TANZIA Dkt. Shogo Mlozi, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki afariki dunia

TANZIA Dkt. Shogo Mlozi, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki afariki dunia

Alisoma Kilakala...then UDSM, Eletrical Engineering. Baadae mambo ya utalii. Alikuwa mpole na hakuwa na makuu hata kidogo. Kifo kuna wakati kinatupata maswali magumu kweli kweli, na lazima tyuyajibu with flying colours. Mbele yetu na sisi wengine tuko kwenye foleni

Rest In Eternal Peace Dr. Shogo
 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Shogo Mlozi.

Spika Tulia ametangaza kifo hicho leo Alhamisi June 13, 2024 kabla ya kuanza kwa kikao cha 46 cha mkutano wa 15 wa Bunge la 12 Bungeni Jijini Dodoma ambapo amesema taarifa zaidi zitatolewa baadaye.

Dkt. Tulia amesema ““Leo asubuhi tumepokea taarifa kwamba Mh. Dkt. Shogo Richard Mlozi ambaye tulimchagua kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki hatunae tena, hii ni taarifa ya awali tutakapopata taarifa za ziada tutawataarifu tusimame kaa dakika moja tumpe heshima zake za mwisho”

Pia soma Mhe. Dkt. Shogo Mlozi Ashiriki Semina ya EALA Women Caucus Bujumbura


Nilifanya nae kazi sana, enzi akiwa Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Utalii, NCT
Hapa ni Channel Ten -
View: https://youtu.be/G4VMLLp4eJc?si=K7Y9XcclA0rehICg
Hapa ni ITV -
View: https://youtu.be/Ya31uC_hd68?si=QOczRo0qUdO8ieeq
Hapa ni EATV -
View: https://youtu.be/63TGS1pxWVs?si=GAWCHT0JCikU6vbn
Hapa ni Channel Ten tena -
View: https://youtu.be/GFARCfkHjYE?si=xaD4dhEih0ZcPUE7
RIP Dr. Mlozi.
P
P
 
Hao huwa wanawekana tu acha afe may be inaweza ikawa bahati kwa mwingine asiyejulikana.

Yupo mtoto wa mtu mwenye elimu nzuri kumzidi na sifa zote tena na zaidi za kuwa na hiyo nafasi lakini kwa sababu alikuwa hana connection hiyo nafasi akaikosa.
Hakuna afadhali yoyote hapo.
Viongozi wa CCM ni sawa na mazimwi, hiyo nafasi itajazwa na zimwi lingine.

Hao unaowazungumzia wakagombee tu nafasi za uongozi wa mtaa...labda huko.
 
Back
Top Bottom