikiwa tarehe na aina ya kifo kilishapangwa na Mungu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Bado unarudia kilekile, hujaeleza upuuzi au kutokuwa na umuhimu kwa elimu ambayo ndio hoja yangu.
Tena wewe hujafanikiwa pamoja na hizo degree zako tatu kwa sababu ya uwezo mdogo wa kuelewa, ulifanikiwa kujaza makaratasi. Unakaza fuvu.

Aliyekwambia mtu akifeli Form 4 hatakiwi kufanikiwa kwenye mambo mengine nani?
Na huyo Diamond kwani amefanikiwa kuliko wasomi wote.
Nani alikwambia ukiwa na Degree tatu unatakiwa umzidi Diamond ndio utakuwa umefanikiwa?

Kama ulikuwa unashindana na Diamond si ungeimba, sasa Degree tatu zote alafu unajilinganisha naye na hamfanyi field moja. Maskini wa akili wewe.
Wewe ndiye mjinga unayelazimisha kwamba ili ufanikiwe ni lazima uwe umesoma.
Kwa akili zako hizi wewe utakuwa mtu mwenye msongo sana wa mawazo kutokana na elimu uliyo nayo na mafanikio uliyo nayo.
Kiufupi elimu na mafanikio sio lazima ziende sambamba.
Halafu fanya research watu wengi waliofanikiwa kiuchumi sana hapa dunia hawajasoma sana.
Kuhusu mimi kusoma, tena sasa hivi ni PhD candidate ninasoma kama hobby ndugu nina mishe zangu za ujasiriamali tofauti kabisa na nilivyosomea.
Punguza hasira kwa watu waliokuzidi na jifunze kuappriciate your life every one is unique.
 
Wapi nimesema Elimu haina maana kwenye maelezo yangu.
Kila kitu kina umuhimu wake.
Ila kipaji kina lipa zaidi ya elimu ndugu kwa sababu under Ceteris paribus, kila mtu anaweza kusoma kupata elimu ila kila mtu hawezi kuwa na kipaji fulani
Nasikilq mwenye kipaji anaweza kusoma
 
Back
Top Bottom