Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Alisahau nini Chadema? Si aliapa ameachana na siasa?
Ukitaka kujua siasa za Africa zinavyokwenda jaribu kuangalia siasa za Kenya utaona namna wanasiasa wanavyohama au kusaliti vyama lakini wanarudi, wanahamia chama kile na kile wanaungana na chama tawala kisha chaguzi zingine wanarudi. Muangalie hata Ruto, Mudavadi, Kalonzo nk nk.
Hivyo hata Slaa kurudi Chadema sio suala la ajabu, hata Mashinji au Zito kujiunga Chadema is not an issue. Watu wanachoangalia potentiality. Kwa hivi sasa Dr Slaa anaonekana kuwa na nyota ya kukubalika katika jamii hivyo akirudi Chadema ni dhahiri chama kikanufaika sana. Pia akiachwa akaenda chama kingine tuseme ACT halafu wanasiasa wengine wenye ushawishi wakaamua kumfuata kama vile wale wa Covid nk itaikosesha Chadema kura na wabunge kwa kiasi kikubwa sana katika uchaguzi na kuwapa faida ccm na chama atakachokwenda.

Niseme tu kuwa Dr Slaa kwa sasa ni Mchezaji muhimu sana katika timu yoyote itakayomsajili. Dr ni Chama na Mayele kipindi hiki asichukuliwe kama Morrison au Sawadogo. JAPO ALIFANYA USALITI KAMA FEISAL SALUM
 
Ukitaka kujua siasa za Africa zinavyokwenda jaribu kuangalia siasa za Kenya utaona namna wanasiasa wanavyohama au kusaliti vyama lakini wanarudi, wanahamia chama kile na kile wanaungana na chama tawala kisha chaguzi zingine wanarudi. Muangalie hata Ruto, Mudavadi, Kalonzo nk nk.
Hivyo hata Slaa kurudi Chadema sio suala la ajabu, hata Mashinji au Zito kujiunga Chadema is not an issue. Watu wanachoangalia potentiality. Kwa hivi sasa Dr Slaa anaonekana kuwa na nyota ya kukubalika katika jamii hivyo akirudi Chadema ni dhahiri chama kikanufaika sana. Pia akiachwa akaenda chama kingine tuseme ACT halafu wanasiasa wengine wenye ushawishi wakaamua kumfuata kama vile wale wa Covid nk itaikosesha Chadema kura na wabunge kwa kiasi kikubwa sana katika uchaguzi na kuwapa faida ccm na chama atakachokwenda.

Niseme tu kuwa Dr Slaa kwa sasa ni Mchezaji muhimu sana katika timu yoyote itakayomsajili. Dr ni Chama na Mayele kipindi hiki asichukuliwe kama Morrison au Sawadogo. JAPO ALIFANYA USALITI KAMA FEISAL SALUM
Shida ni moja mkuu ,Slaa akirudi CDM ,kuna potential vita ya Urais inaanza ,wengine wanaona inaweza kuwadhoofisha badala ya kuwasogeza mbele
 
Wewe ni muongo . Huu uongo umeutoa katika mahojiano kati ya Tundu Lissu na chombo fulani cha habari, nadhani Global tv wale. Umefinyanga mahojiano yale ili kukidhi haja yako ya umbeya. Hakuna ukweli wowote katika hayo uliyoyaandika hapa. Umejifanya kutoelewa kilichoelezwa na Lissu wakati akijibu uchokonozi wa kiumbea wa waandishi wale.
Kiongozi, usiamini yanayosemwa na wanasiasa mbele ya camera na mic, ninachokwambia nina uhakika nacho , nimepataje hizi taarifa ?hii itabaki kuwa siri yangu , lakini Lissu ana jua na dhamira yake itamsuta kama atakana, Mnyika na mbowe wanajua , it was a heated talk na exchange ya maneno magumu
 
Wasaliti wote hawapaswi kurejea.
Ni sawa na mwanamke aliyekukimbia ulipokosa pesa
Wanasiasa hawaangalii hayo mkuu, wanaangalia mtaji wa kisiasa ni watu Slaa ana upepo kwa sasa, Lissu kama kazimika hivi ,urais 2025 mwenye mvuto kwa CDM ni slaa ,tatizo hawajamalizana bado
 
King maker wako jana kachachafwa na majaji anajiumauma tuu meno. Mi sikuona kama kulikuwa na umuhimu wa kuongelea jambo ambalo aliongea akiwa anaelewa na anaakili timamu kwani ni kesi ngapi amepiga simu kisutu yeye na maswahiba wake?
Rostam pamoja na madhaifu yake , ni mtu wa mikakati sana. Hata kuomba radhi ni strategy pia
 
Angekuwa na pesa angekaribishwa mbio mbio kwa matarumbeta. Kwanza hilo zee jinga halafu saliti, halafu halina mvuto tena. Abaki na ukachero wake wa kizamani.

Hivi ana uadilifu huyo wa kukubalika kwenye siasa kweli? Mtu anabae hata kanisa limemtema. Kabaki kuwa ni kachero wa kanisa tu.
Mbowe anaamini atawapa wabunge wengi akigombea urais 2025 ,lakini Lissu anaona kama kuja kwa Slaa kutamfifisha zaidi
 
Ila chadema chama dhaifu sana. Yaani LOWASA walimtukana wakaonyesha madhaifu yao. Baadaye wa kapiga deal katibu mkuu hakuona kabisa thamani ya LOWASA kwasababu yeye aliona hasafishiki. Pia Dr slaa kwangu naona ni shujaa zaidi kuliko mwanachadema yeyote kwasababu aliona ni fedheha kumnadi mtu ambaye miaka yote walimwita fisadi na mwizi. Mtu wa aina hiyo asingeweza kukaa meza moja na Dr slaa. Msimamo wa Dr slaa ni wa kuungwa mkono sana. Na nashauri chadema kama wana akili wamrudishe ataamsha vibes sana. Na tena watakuwa na mtu msafi sana kuliko wote. Na tangu Dr slaa aondoke chadema haina record yeyote ya kufanya jambo lolote likafanikiwa.

I stand to be corrected

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
Nakuunga mkono, sasa hio ni kama watamruhusu maana kuna vita vya urais vimeanza CDM ,Lissu anaona ujio wa Slaa ni nongwa kwake
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa, baada ya makovu waliyopitia CHADEMA baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka, huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa, Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu, na Mnyika wamekataa kuridhia.

Baadhi ya wana CHADEMA wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais, huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada, Mbowe au Lissu?
Tunamtaka Dr Slaa Chadema.... Lissu ni muhuni kama wahuni wengine!
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa, baada ya makovu waliyopitia CHADEMA baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka, huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa, Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu, na Mnyika wamekataa kuridhia.

Baadhi ya wana CHADEMA wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais, huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada, Mbowe au Lissu?
Porojo za kijinga
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa, baada ya makovu waliyopitia CHADEMA baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka, huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa, Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu, na Mnyika wamekataa kuridhia.

Baadhi ya wana CHADEMA wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais, huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada, Mbowe au Lissu?
Hii umejitungia tu ili kuleta mtafuruku Chadema, sakata la DP World limewachanganya kweli kweli
 
CDM kiboko yaani wao zoazoa tu muhimu wafike wanakotaka, chama kiboko hata hujui kinasimamia nini. wabunge 19 tu mapaka watamaliza muda wao wamewashindwa kina mama ahhhhh
 
Back
Top Bottom