900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
wameiogopa vaticanIla kwanini Slaa peke pake!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameiogopa vaticanIla kwanini Slaa peke pake!?
Samia ana kazi nyingi za kupigania maendeleo ya watanzania hawezi kwenda kusalimia hiki kibabu kipotoshaji never ever.Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
kazi ya uvccmChadema mmekaa kimya zunguzieni hili swala la uhaini na dhamana tena ikibidi tengenezeni clips mbali mbali ili watu wajue
Kwako Cc KikanikiMwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Imeisha hiyo...Hongereni Holi sii!Mwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Wamempima mkojo na tezi dume?Mwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Hii Nchi ni Secular Democracy tusije kujikuta tunachezea shilingi choonizina watu ( zinafanya kazi kwenye kundi flani la watu )..
hatuna standard. kila mtu akiamka anafanya analotakaHii Nchi ni Secular Democracy tusije kujikuta tunachezea shilingi chooni
Uhaini wa kibongo chamgamoto sana
Failing state on its own discourse actions.Mwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Hii Nchi ni Secular Democracy tusije kujikuta tunachezea shilingi chooni
Hata kama wamemwachia, imekula kwao, huo mkopo hatuwapi. Tutaona mjinga ni naniNadhani Serikali imeamua kulegeza masharti ili kupunguza mbinyo wa Kimataifa, maana kuna taarifa niliipata ya Serikali kuomba tena Mkopo wa 1.3Trilioni huko Kwa Wazungu.
Maana niliona Baadhi ya Vyombo vya habari vya kimataifa vilianza kuripoti kuhusu kukamatwa kwa Balozi na kujaribu kuihusisha Serikali hii na ile ya Mtangulizi wake kuwa haina utofauti inapokuja kwenye suala la Kukosolewa kwa Watawala.
Unataka Serikali ikose hela za kugharamia Uchaguzi wa Mwakani na ule Mkuu 2025 🤪Hata kama wamemwachia, imekula kwao, huo mkopo hatuwapi. Tutaona mjinga ni nani
Hawajielewi.Kibaya zaid uvccm humu kama.. Lucas mwashamba and the likes hawakuelewa main issue na hawatoelewa!! Wao ni kushangilia kila kitu 🤣🤣🤣🤣
Utajua hujuiKwanini Slaa peke yake? Au kwakuwa alikuwa mtumishi mwandamizi wa ile taasisi yao??