Hahahaha umenifurahisha sana hii ndiyo bongoUhaini wa kibongo chamgamoto sana
π€£π€£π€£π€£hii kama hujui mamb yake bana!! Imagine mhaini anaepanga kumpindua Rais, gaidi anaepanga kufanya Ugaidi wote hao ruksa kua uraiani π€£π€£Kwa mujibu wa kahtaan , Mzee Slaa aliitwa tu kuhojiwa ila kesi ya uhaini itakuja siku nyingine.
Exactly hilo la kutafakar ila yaezekana wameona wasiwaachie kwa pamojaIla kwanini Slaa peke pake!?
Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.Kumbe mhaini ruksa kupewa dhamana!!
Kwahiyo Rais kashauliwa vibya!?Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Yamekuwa hayo tena ?....nyie 'barakala' mnazingua sana.Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Ila nyie uvccm kiukwel bila unafiki nyie ndio bure kbs kati ya vijana weny dhamana ya utawala hakika nyie ni wajinga ila samahan kwa maneno yang makali but huo ndio ukwerii!! Mitandaon sehem nying hua hamna upeo wa kujibu hoja ili kuitetea serikali ya CCM hata kdg!!Dkt Slaa siyo mhaini ni kikundi cha watu wachache kutaka kutumia mfumo kuhakikisha Rais Dkt Samia anachafuka ili akose kura 2025, uzuri katusikiliza chawa sasa hawa waliotekeleza hiyo kamata kamata kinawanukia, watakoma maana Dkt Samia huwa hana utani kama wale wa Mwanza lazima kinuke. Rais Dkt Samia alishasema marufuku kumbambika mtu kesi, marufuku kukusanya kodi kwa nguvu, leo wanatokea watu wachache kwa utashi wao wanataka kumharibia rais heshima aliyojijengea. Sasa tutashuhudia Rais Dkt Samia akienda kumsalimia Dkt Slaa na kumpa pole.
Na wengine ziko wazi,moja ya masharti ni mdhamini kwenda na barua ya Mtendaji Kata.Hapo haini anatoka kiulaini!Ila kwanini Slaa peke pake!?
ChoiceVariable chawa wa mama njoeni hukuYamekuwa hayo tena ?....nyie 'barakala' mnazingua sana.
View attachment 2720701
πππ uhaini sio issue tena kama dhamana zipo..Kesi za Kihuni Huni
Kuna jimama kachezeshwa nchezo kapewa ntindo mpaka shanga zimekatikaπ±π΅ππKumbe mhaini ruksa kupewa dhamana!!