Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Wameogopa kupwaya au wameogopa nini
 
..Rais SSH ana wasaidizi na washauri wabovu sana.

..Na jinsi anavyoendelea kuwakumbatia itafika muda lawama zote zitamuangukia yeye SSH.

..Chanzo cha yote haya ni mkataba wa KIFISADI wa Tanzania na Dp World.

..Sielewi kwanini Rais SSH amekuwa mzito kuurekebisha badala yake tunaona WAHUNI ndio wako mstari wa mbele kuutetea.
 
Yaleyale ya Soka letu kivyetu vyetu!

Haini kadhaminiwa ili aipindue serekale!
 
Siyo kweli, mfumo mzima wa Tanzania ni western christian, hata Zanzibari yenyewe ingawaje >98% ni Waislamu lkn inafwata Western Christian system of Governance …
Uongo mtupu.....

Tanzania ni secular state, ila Ccm wanaiharibu.
 
Kwahio Uhaini kuna Dhamana ?!!!!

Hii nchi tunacheza sana na Sheria..., Yaani watu wanavuruga alafu tutawasifia..., **** mdau walimuweka ndani eti Gaidi amesota ndani mwisho wa siku wamemtoa eti kwa msamaha na watu wanasifia kilichotokea...

Tuache kuchezea Kodi za Wananchi..., Mambo mengine ni kupotezea sio kuchukua rasilimali muda, pesa na hata kutoana kwenye reli kwa cha kuongelea...
 
Si hawa hawa Mapolisi walioshindwa kufafanua yaliyomo kwenye Police General Orders.

Sasa leo hawajui kuwa kosa la UHAINI halina Dhamana.

Ushauri wangu kwa Serikali peleka Vijana 5000 kwenye Nchi za Commonwealth wakasomee Upolisi na maana halisi ya Law enforcement
 
Sawa Akapumzike Ale Mihogo Yake AMNESTY INTERNATIONAL Wanakuja Kumhoji
 
Mwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.

Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.

Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Yale makuwadi ya warabu yakiongozwa na samia yamepigwa tatu bila.
 
Kwa mtazamo wangu Dr Mihogo alitumika kama fire extinguisher [emoji3462] tu wa jambo la mwarabu.

Tazameni sasa hivi moto ymepungua makali na sasa tunazungumzia hak za binadamu tu.
 
Back
Top Bottom