Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dk SlaaaHii nchi ina wazalendo kindakindaki.
Uyo ndio aliesema ataleta Pilau?CHADEMA, ACT na Vyama vingine ni matawi ya CCM. Tumuunge mkono Mwabukusi
Hapana. Ni mwingineUyo ndio aliesema ataleta Pilau?
kwi kwi kwi ! wakiweza wamfunge kabisa huyu, kama sio yeye na Lipumba leo hii tungekua mbali sana kidemokrasia, matokeo yake sasa tunaanza tena upya!
Ngoja nimgoogle niwe mfuasi wake.Hapana. Ni mwingine
[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Free our Prophet.
Usipoitaja chadema unawashwa na chujio???CHADEMA siku hizi ni CCM B kama ilivyo ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi, UDP, n.k.
Uko sawa 100% Slaa na Lipumba wamevuruga sana siasa za ushindani.kwi kwi kwi ! wakiweza wamfunge kabisa huyu, kama sio yeye na Lipumba leo hii tungekua mbali sana kidemokrasia, matokeo yake sasa tunaanza tena upya!
Lowassa ndo aliwavunja moyo vijana Kwa kuwahakikishia kuwa hatoibiwa kura sababu ye ndo alikuwa engineer wa wizi,Uko sawa 100% Slaa na Lipumba wamevuruga sana siasa za ushindani.
Hawa wote ni CCM hizi ni drama tuSahivi anahitaji msaada wa Mbowe
Ccm wako mbele miaka elfu mbiliHuna akili
Chadema kabisa ndiyo waseme yaliyopita si ndwele? Naona wewe unawasikia tu kwenye mitandao!Sio kwamba "yaliyopita si ndwele?!"