peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Unalo tatizo la Kanda ya ziwa.Yani hivi vifo vya uzazi vinasikitisha mno jamani...naogopa kabisa kuongeza mtoto wa 6...na lengo langu lilikua atleast watoto 8...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalo tatizo la Kanda ya ziwa.Yani hivi vifo vya uzazi vinasikitisha mno jamani...naogopa kabisa kuongeza mtoto wa 6...na lengo langu lilikua atleast watoto 8...
Ndo tatizo gani...Unalo tatizo la Kanda ya ziwa.
Unazaa watoto 8 unamfuta mkapa?Ndo tatizo gani...
PhD holder toka ChinaKwa huyu hapana aisee huyu Marehemu hakuwa njaanjaa kama hao wengine wa viti maalumu
Tulia kijana watu tuzae...sema itabidi niache tuu maana si kwa vifo hivi inatisha mnoo..Unazaa watoto 8 unamfuta mkapa?
PhD za china,ukienda mwaka huu,next year unarudi nayo .PhD holder toka China
Ukihitaji mapacha njoo inboxTulia kijana watu tuzae...sema itabidi niache tuu maana si kwa vifo hivi inatisha mnoo..
Ka donate maabara..Ukihitaji mapacha njoo inbox
Acha kupiga ramli zako za kigiriki we MzeeNilikuwa simjui ila baada ya kuiona tu hii Picha yake na kutumia Utaalam wangu fulani nimeshajua nini Kimemuondoa.
Nilifanya nae kazi sana, enzi akiwa Mkuu wa Chuo Cha Taifa cha Utalii, NCT
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Shogo Mlozi.
Spika Tulia ametangaza kifo hicho leo Alhamisi June 13, 2024 kabla ya kuanza kwa kikao cha 46 cha mkutano wa 15 wa Bunge la 12 Bungeni Jijini Dodoma ambapo amesema taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Dkt. Tulia amesema ““Leo asubuhi tumepokea taarifa kwamba Mh. Dkt. Shogo Richard Mlozi ambaye tulimchagua kuwa Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki hatunae tena, hii ni taarifa ya awali tutakapopata taarifa za ziada tutawataarifu tusimame kaa dakika moja tumpe heshima zake za mwisho”
Pia soma Mhe. Dkt. Shogo Mlozi Ashiriki Semina ya EALA Women Caucus Bujumbura
Kwa sasa ni RC KageraAlikua Katibu Mkuu wa (UWT) Jokate akampokea! Kwa sasa sijui yuko wapi
😂Ka donate maabara..
Classmate wa wapi? Hizo nywele itakuwa kule mlikokuwa mnasomea kuona electronics na photons na nucleus. Vey confusingR.i.P Classmate...😥
Ama kweli, udongo unameza vitu vizuri walahi..🙄
Hakuna afadhali yoyote hapo.Hao huwa wanawekana tu acha afe may be inaweza ikawa bahati kwa mwingine asiyejulikana.
Yupo mtoto wa mtu mwenye elimu nzuri kumzidi na sifa zote tena na zaidi za kuwa na hiyo nafasi lakini kwa sababu alikuwa hana connection hiyo nafasi akaikosa.
Msechu?Ndio nipo njiani kuelekea msibani chief..😶
Ni mtoto wa Queen MloziNi ndugu na Queen mlozi wa ccm?
NdioKwahiyo huyu ni dada wa nsolo mlozi wa NMB?
Huyu Prof mwaka Jana alifiwa na yule dada yake wa pale AZAM mediaPole sana Prof. Sedoyeka.