Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Hii ni chafu zaidi kuliko hata ya marehemu.Tunarudi kule kule...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni chafu zaidi kuliko hata ya marehemu.Tunarudi kule kule...
Mmmh !Wapi?
Watakamata wangap?? We are tired of black colonialists. Muda utaongeaMuda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
sisi ni watanzania, we na hao mazuzu wenzio ndio watanganyika, nchi ya kufikirika. Nyie ndio mmepumbazwa na hao wanaowatumia. Hii ni Tanzania hatuna la kujifunza kutoka Kenya, sifa yetu ni kubwa sana kuliko hao wakenya, hatutaki siasa za hovyo km za hao unaowahusudu, kahamie huko inawezekana we siyo raia wa nchi yetu, usituletee ushenzi wenu huoNakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.
Wakenya nadhani mziki wao unaouona, ni kuwakosea heshima kuwafananisha wakenya na makondoo ya Tanganyika yaliyopumbazwa na ushirikina wa Mwenge.
Kina Tuliadah hatari sana.
nilikuwa nawaangalia tu waliosema tunaimalisha demokrasia ilihali hawako tayari kurushiwa mawe.
Tusi gani walilotukana?we ndio umeamka usingizini? Walivyokuwa wanatukana, wanaeneza chuki, wanafanya uchochezi ulikuwa wapi. Hayo ndiyo maoni? Acha ulofa
Natamani Amguse LissuWho's next
1. Maria Sarungi
2. Martin Maranja Masse
3. Dr. Ananilea Nkya
4.Tundu Kisu
5 John Heche
6. Itaendelea
Sawa ngoja tuone mwisho wakeHaki daima husimama. Maharamia ya DP, kamqe hayatashinda.
wananchi wanaiunga mkono CCM na walikuwa wanashangaa kwanini hawa watu wanaochochea vurugu hawakamatwi? Kamata wote weka ndani hukoHalafu bado kuna wananchi wanaoishabikia CCM....
Ungeweka na hayo matusi ingependenza ili twende sawa.Safi sana ,acha Waendelee kukamatwa kwa kadri iwezekanavyo ,hawawezi wakaendelea kutoa malugha ya uchochezi na ubaguzi halafu wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua. Zoa wote tupia ndani kwa mahojiano ya kina ili waeleze ni demokrasia ya wapi hiyo ya kuwatukana , kuwadhalilisha na kuwavunjia heshima wengine. Hawawezi wakaachwa wachochee machafuko hapa nchini
Acha kujijaza ujinga wako hapa huku umejificha kwenye fake idDr Slaa kanyakuliwa kama kuku,pata Picha mwananchi wa kawaida asie na status yoyote zaidi amekutwa na kosa lolote lile.
Unahisi kwa polisi hawa,vitendo hivi kuna nn kinaendelea?
Nimeshasema Once nikapata Chenchi zangu Mpaka unifikie unikamate labda unibahatishe Huko duniani ila sio unifate kwangu maana utatolewa ubongo.
siwapendi Polisi wa TZ
Hatutorudi nyuma Hadi HAKI itaposimama juu ya nchi.Tusipopaza sauti Kwa umoja wetu(hasa wazalendo watangayika)wachache wanaojitokeza wataonewa
Hakuna aliyehongwa sisi ndiyo wenye nchi! Tulieni Dkt Samia afanye kazi yake.makuwadi ya dpworld mwambieni mamayenu huu ni mwanzo tu asiporidisha pesa za waliomhonga atapata tabu sana.
Watukanaji wa matusi na wachochezi lazima msombwe wote bila kumwacha yeyote mitaani,.tunataka mitaani wabaki watanzania wakifanya shughuli zao kwa amani na utulivuDikteta Samia
Sawa endeleeni kuuza mali za WatanganyikaHakuna aliyehongwa sisi ndiyo wenye nchi! Tulieni Dkt Samia afanye kazi yake.