Kwani unakufa wewe!? Mwanamke mwenzao Ummy ndo kawatekelekezaTulia kijana watu tuzae...sema itabidi niache tuu maana si kwa vifo hivi inatisha mnoo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani unakufa wewe!? Mwanamke mwenzao Ummy ndo kawatekelekezaTulia kijana watu tuzae...sema itabidi niache tuu maana si kwa vifo hivi inatisha mnoo..
Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewaAnaonekana kazidi 40.Bado alikuwa anazaa tu.Kuzaa 40+ kuna risks nyingi mno.Mungu ampumnzishe kwa amani.
Very sad indeedHalafu ndio ulikuwa ndio uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Principal wa IAA ndio husband wa marehemuNa hii Sedoyeka ina relation na Rector/Principal wa IAA?
Doohhhhh.... Inasikitisha sana sana...Halafu ndio ulikuwa uzao wake wa kwanza marehemu alikuwa busy na masomo alichelewa kuolewa
Yes ni dada yake kabisaKwahiyo huyu ni dada wa nsolo mlozi wa NMB?
Kwahiyo hii familia baba Prof., dada NMB, dada mwingine mbunge, mama nafasi gani uko.Kwahiyo huyu ni dada wa nsolo mlozi wa NMB?
Uzazi amejifungua.mapacha ...akapata complicationsNilikuwa simjui ila baada ya kuiona tu hii Picha yake na kutumia Utaalam wangu fulani nimeshajua nini Kimemuondoa.
Hii kitu ya wadada wazuri kujifingua na kupotea,imezidi sana,last week ilimchukua dada mzuri sana Jiji la Tanga,idara ya Sheria.
Ummy Mwalimu, anzisha utafiti kujua tatizo ni nini, vinginevyo tunapoteza visura wetu kila siku.
Ndio na huyo marehemu ni mke wakeSedoyeka ni yule mkuu wa chuo cha uhasibu Arusha. Alikuwa katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii?
Acha kuchanganya mambo mkuu, marehemu tayari alikuwa na familia yake yeye mwenyewe marehemu alikuwa na PhD kwenye mambo ya Tourism, MBA na Bachelor Electrical Engineering mume wake ni Professor.Kwahiyo hii familia baba Prof., dada NMB, dada mwingine mbunge, mama nafasi gani uko.
Wajumbe wa elimu haina maana muhimu kipaji waje hapa waone somo.
Marehemu apumzike kwa amani
Classmate alikua mtu wangu wa karibu sana...😪Huyo ni "classmate" wa Kila "class" ya "classmate" wa kila tasnia.
Na majina ya wazazi wao yamewabeba. Ni wangapi wana masters na hizo PhD wako mtaani wanafanya Yao kimya kimya hawaonekani kwenye hizo nafasi??Acha kuchanganya mambo mkuu, marehemu tayari alikuwa na familia yake yeye mwenyewe marehemu alikuwa na PhD kwenye mambo ya Tourism, MBA na Bachelor Electrical Engineering mume wake ni Professor.
Baba wa marehemu Professor kaka yake ndio anafanya kazi NMB kwenye familia yao walizaliwa 2 tu.
Elimu ina umuhimu wake na vipaji vina umuhimu wake mtu kama christiano ronaldo, mbwana samatta, diamond platnum, Ramadhan Brothers ukiwaambia umuhimu wa elimu versus vipaji walivyobarikiwa na wakaweza kuvitumia vizuri hawawezi kuelewa ukiwaambia kuhusu elimu ya darasani.
Kila kimoja Elimu au kipaji kina umuhimu wake ndugu ila all in all kipaji kinalipa zaidi kama ukikigundua mapema na ukakitumia vizuri mapema.
Elimu ina mlolongo mrefu sana hadi uje ufanikiwe kwenye elimu unless otherwise uwe genius kwenye hiyo field unayosomea.
Kizazi kipya cha madokta hakipo vizuri kwenye huduma za afya hasa uzazi tena ikiwa upasuaji ndio hatari sana.Wanapotea wengi ila wengi wa hao hawapo kwenye nafasi au majukumu ya kuwafanya waandikwe kwenye vyombo vya Habari
Yaani uzazi umekua hatari mnoo
Haya maelezo yako hakuna sehemu yameonyesha elimu haina maana.Acha kuchanganya mambo mkuu, marehemu tayari alikuwa na familia yake yeye mwenyewe marehemu alikuwa na PhD kwenye mambo ya Tourism, MBA na Bachelor Electrical Engineering mume wake ni Professor.
Baba wa marehemu Professor kaka yake ndio anafanya kazi NMB kwenye familia yao walizaliwa 2 tu.
Elimu ina umuhimu wake na vipaji vina umuhimu wake mtu kama christiano ronaldo, mbwana samatta, diamond platnum, Ramadhan Brothers ukiwaambia umuhimu wa elimu versus vipaji walivyobarikiwa na wakaweza kuvitumia vizuri hawawezi kuelewa ukiwaambia kuhusu elimu ya darasani.
Kila kimoja Elimu au kipaji kina umuhimu wake ndugu ila all in all kipaji kinalipa zaidi kama ukikigundua mapema na ukakitumia vizuri mapema.
Elimu ina mlolongo mrefu sana hadi uje ufanikiwe kwenye elimu unless otherwise uwe genius kwenye hiyo field unayosomea.
Sio majina, nafasi za wazazi kwenye kazi zaoNa majina ya wazazi wao yamewabeba. Ni wangapi wana masters na hizo PhD wako mtaani wanafanya Yao kimya kimya hawaonekani kwenye hizo nafasi??
Tanzania upendeleo una nafasi kubwa sana kuliko kile unchojua
Nilifanya nae kazi sana, enzi akiwa Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Utalii, NCT
Hapa ni Channel Ten -
View: https://youtu.be/G4VMLLp4eJc?si=K7Y9XcclA0rehICg
Hapa ni ITV -
View: https://youtu.be/Ya31uC_hd68?si=QOczRo0qUdO8ieeq
Hapa ni EATV -
View: https://youtu.be/63TGS1pxWVs?si=GAWCHT0JCikU6vbn
Hapa ni Channel Ten tena -
View: https://youtu.be/GFARCfkHjYE?si=xaD4dhEih0ZcPUE7
RIP Dr. Mlozi.
P
P