Maza familia ake ipo salama wengine mtajuanaNi wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini? Nani wa kumfunga paka kengele?
Unadhani kuna kitu hakifahamuWasaka Urais ndani ya ccm wanamuaribia Mama nae katulia tu anajifanya chura kiziwi hajui anajikaanga na mafuta yake.
Nadhani hapa tulipofika magufuli ilikuwa afadhali kumbe kelele nyingi zilikuwa zinatoka kwa wale aliokuwa kawakata mikia na hao ndo sasa hivi wamekaa kimya.habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Mengine hajui na kama anajua ni vitu anadanganywa ili apagawe.Unadhani kuna kitu hakifahamu
Hakuna watu wenye roho katili na mbaya kama wtz...Ni wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini? Nani wa kumfunga paka kengele?
HtrWasaka Urais ndani ya ccm wanamuaribia Mama nae katulia tu anajifanya chura kiziwi hajui anajikaanga na mafuta yake.
Mwaka 1990Dr Slaa ndiye aliyeratibu ziara ya baba Mtakatifu Papa Yohane Paul aliyeketi Kitini pake Mtume Petro akishirikiana na serikali wakati wa serikali ya awamu ya 2
Ccm ni wauajihabari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Hadi hapo watu watakapochoka na kuamua kutoa 'kafara' kubwa ili kukomesha kabisa masuala haya.Ni wapi nchi inaelekea? Haya mpaka lini?
Aisee it is alarmingNadhani hapa tulipofika magufuli ilikuwa afadhali kumbe kelele nyingi zilikuwa zinatoka kwa wale aliokuwa kawakata mikia na hao ndo sasa hivi wamekaa kimya.