Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
Apumzike kwa amani
Nimewahurumia watoto wake wachanga alowaacha,maisha bila mama sio rahisi sana!
Nimewahurumia watoto wake wachanga alowaacha,maisha bila mama sio rahisi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii Sedoyeka ina relation na Rector/Principal wa IAA?Ndiyo
Huyo dada na familia yake ni watu wazito inawezekana kabisa alikuwa na Dr wake tena bingwa wa maswala ya uzazi ni hivyo tu Kuna mambo mengine yanatokea naturally unaweza kuta Kuna mwenzake kama yy kajifungulia nyumbn salama salmini bila uangalizi wa Dr yyte na anadunda tu.Hii kitu ya wadada wazuri kujifingua na kupotea,imezidi sana,last week ilimchukua dada mzuri sana Jiji la Tanga,idara ya Sheria.
Ummy Mwalimu, anzisha utafiti kujua tatizo ni nini, vinginevyo tunapoteza visura wetu kila siku.
Huyu alikuwa single mother!Huyo dada na familia yake ni watu wazito inawezekana kabisa alikuwa na Dr wake tena bingwa wa maswala ya uzazi ni hivyo tu Kuna mambo mengine yanatokea naturally unaweza Kuna mwenzake kama yy kajifungulia nyumbn salama salmini bila uangalizi wa Dr yyte na anadunda tu.
Moja ya vifo vinavyohuzunisha sana ni vifo vya uzazi. Haipaswi kabisa mama kufa wakati wa uzazi kwa karne hii. Ila namna kama Tanzania kuna shida ya utaalam kwenye hili eneo na vifaa vya kutosha. Nikiona jinsi rais anavyosafiri na kutumbua na watu kama wasanii halafu kuna kinamama wanakufa kwa issue kama hizi huwa nasikitika sana. Samia anayeonekana ni wale kinamama wasio na empathy hata kidogo. Roho mbaya sana!Hii kitu ya wadada wazuri kujifingua na kupotea,imezidi sana,last week ilimchukua dada mzuri sana Jiji la Tanga,idara ya Sheria.
Ummy Mwalimu, anzisha utafiti kujua tatizo ni nini, vinginevyo tunapoteza visura wetu kila siku.
Rest easy Shogo ,ikiwa mama yangu Mamndenyi kauona uzuri wako ,Mimi sikuwa kipofu kusema nikuoe ukasema nibadili tabia then nije ,Ila nilishindwa kubadilika mpaka ukaolewa ,nasikitika kukumbuka mengi ambayo hapa so mahali pake Ila nawiwa kusema umeondoka ukiwa bado mdogo ,Allah akupunguzie adhabu ya kabri .Rest Easy beautiful daughter
Professor SedoyekaQueen Mlozi ni Mama yake huyo Marehemu Baba yake ni Professor Malongo Mlozi wa SUA
Anaonekana kazidi 40.Bado alikuwa anazaa tu.Kuzaa 40+ kuna risks nyingi mno.Mungu ampumnzishe kwa amani.Taarifa ambazo sijazithibitisha ni kwamba alitoka kujifungua watoto mapacha 2 ndio akapata complications zilizopelekea kifo chake
Mwezi mchangaNilikuwa simjui ila baada ya kuiona tu hii Picha yake na kutumia Utaalam wangu fulani nimeshajua nini Kimemuondoa.
Kawaulize ndugu zake au Dr aliyekuwa anamtibuChanzo Cha kifo?
UDSM aliingia mwaka gani?Alisoma Kilakala...then UDSM, Eletrical Engineering. Baadae mambo ya utalii. Alikuwa mpole na hakuwa na makuu hata kidogo. Kifo kuna wakati kinatupata maswali magumu kweli kweli, na lazima tyuyajibu with flying colours. Mbele yetu na sisi wengine tuko kwenye foleni
Rest In Eternal Peace Dr. Shogo
PhD China unaokota tuPhD za china,ukienda mwaka huu,next year unarudi nayo .
Nenda udsm uone utarudi nayo mwaka Gani?