Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Dr mihogo kwa zahma alizokutana nazo ndani ya hizi 5 hiyo sijui mnaota clubhouse ataona kama ni jehanamu.
 
Kuna fununu ya mix up anarudishwa Jela punde si punde
 
kwa haya mambo mtu wa uhaini anapewa dhamana unaweza kuta bongaland ni channel ya vichekesho huko mbinguni … 😂😂
 
Samia ana kazi nyingi za kupigania maendeleo ya watanzania hawezi kwenda kusalimia hiki kibabu kipotoshaji never ever.
Kaa siku akienda utajiua?? Rais Dkt Samia ni rais wa wote! Ni msikivu, mpole na mpenda haki. Kaagiza Dkt Slaa aachiliwe mara moja hahaha IGP na bog bosi tishi kwisha habari yao ya kubambika kesi
 
Sijui Nape Nnauye anajisikiaje na ule mdomo wake 😂😂😂😂🤣🤣
Nape yupo kundi la kumharibia Mama Dkt Samia, ni kama alivyofanya kwa Dkt Magufuli na Membe, yaani baada kifo cha Dkt Magufuli akajodhihirisha jinsi alivyokuwa anamfitini. Rais Dkt Samia awe makini
 
Kaa siku akienda utajiua?? Rais Dkt Samia ni rais wa wote! Ni msikivu, mpole na mpenda haki. Kaagiza Dkt Slaa aachiliwe mara moja hahaha IGP na bog bosi tishi kwisha habari yao ya kubambika kesi
Wewe ni zaidi ya zumbukuku wa siasa yaani unataka kusema IGP aliamua kumkamata Dr slaa bila rais kujua ambaye ni amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama wa nchi?
 
Wewe ni zaidi ya zumbukuku wa siasa yaani unataka kusema IGP aliamua kumkamata Dr slaa bila rais kujua ambaye ni amiri jeshi mkuu wa ulinzi na usalama wa nchi?
Ndiyo tabia zao hasa wanapotaka kugombanisha. Wao lengo lao ni kumchafua Dkt Samia kwa sababu wanaona anapendwa mno na wananchi hivyo wanatafuta sababu ili awe na rekodi ya kuonea watu wakati yeye alishasema anapenda haki.
 
Ameonewa huruma tu uzee unamsumbua tu, he is almost 70yrs, akili za watu wa umri huu huwa zinayumbayumba sana,atulie sasa alee wajukuu zake.
-KEEP YOUR MOUTH..👈
 
Back
Top Bottom