Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Habari hii ingekuwa na mashiko lazima Mohamedi Mtoi angechangia. Ukiona hachangii ujue hataki lawama, kwa sababu katika vijana wote wa bavicha waliokuwa vidomo domo hapa JF yeye tu ndio ana nia njema...
 
Last edited by a moderator:
For readers enlightenment, please not that Confederate Spy amewaita "makamanda" wote wakuu tunaowajua hapa JF isipokuwa "kamanda" Ben Saanane hajaitwa kwenye mjadala.

I hope you know what am talking about...

mkuu acha kumuumbua mwenzio kwa kuonyesha madhaifu yake,utamuharibia kitumbua!!!!
 
nchi inaongozwa na agent wa shetani ni lazima iwe na mambo ya kishetani shetani tu, lakini mwisho wake ni mbaya sana.
 
kakasamu na wa aina yako,
shame on you! na ya gari zote mbili ya kwangu na ya walionifuatilia. namba ziko humu sasa unataka uthibitisho gani zaidi!
Taifa limefika pabaya watu wanajadili jambo zito wengine wanalifanyia ushabiki. nimeona yote yaliyotokea kwa macho yangu na ndiyo niliyoshuhudia. unahitaji ushuhuda gani gani zaidi ya eye witness!

dr mpaka 2015 utakuwa umezua magapi kila kukicha unalako jipya muogope mungu pia wakatoriki si waongo kiasi hicho kumbuka wewe ni padri.
 
kakasamu na wa aina yako,
shame on you! na ya gari zote mbili ya kwangu na ya walionifuatilia. namba ziko humu sasa unataka uthibitisho gani zaidi!
Taifa limefika pabaya watu wanajadili jambo zito wengine wanalifanyia ushabiki. nimeona yote yaliyotokea kwa macho yangu na ndiyo niliyoshuhudia. unahitaji ushuhuda gani gani zaidi ya eye witness!

Dr trust ur instincts usije dharau hisia zako nyakati hizi!
 
Hao ni CCMTISS. Kudos Jack Zoka and Ramadhani Ighondu, the nation is watching everything you do...

Angalia sasa, una uhakika kwamba TISS ndio inahusika na hilo? Hakuna chombo cha usalama duniani kinachoweza kufanya surveillance [ufuatiliaji] wa hivyo - kwa kitaalamu wanaita "chase"... manake hiyo ni crude method ambayo hata mtu asiye na taaluma ya ujasusi atagundua kwamba anafuatiliwa. Sidhani kama TISS wanaweza kufanya hiyo. Unless kama kuna mtu anajua zaidi anielimishe. Kwanza sidhani kama TISS inafatilia raia wake wanaojihusisha na shughuli halali, ambao sio hatari kwa usalama wa nchi.
 
Du! Kumbe nayo hii imekuwa stori, hamna chochote ni mimi nilikuwa natoka zangu Iringa nikaamua ili niende mwendo mzuri basi nifukuzane na dreva wa Dr Sllaa kumbe nayo imekuwqa issue, kweli TISS mtawasingizia mengi mpaka kufika 2015

Yani ndugu yangu, sasa hivi naona kila jambo wanasingiziwa TISS. Mtu sasa hivi hata akiporwa simu manzese, kama ni mwanasiasa wa upinzani hasa Chaga Development Management - CHADEMA, atasema kaporwa na TISS. Wanafanya mchezo mbaya sana wa kuichafua idara ya usalama huku wakidhani kwamba watanzania wote ni wajinga-wataamini propaganda zao. Kila mipango yao ya kisiasa ikikwaa kisiki watasema TISS inahusika; hata mtu akiachwa na mkewe atasema TISS imesababisha... duuuuh!
 
kakasamu na wa aina yako,
shame on you! na ya gari zote mbili ya kwangu na ya walionifuatilia. namba ziko humu sasa unataka uthibitisho gani zaidi!
Taifa limefika pabaya watu wanajadili jambo zito wengine wanalifanyia ushabiki. nimeona yote yaliyotokea kwa macho yangu na ndiyo niliyoshuhudia. unahitaji ushuhuda gani gani zaidi ya eye witness!

Katibu hapa ndio CCM ilipotufikisha, vijana tunaleta ushabiki wa kisiasa hata kwenye uhai wa mtu. Hawa wenzetu sijui wanaabudu Mungu yupi.
 
Yani ndugu yangu, sasa hivi naona kila jambo wanasingiziwa TISS. Mtu sasa hivi hata akiporwa simu manzese, kama ni mwanasiasa wa upinzani hasa Chaga Development Management - CHADEMA, atasema kaporwa na TISS. Wanafanya mchezo mbaya sana wa kuichafua idara ya usalama huku wakidhani kwamba watanzania wote ni wajinga-wataamini propaganda zao. Kila mipango yao ya kisiasa ikikwaa kisiki watasema TISS inahusika; hata mtu akiachwa na mkewe atasema TISS imesababisha... duuuuh!

Akili timamu haziwezi kukosa sababu ya kwa nini kila kitu inasingiziwa TISS. Jaribu kuwa unaiba kuku mtaani na watu wakafahamu, uone kama hawatakuwa wanaanzia kwako kila kuku anapoibwa
 
Af kwa kwann slaa ana tabia ya kuandika makosa mengi hivi katika maelezo yake, katibu mkuu gani wa chama anakosa umakini katika uandishi, yaani typing errors kibao pamoja na udhaifu wa kimantiki wa maelezo yake. Arekebishe hili

Makosa katika Typing ni kitu cha kawaida hasa unapokua na majukumu mengi.Sasa jiulize kama katibu mkuu wa chama chako anajua kutumia hata kompyuta katika basics tu.

Next time behave!
 
Mzee anaweweseka kutafta huruma ya watanzania

Huruma ya Watanzania anatafuta yule aliyeutwa Mdini na kujaribu kujinasua kwa ku-preempty kupitia ushauri wa Usalama wa Taifa na kutunga stori ati kuna misikiti imemsomea itikafu ili afe.?

Badala ya kusolve matatizo haya waliyoasisi wenyewe wanatafuta sympathy.Embarassement!
 
Ili nimuone Dr anaakili timamu
1. Athibitishe hiyo namba ya gari sisi tuko tayari kufuatilia na kutaja gari ni ya nani.
2. Abandike hiyo picha ya gari iliyo pigwa. Na kama picha imechakachuliwa tutaielewa ninazo tools.

La sivyo huyu mzee atakuwa anazeeka vibaya.

Dr amekua akicheza na akili za watu (psychological games) hasa kwa vijana ambao hawana kazi ya kufanya na kuwapa riziki kutokana na uvivu na bangi nyingi.
Kutokana na juhudi za watanzania wazalendo kuwaelimisha unafiki na motive behind cdm na chama kupungua kasi yake ya kukubalika ikabidi watengeneze matukio yakuwafanya watu wawaonee huruma.
DR SLAA KATENGENEZA ID YA BARC. NA KUJA GHAFLA KUTENGENEZA MOVE ITAKAYOFUATIA BAADA YA TUKIO LA MAMA ZITTO KUVAMIWA.
BEN SAA8 ALIPOKEA AGIZO KUTOKA KWA SLAA ATENGENEZE MOVE HII KWA ID MPYA ILIYOPOST UZI HUU.
 
dr mwakyembe kabla hajapewa sumu aliwahi kuripoti tukio kama hili bahati nzuri alianfika barua hadi kwa IGP na pia ikachapishwa kwenye magazeti ila wanausalama wakapuuzia kilichompata baadae anakijua mwenyewe

pia kauli kauli ya WASSIRA kuwa Usalama wa taifa upo kwa ajili kwa ajili ya kushughulikia wanasiasa kama dr slaa mbowe pia inaongeza mashaka
 
kakasamu na wa aina yako,
shame on you! na ya gari zote mbili ya kwangu na ya walionifuatilia. namba ziko humu sasa unataka uthibitisho gani zaidi!
Taifa limefika pabaya watu wanajadili jambo zito wengine wanalifanyia ushabiki. nimeona yote yaliyotokea kwa macho yangu na ndiyo niliyoshuhudia. unahitaji ushuhuda gani gani zaidi ya eye witness!

Weka picha ya gari na namba kidogo ufuatiliaji uwe mwepesi usitudanganye.
Wewe unasema jambo kubwa linachukuliwa kishabiki umesahau juzi kati ulitoa maelezo ya ajabu juu kuhusu kutishiwa kuuwawa mama zitto ukasema ni uongo na vijana wako akina Lwesye uliowatumia kumtisha mama wa watu wakamdhihaki na wewe hukuzungumza haya ambayo unayasema. Mkuki mtamu kwa nguruwe kwa binadamu kwa mchungu.
 
kakasamu na wa aina yako,
shame on you! na ya gari zote mbili ya kwangu na ya walionifuatilia. namba ziko humu sasa unataka uthibitisho gani zaidi!
Taifa limefika pabaya watu wanajadili jambo zito wengine wanalifanyia ushabiki. nimeona yote yaliyotokea kwa macho yangu na ndiyo niliyoshuhudia. unahitaji ushuhuda gani gani zaidi ya eye witness!

shame on you too....

Hivi slaa do u have a gut to think , hope , aspire or even dreaming that you gonna make good president?

mtu gani akuue wewe mchana kweupe? we have vide cameras, from our smart phones, we have backup of every technology....huyo wa kukuua wewe so openly kiasi hicho ni nani? kwa nini unajivisha ujinga na uwehu kwa mawazo na mitaji ya kitoto?

mwenzako mbowe ana walinzi, whats makes you huna walinzi? walau mmoja ungemshusha afuatilie hilo gari? HAUKUWA NA WATU kutoka makao makuu (kikosi chenu cha ulinzi) kifuatilie hata kumuhoji huyo dereva?? tangu iringa??? hata kama umegundua ukiwa morogoro bado walinzi wenu walikuwa na uwezo wa kumkamata huyu mtu.......SASA KAMA HAUNA AKILI NDOGO KAMA HII UKIWA RAIS utafanyaje? you are far worst than what we have now.....

Slaa pengine unazeeka vibaya, but please try to collect youself and organise your logic skills, please no one can buy this ----,,,,I mean no one can board in this vehicle made by you

wa kuku support wewe ni wenye akili kama zako, wasioweza kufikiri

wanachadema, it was better mngemkaripia huyu rais wenu maana hatumii ubongi
 
You seem to be too desperate for power!!

Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.

Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi

Ulikuwa abiria mmoja wapo kwenye hilo gari nini? Mbona umesimamia spinning, spinning vipi Mkuu?
 
shame on you too....

Hivi slaa do u have a gut to think , hope , aspire or even dreaming that you gonna make good president?

mtu gani akuue wewe mchana kweupe? we have vide cameras, from our smart phones, we have backup of every technology....huyo wa kukuua wewe so openly kiasi hicho ni nani? kwa nini unajivisha ujinga na uwehu kwa mawazo na mitaji ya kitoto?

mwenzako mbowe ana walinzi, whats makes you huna walinzi? walau mmoja ungemshusha afuatilie hilo gari? HAUKUWA NA WATU kutoka makao makuu (kikosi chenu cha ulinzi) kifuatilie hata kumuhoji huyo dereva?? tangu iringa??? hata kama umegundua ukiwa morogoro bado walinzi wenu walikuwa na uwezo wa kumkamata huyu mtu.......SASA KAMA HAUNA AKILI NDOGO KAMA HII UKIWA RAIS utafanyaje? you are far worst than what we have now.....

Slaa pengine unazeeka vibaya, but please try to collect youself and organise your logic skills, please no one can buy this ----,,,,I mean no one can board in this vehicle made by you

wa kuku support wewe ni wenye akili kama zako, wasioweza kufikiri

wanachadema, it was better mngemkaripia huyu rais wenu maana hatumii ubongi

Hapa dr haponi kuna ma GT wanao fikiria na kuanalyse issues critically sanasana ataungwa mkono wale Brainwashed only. Au ban kutupunguza ndio zitawasaidia.
 
Huwezi kuwa seriuos hata kidogo, ufuatiliwe na gari kutoka iringa hadi dar usiweze kuchukua hata namba ya gari, ndio mana tunasema hii habari ina mashaka mengi ya wazi na yafaa kuipuuza
 
Back
Top Bottom