Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Nadhani Serikali imeamua kulegeza masharti ili kupunguza mbinyo wa Kimataifa, maana kuna taarifa niliipata ya Serikali kuomba tena Mkopo wa 1.3Trilioni huko Kwa Wazungu.

Maana niliona Baadhi ya Vyombo vya habari vya kimataifa vilianza kuripoti kuhusu kukamatwa kwa Balozi na kujaribu kuihusisha Serikali hii na ile ya Mtangulizi wake kuwa haina utofauti inapokuja kwenye suala la Kukosolewa kwa Watawala.
 
Ningeshangaa sana kama huyu Mheshimiwa angekaa ndani kwa muda mrefu.

By the way, vipi kuhusu hatma ya watuhumiwa wengine?
 
Kwa mujibu wa kahtaan , Mzee Slaa aliitwa tu kuhojiwa ila kesi ya uhaini itakuja siku nyingine.
🤣🤣🤣🤣hii kama hujui mamb yake bana!! Imagine mhaini anaepanga kumpindua Rais, gaidi anaepanga kufanya Ugaidi wote hao ruksa kua uraiani 🤣🤣
 
Kumbe mhaini ruksa kupewa dhamana!!
Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
 
Chadema mmekaa kimya zunguzieni hili swala la uhaini na dhamana tena ikibidi tengenezeni clips mbali mbali ili watu wajue
 
Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Kwahiyo Rais kashauliwa vibya!?
 
Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Yamekuwa hayo tena ?....nyie 'barakala' mnazingua sana.
IMG_20221017_200817.jpg
 
Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Ila nyie uvccm kiukwel bila unafiki nyie ndio bure kbs kati ya vijana weny dhamana ya utawala hakika nyie ni wajinga ila samahan kwa maneno yang makali but huo ndio ukwerii!! Mitandaon sehem nying hua hamna upeo wa kujibu hoja ili kuitetea serikali ya CCM hata kdg!!
 
Halafu siku nyingi nilikuwa najiuliza hili jina " SLAA " nimeliona wapi?
Nimekuta kumbe SLAA ni kundi moja lililoko USA lenye maana ya " Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) .

Hatari sana.
 
Back
Top Bottom