Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Hatupendi watu wenye mtazamo unaokinzana na wetu. Ningekuwa na nafasi ya kushare basi ningejishauri kwamba watu wa namna hii ni kuwatafutia namna wahame nchi
 
hap0 policccm wamegusa pabaya huyo mwamba huwa harudi nyuma na maneno yake ni makali kuliko radi
 
Ubinafishaji Kwa nguvu! Mh. Rais Kwa Nini asingesikiliza mawazo ya wanaopinga halafu wakaboresha mapungufu. Kwa Tanzania si ni ya watanzania ikiwemo yeye? Kuna ulazima was kuaza kukamata watu kisa kupi ga hoja ya selikari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…