Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya saba saba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dr Slaa kurudi rasmi kunduni na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.
Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kua fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Wacha wale matapishi chama hakina muelekeo wala mvuto slaa anahitajika zaidi kuliko lissu wala mnyika!
 
akirejeshwa the Mbowe agombee Urais coz anawazidi wote pakubwa Kujiamini na Uzalendo usio shaka, Uvumilivu na Ustahimilivu usiokoma, Uthibutu, hekima na Busara za kiuongozi na hivyo anaaminika na atavutia wengi. Hoa wengine ukimuangalia na kumsikiliza vizuri, tone na expressions zimejaa ukibaraka ukibaraka hivi
Slaa hana shida ya kugombea Urais ,Lissue ana mashaka yasio na uhakika
 
Kwaakili za manyumbu wanamsubiri mbowe akisema Dr slaa anafaa watasema ndiyoooo akisema ni msaliti wataamini hivyo mpaka kifo chao.

Huwez amini wamemsamehe lowasa dhambi zake zote na Zitto wanamuona ndo msaliti kumzidi hata lowasa! Siasa za Manyumbu mtu anatembea na bongo zao mifukoni. Haaraf hata hii post wakija watatukana tuu
Shida ya baadhi ya makamanda hawako well informed
 
Kwaakili za manyumbu wanamsubiri mbowe akisema Dr slaa anafaa watasema ndiyoooo akisema ni msaliti wataamini hivyo mpaka kifo chao.

Huwez amini wamemsamehe lowasa dhambi zake zote na Zitto wanamuona ndo msaliti kumzidi hata lowasa! Siasa za Manyumbu mtu anatembea na bongo zao mifukoni. Haaraf hata hii post wakija watatukana tuu
Pimbi katika ubora wako.
 
Offcourse deep state wanamtaka Slaa ataweza mvuruga Samia Hadi suala la katiba mpya litakwenda na maji...
Slaa Hana adabu na ana chuki za kidini ..hii itamfanya Samia awachukie Chadema kabisa ...na asijali Sana maridhiano...na atalazimika kuwa accommodate..team JPM na team Kikwete more kupambana na Slaa na Tundu Lissu...ambao wote hawajui siasa wanajua .uwanaharakati...
In the end watakaopata faida ni ccm hardliners ambao Samia atalazimika kuwasikiliza zaidi ili kuwadhibiti Slaa na Tundu Lissu....
Huku mtu wa Pengo... Philip Mpango anaji brand kama "calm na collected" na "president in waiting"...

Let's wait and see
"kupambana na Slaa na Tundu Lissu...ambao wote hawajui siasa wanajua .uwanaharakati"...........kama ukweli fulani, ila sioni mbowe ka mgroom nani katika chama chake?
 
Shida ya baadhi ya makamanda hawako well informed
Kuna shida sana ya uchawa CDM na UVCCM... watu hawana ile political ideology kwamba iwe ndio imani yao na msimamo wao... ukitaka kuwakwaza CCM mtukane furushi kilemba... ukitaka kuwakwaza CDM mtukane yule mwenye maghorofa Dubai. Ukitaka kuwakwaza simba mtukane chama... yani nchi uchawa uchawa mwingi tuu ndio maana watu wanauza bandari wanajua tukimnyamazisha mbowe tuu hakuna mjadala
 
"kupambana na Slaa na Tundu Lissu...ambao wote hawajui siasa wanajua .uwanaharakati"...........kama ukweli fulani, ila sioni mbowe ka mgroom nani katika chama chake?
Shida ya makamanda wana subiri CCM reject waje wapeperushe bendera
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dr Slaa kurudi rasmi kunduni na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kua fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
ACHA UONGO MKUU
 
akirejeshwa the Mbowe agombee Urais coz anawazidi wote pakubwa Kujiamini na Uzalendo usio shaka, Uvumilivu na Ustahimilivu usiokoma, Uthibutu, hekima na Busara za kiuongozi na hivyo anaaminika na atavutia wengi. Hoa wengine ukimuangalia na kumsikiliza vizuri, tone na expressions zimejaa ukibaraka ukibaraka hivi
Mbowe tena mpiga dili.aliuza chama kwa luwasa leo samia.achana na mbowe cdm imekuwa mali yake.
 
Ccm inafanyaje zaidi ya kutegemea vyombo vya dola? Siku ccm inatoka madarakani ndio utajua ni chama cha wapigania tumbo na hawana principles zozote.
Mkuu na kuamini ila kwa hili hapana, wote hatupendi CCM ila ina system ya viongozi wao sema wanasaidiwa na deep state kuwapa muongozo, walivo kosea wa kaweka mtu nje ya system JPM uliona madhara yake. Kwasasa hivi vijana wao wa urais tunawajua wote.
.1 HM
2 MN
3. JM
hao wote wamepikwa wana subiliwa tu phillip mpango hawezi kupewa uraisi iko nje ya system japo anjifanya mpole kwao ila hawamuamini.
 
kuna lines umeongea ukweli, Slaa na Lissu wamekaa kiuwana harakati zaid , Mbowe ana kazi ya kufanya
Wale jamaa waliojipanga kumharibia Samia ...wanaendelea na mpango au wanatafakari baada ya wewe kutueletea habari zao?
Samia why hawatimui??
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Umbea wa kibondei
 
MSALITI anasamehewa lakini hawezi kuaminika tena. Dr Slaa ni msaliti wa daraja la kwanza! Aliondoka wakati chama kinamhitaji sana!! Apokelewa kama mwanachama kimya kimya!! Asiaminiwe kwenye nafasi yoyote ya uongozi, wala asipewe nafasi ya kugombea ubunge! Ni ng'ombe aliyekatwa mkia!
Ulitaka DR Slaa amnadi Lowasa hivi kwaakili zako hata za makalioni tuu ni jambo linalowezekana?
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Wewe ni MUONGO!
Mbona Lissu amesema Slaa anaweza rudi hajafukuzwa?
Mnapenda sana kuitungia maneno Chadema!
Screenshot_20230704-225544_Chrome.jpg
 
HUYO SLAA NI MSALITI WA WAZI KABISA ALIESABABISHA UKAWA KUSHINDWA KUCHUKUA NCHI
 
Back
Top Bottom