Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Kama ili sakata la bandari ni la heri, kwanini serikali ya rais Samia linatumia nguvu kubwa sana kulizima??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Patamu sana tena sana.Tumefika patamu,hatimaye Mafioso wamefikiwa!
Sababu wao ndiyo wanai haini nchiKama ili sakata la bandari ni la heri, kwanini serikali ya rais Samia linatumia nguvu kubwa sana kulizima??
Mama anawafuta machoziZama za Giza zinarudi Kwa Kasi ya ajabu.
Hii ndiyo hoja!!Inaonekana walishaanza kupata uungwaji Mkono kutoka kwa Wananchi.
Kwani ziliwahi kuondoka?Zama za Giza zinarudi Kwa Kasi ya ajabu.
Kabisa.Mama anawafuta machozi
Zilikuwa gizani.Kwani ziliwahi kuondoka?
Ila mjanja sana. Upo nyuma ya Keyboard wengine wnakamatwaNchi imefika tulipopataka
vizuri sana watambue nchi hii ina utawala halali. Babu mzima amejaa ubaguzi, chuki, uzushi, upotoshaji. Historia ya huyu babu yenyewe ni mbovu, ni katili, aliacha upadre akaoe, baadaye tena akaitelekeza familia na kwenda kuoa mke wa mtu. Ni mchafu, akapumzishwe gerezani asiendelee na uchochezi na uposhaji wake wa kipuuziMuda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Na wewe umefika au wengine ndiyo wamefikishwa patamu!!Patamu sana tena sana.
Wait for counter attack momGame over.
Inawezekana na yeye pia yupo kwenye harakati.Ila mjanja sana. Upo nyuma ya Keyboard wengine wnakamatwa
uchochezi, uzushi, upotoshaji na uwongo siyo maoni.Kwanini serikali isisikilize maoni ya wananchi kuliko kutumia nguvu.
makuwadi ya dpworld mwambieni mamayenu huu ni mwanzo tu asiporidisha pesa za waliomhonga atapata tabu sana.Halaleluya daka wote kabisa, bado mbowe na lema na lisu. Daka wote sweka huko lupango na huku kuwanyonga wote hawa wahaini.