Ujinga ndo unakusiumbua hujui unaandika nini, hivi una akili uolewe na mtu aliyekimbia ndoa Takatifu ya Upadri!!
Utalambwa utaachwa, Muulize Rose Kamili atakupa full Mkanda.
Sio kila king'aracho ni dhahabu mengine ni Makapi yanajitembeza kusubilia siku.
Acha wivu wewe,inegependeza kama ungesema akuulize wewe.Ujinga ndo unakusiumbua hujui unaandika nini, hivi una akili uolewe na mtu aliyekimbia ndoa Takatifu ya Upadri!!
Utalambwa utaachwa, Muulize Rose Kamili atakupa full Mkanda.
Sio kila king'aracho ni dhahabu mengine ni Makapi yanajitembeza kusubilia siku.
kungo"a kucha ndio stail yao lakini sasa muda wa kibao kuwabadilikia unakaribia na hili tuseme bila kuficha wakijaribu kucheza na dr slaa nchi hii itapata historia mpya tena hawajawahi ona wafanye ujinga tu waone!!!! Wao wana vibaka sisi tuna allahni hatari sana kama mambo haya yanafanyika mchana kweupe.sijui usiku hali ikoje.
sasa kama unajiita uchaguzi na akilia ya matope kiasi hichi nyie ndio wale waliopaswa kuzaliwa wanyama pori ila mkapata upendeleo wa mungu hata kuutumia mnashindwa sasa hapa unamtetea nani? unayemlamba miguu ridhiwani? tuulize sisi ndio waislam acheni kujipendekeza kwa familia ya mshua sana kunguru hafugikiUjinga ndo unakusiumbua hujui unaandika nini, hivi una akili uolewe na mtu aliyekimbia ndoa Takatifu ya Upadri!!
Utalambwa utaachwa, Muulize Rose Kamili atakupa full Mkanda.
Sio kila king'aracho ni dhahabu mengine ni Makapi yanajitembeza kusubilia siku.
Ben sakumi.
Mie na wewe nani wa kutiliwa mashaka?
Wewe unapingana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Chako CDM,tena kwa hoja za kitoto ambazo haziwezi kulingana na uwezo na umaarufu wa Zitto na Ofisi yake hata robo tu.
Wewe na Mimi nani ANATUMWA NA KUTUMIWA?
Wewe na ZItto nanai Anaheshimika na Vijana Tanzania?
Wewe Mburura na Zitto nani kaijenga chadema ya leo?
Wewe Kibaraka na Zitto Kabwe nani anajulikana Kitaifa na Kimataifa?
Wewe Mtumwa na Zitto Kabwe nani anauwezo wa kuibomoa au kuijenga Chadema ya Leo?
Wewe na Zitto nani ni Kiongozi?
Huna jipya.
Mama yake alikuona juzi uko miongoni mwa wale waliomteka na kutaka Laptop ya mwanae! USIKURUPUKE hujakomaa, Unatumika vibaya kijana, Utaumbuka.
Ben mimi nipo tayari kula Ban kwa ajili yako please kama unaushahidi weka wazi mimi ni nani kisha mods badala ya kukuathibu wewe nitawambia waniadhibu mimi. Katika orodha ya watu waliotembelea profile yangu kaka umetia fola huu ni uwoga wa kujadili issues humu unadhani kila siku ni flani ili upate toka kupitia mgongo wake.
Wewe hautopokelewa popote huko mtaani utabakia na umaarufu wa Jf' tu otherwise usubiri majaliwa ya mungu dr akiwa waziri mkuu unaweza ajili kama mfagia ofisi.
This is rubbish...Mtakua obsessed sana na jina langu.Na bado maana huu ni Mwanzo tu.Sirudi nyuma na anayetaka kupambana nami badala ya hoja ategemee vita ya muda mrefu ambayo huwa sishindwi.Nina Mungu.Ujumbe umefika
Mashetani yamejisajili humu.sasa kama unajiita uchaguzi na akilia ya matope kiasi hichi nyie ndio wale waliopaswa kuzaliwa wanyama pori ila mkapata upendeleo wa mungu hata kuutumia mnashindwa sasa hapa unamtetea nani? unayemlamba miguu ridhiwani? tuulize sisi ndio waislam acheni kujipendekeza kwa familia ya mshua sana kunguru hafugiki
CHAMVIGA angalia isije siku ukayakana maneno yako haya, Endelea kuota ndoto za mchana mkuu lakin unatakiwa ujue kwamba Ben Saanane sio level yako, Nimepitia comments nyingi humu JF na wengi wenu mnaongoza kuwa na Benphobia, wengi mnaumiza vichwa vyenu na kwa kuhoji ujasiri wa Ben chanzo chake kipi?
Najua ni uthubutu wake wa kuongea ukweli bila kupepesa macho ndiyo unawanyima usingizi na kwa jinsi mnavyomshambulia basi na sisi ndio tunazidi kupata nguvu na moyo ktk kumuunga mkono.
Take it from me Comrade.
Acha wivu wewe,inegependeza kama ungesema akuulize wewe.
Kabla ya Kamil si ulianza wewe, nahisi atafuata ushauri wako maana wewe ndo mkubwa
Ben sakumi.
Mie na wewe nani wa kutiliwa mashaka?
Wewe unapingana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Chako CDM,tena kwa hoja za kitoto ambazo haziwezi kulingana na uwezo na umaarufu wa Zitto na Ofisi yake hata robo tu.
Wewe na Mimi nani ANATUMWA NA KUTUMIWA?
Wewe na ZItto nanai Anaheshimika na Vijana Tanzania?
Wewe Mburura na Zitto nani kaijenga chadema ya leo?
Wewe Kibaraka na Zitto Kabwe nani anajulikana Kitaifa na Kimataifa?
Wewe Mtumwa na Zitto Kabwe nani anauwezo wa kuibomoa au kuijenga Chadema ya Leo?
Wewe na Zitto nani ni Kiongozi?
Huna jipya.
Mama yake alikuona juzi uko miongoni mwa wale waliomteka na kutaka Laptop ya mwanae! USIKURUPUKE hujakomaa, Unatumika vibaya kijana, Utaumbuka.
Ben sakumi.
Mie na wewe nani wa kutiliwa mashaka?
Wewe unapingana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Chako CDM,tena kwa hoja za kitoto ambazo haziwezi kulingana na uwezo na umaarufu wa Zitto na Ofisi yake hata robo tu.
Wewe na Mimi nani ANATUMWA NA KUTUMIWA?
Wewe na ZItto nanai Anaheshimika na Vijana Tanzania?
Wewe Mburura na Zitto nani kaijenga chadema ya leo?
Wewe Kibaraka na Zitto Kabwe nani anajulikana Kitaifa na Kimataifa?
Wewe Mtumwa na Zitto Kabwe nani anauwezo wa kuibomoa au kuijenga Chadema ya Leo?
Wewe na Zitto nani ni Kiongozi?
Huna jipya.
Mama yake alikuona juzi uko miongoni mwa wale waliomteka na kutaka Laptop ya mwanae! USIKURUPUKE hujakomaa, Unatumika vibaya kijana, Utaumbuka.
Mkuu yaani umemaliza kilakitu. Sema Ben kazi yake kubwa ni kuchafua image ya Zitto ndicho alichotumwa. Umaarufu ni priority ya pili kwa Ben.
Unapowaona wakombozi wako ni wajinga huna tofauti na ng'ombe anayepelekwa kula huku akipigwa viboko. Jitahidi kuishirikisha akili yako ikae kichwani mkuu la sivyo utateseka sana
Ni hatari sana kama mambo haya yanafanyika mchana kweupe.Sijui usiku hali ikoje.
Duh! another scene, Nchi hii inakimbia au inatembea!