Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Mkuu there is no parallel kati ya US na Tanzania.
If anything is to go by tujaribu ku-uphold democracy hata ndani ya vyama vyetu vya siasa.
Kwa ulinganishi wako tu mshindani ANAYESHINDWA hawezi tena kugombea muhula unaofuata maana kunakuwa na democratic caucassses ndani ya vyama.
Hebu jilinganishe na chama chako cha CHADEMA, viongozi ni wale wale kama shilingi ya mkoloni.And in this respect ingalau hata CCM ime-fare better kwa kubadilisha washindani kila baada ya miaka kumi

jmushi1,

Anaongelea usalama wa Taifa wewe umedandia vyama.Hata ungeleta hayo ya vyama jadili growth ya Democrats na GOPs na historia zao ulinganishe kiwango cha ukuaji wa demokrasia katika umri wa miaka 20 tu wa CHADEMA.

Na hilo la wagombea Urais sijui unalifanyia comparative analyisis ya aina gani maana CHADEMA kilisimamisha mgombea Urais kwa mara ya kwanza mwaka 2005,akaja Mwingine mwaka 2010 na wote hao ni matokeo ya mchakato wa kidemokrasia hata kama wangemrudisha yule yule wa mwaka 2005 tofauti na CCM wanakofunga demokrasia hadi kutangaza wengine sio raia huku bastola zikitumika sehemu ya kujenga hoja kama mbadala.
 
Last edited by a moderator:
Sihitaji kupendwa na wanafiki wanaojaribu kuzuia wimbi la mabadiliko na kulisaliti taifa kwani hiyo ni laana kwangu kama mzalendo wa kweli.

So,Keep that love for yourself.

Nimekuelewa mzalendo usije kunifuata na unga mwekundu bure maana mimi sitoki Kigoma.
 
Ishu ni kwamba Slaa kashajulikana kumbe na yeye ni fisadi. Kafilisi mradi wa maji Karatu na kuacha akinamama wakitaabika kutafuta maji.

Sasa hawezi tena kuongea hoja ya ufisadi, ndio maana anatunga vihadithi kama hivi ili aonewe huruma. Kiujumla hizi ni siasa za kutegemea huruma bila hoja...
 
Ishu ni kwamba Slaa kashajulikana kumbe na yeye ni fisadi. Kafilisi mradi wa maji Karatu na kuacha akinamama wakitaabika kutafuta maji.

Sasa hawezi tena kuongea hoja ya ufisadi, ndio maana anatunga vihadithi kama hivi ili aonewe huruma. Kiujumla hizi ni siasa za kutegemea huruma bila hoja...

Huyu mzee sio mzima tu, atasingizia mambo mengi ila nahisi ni mgonjwa, ni muongo hadi anajidanganya mwenyewe. Hivi sasa ameona hajazua uongo siku nyingi ameibuka tena.
 
Ni ujinga kubisha kuhusu jambo au kitu ambacho kimetokea wakati wewe haupo...na wala hukuona ila unabisha tu kwa sababu akili zako ni kama mshale,leo zimeelekea kwenye ubishi.....
Wewe unaeamini ulikuwepo au unaamini tu kama mshale unavyoelekezwa basi ndiko huko huko utatungua kwa sababu akili yako imeamukia leo kwenye kuamini kila kitu kwahiyo unatungua kila uchafu wa uongo.
 
Nasikitika nimechelewa kulijua hili bandiko lakini ninachoweza kusema haki haitoki kwa mwanadamu pasipo Mungu. Dr. Slaa watakufata kila kona lakini wao ni wachache wengi tuko nawe. Mungu atawaumbua mpaka siku yao ya kihama
 
Dr.hao inawezekana walikuwa wanataka kukuzuru lakini kwa upande mwingine wa shiling ilimradi umefika salama na hawajakuzuru kitu basi inawezekana hao walikua wanakuescoti kwa ajili ya usalama wako,walikua wanakulinda usidhuriwe na mtu manake wanajua ukipata madhara yeyote hata kwa bahati mbaya italeta shida kwa wananchi

Hivi utampaje mtu ulinzi alafu hata yeye mwenyewe unamficha???????? Only in Tanzania fools can be fulled
 
Hizi 'Movies' Zitaendelea sana tu, Ushauri wangu ni kuwa wakati mwingine si lazima kusema hadhaharani kila kinachotokea ukizingatia inawezekana kuwa ni nia ya anaefanya hivi, Hivi hata detective movies hamuangalii- mie kwa sasa natazama "THE WIRE" so ni rahisi kutambua au kuhisi hiki kinatokea kwa sababu gani? anyway the movie continues.......
 
Ishu ni kwamba Slaa kashajulikana kumbe na yeye ni fisadi. Kafilisi mradi wa maji Karatu na kuacha akinamama wakitaabika kutafuta maji.

Sasa hawezi tena kuongea hoja ya ufisadi, ndio maana anatunga vihadithi kama hivi ili aonewe huruma. Kiujumla hizi ni siasa za kutegemea huruma bila hoja...

Nina uhakika wewe karatu hujafika na wala hujajisumbua kumtafuta mtu hata mmoja wa kumwuliza habari za karatu. Maji ndo kitu kilichosambaratisha ccm karatu. Maji ndo moja ya matatizo aliyoyatatua Dr Slaa hadi akakubalika Karatu. Get it right my friend. Usipende siasa ikutoe nje ya common sense.
 
Mi nadeclare interest kwamba nataman kuwa mkwe wa Baba Dr. Slaa, maana nyota yake inang'ara mpaka inapenya moyon. Kwa hili la kufuatiliwa nataman kusema kwamba hata hao vijana wa TISS sasa hivi wanapeana shift ya kuwalinda viongoz wa Serikali mpya 2015.
 
Hivi utampaje mtu ulinzi alafu hata yeye mwenyewe unamficha???????? Only in Tanzania fools can be fulled
Careful mamaaa....!!!!Hili jamvi linasomwa dunia nzima, hatutaki watu wajue kuwa washauri wa karibu kabisa wa Dr Slaa ni vihiyo!
 
Hiyo Ngoma ya akina slaa na wenzake imepasuka siku nyingi, kuna siku watapost ukweli tutadhani ni umaarufu unatafutwa kumbe mtu kadhurika, lakini hiyo ndio hasara ya kuutafuta kabla muda haujafika.
 
Hiyo Ngoma ya akina slaa na wenzake imepasuka siku nyingi, kuna siku watapost ukweli tutadhani ni umaarufu unatafutwa kumbe mtu kadhurika, lakini hiyo ndio hasara ya kuutafuta kabla muda haujafika.

ID yako hii uliifungua juzi tarehe 21/04/2013.Ni miongoni mwa ID mpya zinazotiliwa mashaka.Hizi Pre-empty move zinatufanya tuongeze umakini zaidi.
 
ID yako hii uliifungua juzi tarehe 21/04/2013.Ni miongoni mwa ID mpya zinazotiliwa mashaka.Hizi Pre-empty move zinatufanya tuongeze umakini zaidi.

Ben sakumi.
Mie na wewe nani wa kutiliwa mashaka?
Wewe unapingana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Chako CDM,tena kwa hoja za kitoto ambazo haziwezi kulingana na uwezo na umaarufu wa Zitto na Ofisi yake hata robo tu.
Wewe na Mimi nani ANATUMWA NA KUTUMIWA?
Wewe na ZItto nanai Anaheshimika na Vijana Tanzania?
Wewe Mburura na Zitto nani kaijenga chadema ya leo?
Wewe Kibaraka na Zitto Kabwe nani anajulikana Kitaifa na Kimataifa?
Wewe Mtumwa na Zitto Kabwe nani anauwezo wa kuibomoa au kuijenga Chadema ya Leo?
Wewe na Zitto nani ni Kiongozi?
Huna jipya.
Mama yake alikuona juzi uko miongoni mwa wale waliomteka na kutaka Laptop ya mwanae! USIKURUPUKE hujakomaa, Unatumika vibaya kijana, Utaumbuka.
 
Mi nadeclare interest kwamba nataman kuwa mkwe wa Baba Dr. Slaa, maana nyota yake inang'ara mpaka inapenya moyon. Kwa hili la kufuatiliwa nataman kusema kwamba hata hao vijana wa TISS sasa hivi wanapeana shift ya kuwalinda viongoz wa Serikali mpya 2015.

Ujinga ndo unakusiumbua hujui unaandika nini, hivi una akili uolewe na mtu aliyekimbia ndoa Takatifu ya Upadri!!
Utalambwa utaachwa, Muulize Rose Kamili atakupa full Mkanda.
Sio kila king'aracho ni dhahabu mengine ni Makapi yanajitembeza kusubilia siku.
 
Back
Top Bottom