Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Bocho mbona umekuwaa mwamba wa kuropoka?
 
Last edited by a moderator:
Kijana saa nane.
Naona unasema huna mda wa kujibu na umesema huu ni upuuzi. sasa wewe kama sio mjinga kwanini muanzishe thread halafu msijibu vitu vya msingi?
Hivi unadhani watu wote wanachukuliwa kirahisi kwa maneno yako yasio na mantiki yeyote.
Sikia kijana Mimi wala sio mgomvi nilivyosema msipo jibu hayo wewe na Slaa mtakuwa wajinga Full stop.
Thread hii nimeifuatilila mwanzo mwisho majibu hayajatolewa.
Hebu kanusha kuwa hili gari ni la CDM.
Ndiyo kwa kweli wewe ni mvivu! soma angalau majibu ya Slaa mwenyewe!
Dr Slaa Alalamikie gari la wanausalama wa CDM!
wakati mwingine kumjibu mjinga kama wewe itasababisha mabishano yasiyoweza kupambanua nani mwenye busara!
Unataka kuhakikisha kama kweli picha ya gari mlilotumia limepatikana!! pole sana!!
Mwakyembe alilalamika hivi hivi akapuuzwa baadaye mkamwekea sumu! akaponea majogoo!!
Sasa mguseni Dr muone!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chamviga,
You urgently need to avail yourself the setvices of a pschoanalist. It is clear you are suffering from disorders that need to be immedoately attended. i have expressed clearly that I have never in my life time, here at JF or any othet forum used hidden ID. and have no reason to do so today. Neither di i have any cause to appeal to sentiments or sympathy if Tanzanians i have been to many villages, they understand the language articulated by Chadema, not only Dr Slaa. Chadema is now deeplt rooted as an Institution, Ni orchestration needed.



UOTE=CHAMVIGA;6232601]Dr amekua akicheza na akili za watu (psychological games) hasa kwa vijana ambao hawana kazi ya kufanya na kuwapa riziki kutokana na uvivu na bangi nyingi.
Kutokana na juhudi za watanzania wazalendo kuwaelimisha unafiki na motive behind cdm na chama kupungua kasi yake ya kukubalika ikabidi watengeneze matukio yakuwafanya watu wawaonee huruma.
DR SLAA KATENGENEZA ID YA BARC. NA KUJA GHAFLA KUTENGENEZA MOVE ITAKAYOFUATIA BAADA YA TUKIO LA MAMA ZITTO KUVAMIWA.
BEN SAA8 ALIPOKEA AGIZO KUTOKA KWA SLAA ATENGENEZE MOVE HII KWA ID MPYA ILIYOPOST UZI HUU.[/QUOTE]
 
Chamviga,
You urgently need to avail yourself the setvices of a pschoanalist. It is clear you are suffering from disorders that need to be immedoately attended. i have expressed clearly that I have never in my life time, here at JF or any othet forum used hidden ID. and have no reason to do so today. Neither di i have any cause to appeal to sentiments or sympathy if Tanzanians i have been to many villages, they understand the language articulated by Chadema, not only Dr Slaa. Chadema is now deeplt rooted as an Institution, Ni orchestration needed.



UOTE=CHAMVIGA;6232601]Dr amekua akicheza na akili za watu (psychological games) hasa kwa vijana ambao hawana kazi ya kufanya na kuwapa riziki kutokana na uvivu na bangi nyingi.
Kutokana na juhudi za watanzania wazalendo kuwaelimisha unafiki na motive behind cdm na chama kupungua kasi yake ya kukubalika ikabidi watengeneze matukio yakuwafanya watu wawaonee huruma.
DR SLAA KATENGENEZA ID YA BARC. NA KUJA GHAFLA KUTENGENEZA MOVE ITAKAYOFUATIA BAADA YA TUKIO LA MAMA ZITTO KUVAMIWA.
BEN SAA8 ALIPOKEA AGIZO KUTOKA KWA SLAA ATENGENEZE MOVE HII KWA ID MPYA ILIYOPOST UZI HUU.
[/QUOTE]

Mkuu Rais Dr.W.Slaa mbona unajibishana humu na hawa wakina CHAMVIGA ?

Wasikupotee muda kwani laiti kama ungewajua real walivyo usingejisumbua nao.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa kashajikatia tamaa...

Mkuu post zako zote zina thibitisha una chuki binafsi na Dr.Slaa; Possibly bila kutaja jina la Dr. Slaa kwenye bandiko lako hupati ujira wako kutoka pale Lumumba, whatever the case will be, Tafadhali nakuomba uzingatie yafuatayo;



  • [*=left]Haijawahi na haitatokea nguvu ya dhuruma ikaishinda nguvu ya haki.
    [*=left]Haijawahi na haitatokea uongo ukaishinda ukweli.
    [*=left]Haijawahi na haitatokea giza likaishinda nuru.
    [*=left]Haijawahi na haitatokea Shetani akamshinda Mungu.


 
Dr amekua akicheza na akili za watu (psychological games) hasa kwa vijana ambao hawana kazi ya kufanya na kuwapa riziki kutokana na uvivu na bangi nyingi.
Kutokana na juhudi za watanzania wazalendo kuwaelimisha unafiki na motive behind cdm na chama kupungua kasi yake ya kukubalika ikabidi watengeneze matukio yakuwafanya watu wawaonee huruma.
DR SLAA KATENGENEZA ID YA BARC. NA KUJA GHAFLA KUTENGENEZA MOVE ITAKAYOFUATIA BAADA YA TUKIO LA MAMA ZITTO KUVAMIWA.
BEN SAA8 ALIPOKEA AGIZO KUTOKA KWA SLAA ATENGENEZE MOVE HII KWA ID MPYA ILIYOPOST UZI HUU.

Kuna mtalaamu wa kutengeneza stori kama alietengeneza stori ya kusomewa itqaaf ili afe???
 
Simbulisi,
Namshukuru sana Mungu. sioti ndoto mchana kama wewe. Endelea kupoteza muda wako kwenye mitandao. Kama wanakulipa uendelee tu kukwapua.

1. Urais unauota wewe! Lini, ukiacha wakati halali wa Kampeni, Dt Slaa nimezungumzia Urais. kwa Taarifa yako na ya watu wa aina yako, haunisumbui
na wala hautanisumbua kamwe. uroho huo sina, ila bila kukuficha nina uchungu na Taifa langu. Ninawaonea huruma vijana kama wewe waliopoteza dira na kuuZa taifa lao kwa ajili ya vijipesa na kukubali kudhalilisha utu na ubinadamu wao. Ninawaonea huruma Watanzania eanaoishi maisha magumu hata baada ya kudanganywa kwa ahadi ya "maisha bora...". Ninawaonea huruma Watanzania wabaopitia manyanyaso ya kila aina kwa ajili ya ujinga wa wachache wa aina yako. Ninawaonea vijana wasio na matumaini katika nchi yao, pamoja na utajiri wote wachache wanejumbatia ufisadi, uwizi wa mali na rasilimaliza Taifa lakini wachache kama ilivyo kwenye historia wamesaliti na kuhaini wenzi wao kwa kuweka maslahi yao mbele.

2. Inawezekana ni ujuha tu, au kiwango cha elimu. mimi nina ripoti tukio nililoliona kwa zaidi ya masaa takriban 6 kati ya Iringa na Kibaha. ni Ujuha tu, au ujinga uliokubuhu, au u mercenerary, au wewe ulukuwepo ndani ya gari hilo na hivyo ni sehemu ya mpango. katika akili ya kawaida unaweza kubishana vipi na eye witness kama si ujuha, au si sehemu ya mpango huo?

3, Narudia tena, nina kazi mmoja tu Chadema, kujenga Chadema imara kijiji kwa kijiji na sina kaxi ya kusaka Urais. nina kazi ya kuwaelimisha watanzania kuwa umaskini ulio kubuhu hautokani na Mungu Bali sera na maamuzi nabovu ya Chama Tawala na walafi wachache wanaolifilisi Taifa letu kama hao kila leo wanasafirisha meno ya Tembo wakati usalama wako kibao, polisi waliopewajukumu la kulinda rasilumali zetu wakusaliti viapo vyao n.k Bila kuchoka, bila unafiki na bila kumumunya maneno, pamoja na uzre wangu kwani naamini uzee ni busara na hekima nitapita kila kona ya nchi kusaka ukombozi wa pili. kama wewe urais ubakuzingua si mimi. Hilo ni jukumu la chama kwa mujibu wa katiba, kanuni na Taratibu za Chama chetu.


OTE=simbilisi;6232679]shame on you too....

Hivi slaa do u have a gut to think , hope , aspire or even dreaming that you gonna make good president?

mtu gani akuue wewe mchana kweupe? we have vide cameras, from our smart phones, we have backup of every technology....huyo wa kukuua wewe so openly kiasi hicho ni nani? kwa nini unajivisha ujinga na uwehu kwa mawazo na mitaji ya kitoto?

mwenzako mbowe ana walinzi, whats makes you huna walinzi? walau mmoja ungemshusha afuatilie hilo gari? HAUKUWA NA WATU kutoka makao makuu (kikosi chenu cha ulinzi) kifuatilie hata kumuhoji huyo dereva?? tangu iringa??? hata kama umegundua ukiwa morogoro bado walinzi wenu walikuwa na uwezo wa kumkamata huyu mtu.......SASA KAMA HAUNA AKILI NDOGO KAMA HII UKIWA RAIS utafanyaje? you are far worst than what we have now.....

Slaa pengine unazeeka vibaya, but please try to collect youself and organise your logic skills, please no one can buy this ----,,,,I mean no one can board in this vehicle made by you

wa kuku support wewe ni wenye akili kama zako, wasioweza kufikiri

wanachadema, it was better mngemkaripia huyui rais wenu maana hatumii ubongi[/QUOTE]
 
Ninawaambia, they are setting political spinning bar too high mpaka kwa sasa zinaanza kuonekana ni spinning za kitoto.

Huwezi kutafuta uongozi kwa nguvu nyingi za aina hii.

Ni ujinga kubisha kuhusu jambo au kitu ambacho kimetokea wakati wewe haupo...na wala hukuona ila unabisha tu kwa sababu akili zako ni kama mshale,leo zimeelekea kwenye ubishi.....
 
Je, kuna mke wa mtu yeyote mliyempa lift?

Hata Mahimbo enzi zile angekuwa anafuatilia nyendo za mke wake Josephine wangesingiziwa TISS...

Mbona unatapatapa sana na maneno yasiyokuwa na chembe za taamuli....jaribu kuwa unatumia ubongo wako hata kwa dakika you will see the result!
 
Dr.Slaa....nakusihi uende ukapumzike ili uendelee na mapambano yako katika Taifa hili....
Hapa JF utaghafirika tu....ni jukwaa lenye vijana waropokaji na vijana wa Lumumba ambao wapo tayari kuku-attack hata kwenye thread ambayo haupo au you are not involved!
Hapa Mwachie Ben Saanane kwa sababu most of the JF contributors wanaoku-provoke ni washabiki na wahanga wa kombora la Ben na Mamuya ambao no soon watakuja kusema ya Nakaaya!
 
Simbulisi,
Namshukuru sana Mungu. sioti ndoto mchana kama wewe. Endelea kupoteza muda wako kwenye mitandao. Kama wanakulipa uendelee tu kukwapua.

1. Urais unauota wewe! Lini, ukiacha wakati halali wa Kampeni, Dt Slaa nimezungumzia Urais. kwa Taarifa yako na ya watu wa aina yako, haunisumbui
na wala hautanisumbua kamwe. uroho huo sina, ila bila kukuficha nina uchungu na Taifa langu. Ninawaonea huruma vijana kama wewe waliopoteza dira na kuuZa taifa lao kwa ajili ya vijipesa na kukubali kudhalilisha utu na ubinadamu wao. Ninawaonea huruma Watanzania eanaoishi maisha magumu hata baada ya kudanganywa kwa ahadi ya "maisha bora...". Ninawaonea huruma Watanzania wabaopitia manyanyaso ya kila aina kwa ajili ya ujinga wa wachache wa aina yako. Ninawaonea vijana wasio na matumaini katika nchi yao, pamoja na utajiri wote wachache wanejumbatia ufisadi, uwizi wa mali na rasilimaliza Taifa lakini wachache kama ilivyo kwenye historia wamesaliti na kuhaini wenzi wao kwa kuweka maslahi yao mbele.

2. Inawezekana ni ujuha tu, au kiwango cha elimu. mimi nina ripoti tukio nililoliona kwa zaidi ya masaa takriban 6 kati ya Iringa na Kibaha. ni Ujuha tu, au ujinga uliokubuhu, au u mercenerary, au wewe ulukuwepo ndani ya gari hilo na hivyo ni sehemu ya mpango. katika akili ya kawaida unaweza kubishana vipi na eye witness kama si ujuha, au si sehemu ya mpango huo?

3, Narudia tena, nina kazi mmoja tu Chadema, kujenga Chadema imara kijiji kwa kijiji na sina kaxi ya kusaka Urais. nina kazi ya kuwaelimisha watanzania kuwa umaskini ulio kubuhu hautokani na Mungu Bali sera na maamuzi nabovu ya Chama Tawala na walafi wachache wanaolifilisi Taifa letu kama hao kila leo wanasafirisha meno ya Tembo wakati usalama wako kibao, polisi waliopewajukumu la kulinda rasilumali zetu wakusaliti viapo vyao n.k Bila kuchoka, bila unafiki na bila kumumunya maneno, pamoja na uzre wangu kwani naamini uzee ni busara na hekima nitapita kila kona ya nchi kusaka ukombozi wa pili. kama wewe urais ubakuzingua si mimi. Hilo ni jukumu la chama kwa mujibu wa katiba, kanuni na Taratibu za Chama chetu.


OTE=simbilisi;6232679]shame on you too....

Hivi slaa do u have a gut to think , hope , aspire or even dreaming that you gonna make good president?

mtu gani akuue wewe mchana kweupe? we have vide cameras, from our smart phones, we have backup of every technology....huyo wa kukuua wewe so openly kiasi hicho ni nani? kwa nini unajivisha ujinga na uwehu kwa mawazo na mitaji ya kitoto?

mwenzako mbowe ana walinzi, whats makes you huna walinzi? walau mmoja ungemshusha afuatilie hilo gari? HAUKUWA NA WATU kutoka makao makuu (kikosi chenu cha ulinzi) kifuatilie hata kumuhoji huyo dereva?? tangu iringa??? hata kama umegundua ukiwa morogoro bado walinzi wenu walikuwa na uwezo wa kumkamata huyu mtu.......SASA KAMA HAUNA AKILI NDOGO KAMA HII UKIWA RAIS utafanyaje? you are far worst than what we have now.....

Slaa pengine unazeeka vibaya, but please try to collect youself and organise your logic skills, please no one can buy this ----,,,,I mean no one can board in this vehicle made by you

wa kuku support wewe ni wenye akili kama zako, wasioweza kufikiri

wanachadema, it was better mngemkaripia huyui rais wenu maana hatumii ubongi
[/QUOTE]

Please my president,do not attack these youths from Lumumba, they are being paid by Kinana.Let us talk issues.Please follow my thread I brought it earlier today for the betterment of our party.Come to Ruvuma for the vigorous M4C campain.
 
Huu muda wa kujibu maswali haya ya kipuuzi niupate wapi?Usiwe mvivu wa kusoma.Yote hayo uliyouliza usingekurupuka kuyarudia wakati yalishajibiwa tangu mwanzo wa thread.Labda kichwa chako ni kizito sana kuelewa.Pole

Ungejibu hayo maswali aliyouliza Annael kidogo substance ingeonekana katika upuuzi mzima huu wa "kufuatiliwa".
Maswali ya msingi hujibiwa na majibu ya msingi vile vile, amasivyo haingii akilini mtu "kufuatiliwa" kwa kilometa 500 Iringa hadi Dar.
Mimi njia hiyo napita tena mara nyingi sana na kama mtu akitaka kukuteka au kukufanyia uharamia kuna sehemu mbaya sana kama Kitonga, mapori kati ya Comfort na Mbuyuni, na hata kona kona za Ruaha na Iyovi na hata mbugani Mikumi.

Waswahili wanasema mtu mwoga huwa anakufa mara mia.
Hizi crying wolf zina madhara yake maana yakimfika ya kweli hakuna atayeyachukulia serious.
 
Sorry my future president usije nitafuta na kunimaliza kisa na kucritisize kwenye mawasilisho yako. Kumbuka Jf tuko huru kutoa maoni yetu na fikra zetu. Evils are always temporaly but the truth is always parmanent. Kazi njema.
 
Dr Slaa anaelewa maana ya social network Shadcore, kumbuka yanayoandikwa humu hausomi wewe peke yako au members tu bali kuna non members ambao hawa ndio wengi so don't shout to dr, anahaki ya kujibu ili jamíi wasiwe na mis interpretation kwa yale anayoandika dr by the way naye ni member wa jf.
 
Hapo ndio unapochemka ben kuleta habari shekh yahaya kwenye mtandao hazitokusaidia.
 
Back
Top Bottom