Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

M
Mtu yyt muungwana hawezi kutetea CCM abadan.
Ndani ya CCM kuna viongozi majambazi, wahuni, wabadhilifu wa mali ya umma na wezi wakubwa.

Muungwana atampa sifa kiongozi mmoja mmoja ambae Anaonyesha uzalendo na upendo wa nchi yake na watu wake wazi wazi.
Na mfano mzuri ni Rais wa nchi mama yetu Samia Suluhu Hassan.
Huyu Rais kawaachia wahuni toka jela kwa huruma zake leo wahuni hao hao wanamtukana na bado hajawatia adabu. Sababu anaangalia maslahi ya nchi bila kujali hisia zake.
Huruma ya namna hio anayo kiongozi muungwana mwenye hekma sana.
Angekuwa ni magufuli hapa huyo Slaa angekuwa historia tu.
Shukuruni sana kwa Mungu Mama Samia yuko madarakani
Magu alikuwa hafanyi huo ujinga alijua gharama yake,ishu ya ugaidi ilikuwepo hata kabla ya mama Ila hakutaka Dili la kijinga Kama Hilo ndio maana utekelezaji wake umligharimu Sana mother
 
Kaa siku akienda utajiua?? Rais Dkt Samia ni rais wa wote! Ni msikivu, mpole na mpenda haki. Kaagiza Dkt Slaa aachiliwe mara moja hahaha IGP na bog bosi tishi kwisha habari yao ya kubambika kesi
Kujiua siwezi Ila ntaenda pale Nyerere square nakunya juu ya kichwa cha Nyerere tena mchana kweupe!
 
Kwa mtazamo wangu Dr Mihogo alitumika kama fire extinguisher [emoji3462] tu wa jambo la mwarabu.

Tazameni sasa hivi moto ymepungua makali na sasa tunazungumzia hak za binadamu tu.
DPW......ni zimwi.....
 
Halafu siku nyingi nilikuwa najiuliza hili jina " SLAA " nimeliona wapi?
Nimekuta kumbe SLAA ni kundi moja lililoko USA lenye maana ya " Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) .

Hatari sana.
Wewe ndio unategemewa ndani ya UVCCM. THINK TANK.
 
Nilishaeleza tafsiri ya uhaini hivyo sina haja ya kuirudia kwenye mada japo nitaweka dondoo mojawapo inayohusiana na kosa/tuhuma ya uhaini..

Dondoo ni kwamba KOSA LA UHAINI HALINA dhamana

Kwa mshangao wa wengi sana sana mtuhumiwa mmojawapo kati ya watatu waliokuwa wamekamatwa kwa tuhuma za uhaini na kushikiliwa kwenye vituo vya polisi leo amepata dhamana na habari hizo zimethibitishwa na wakili wake!

Kwahiyo leo tarehe 18. August. 2023 siku ya Ijumaa imetengeneza historia mpya Tanganyika kwa mtuhumiwa wa UHAINI kupata dhamana tena ndani ya masaa 72!

Kwa hiyo basi kama huyu mmoja ambaye ndio wa mwisho kukamatwa keshapata dhamana basi tutarajie na wale wengine wawili waliobaki kudhamiwa na kukamilisha historia ya watuhumiwa wa uhaini kupata dhamana!


Tafsiri ya neno UHAINI (TREASON)
IMG-20230818-WA0115.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amesomewa mahakama gani mashataka ya tuhuma uhaini? Inawezekana ofisi ya mashtaka haikuona kosa la kumshtaki la uhaini. Bado polisi wako sawa kumpa dhamana uchunguzi ukiendelea.
 
mimi ni mwanasheria, lakini ndio nastuka sasahivi. unajua ni kweli kosa la uhaini halina dhamana ila yeye amepewa dhamana. wale wengine pia dhamana yao ipo wazi? au la.
 
Amesomewa mahakama gani mashataka ya tuhuma uhaini? Inawezekana ofisi ya mashtaka haikuona kosa la kumshtaki la uhaini. Bado polisi wako sawa kumpa dhamana uchunguzi ukiendelea.
polisi walisema amekamatwa kwa kosa hilo, labda kama walibadilisha kosa walilomwambia ameshikiliwa nalo. kama ni hilo hilo, hata polisi hawatakiwi kumpa dhamana. soma s.148 ya CPA.
 
Haka kanchi mpira ukipoa siasa inainuka,siasa ikipoa utasikia Kuna vidio ya mgonoko imevuja!, vidio ikipoa wanamuziki wanainuka! Utasikia mondi kafumania na chuchu!.. ilimradi tafrani inachosa Sasa.. hiyo ni dp world tu bado Kuna mzimu katiba umelala siku ukiamshwa mjue kivumbi..😂
 
Tuweni makini. Slaa ni kitengo. Wanatuchezea akili tu. Wanataka kumpenyeza tena upinzani. He is a mole

Acheni hizi sarakasi. We need food. We want our hands always going to the mouth. We want our fakin empty stomachs to feel something.

Use intelligence information and experience to bring good life to your citizens not to misquander public funds to oppress opozishen.
 
Hii Nchi inajiendea tu au kuna mpango mkubwa wa uhaini ambao umeingia hadi kwenye elements za Polisi

Au kuna elements za "Sukuma gang" humohumo CCM zinataka Kiti alichokalia huyo Maza.

Napendekeza Slaa arudishwe remanded.
Maadui wakubwa wa nchi hii ni watu wa aina yako.

Sasa hata kule kujivisha ngozi ya kondoo kumekushinda!

Hovyo Kabisa!
 
Back
Top Bottom