Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania Mungu aturehemu ila hatuna tofauti na mnyama aina ya Nyumbu,Nchi imefika tulipopataka
Sababu nini Jo🤔Dr slaa amekamatwa akiwa nyumbani kwake muda mfupi uliopita.
Habari zaidi zinawajia punde.View attachment 2716215
Zama za giza zishindwe katika jina la Yesu🤔Zama za Giza zinarudi Kwa Kasi ya ajabu.
Kondoo kapata mchungaji.Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Mifwedha yako bhana inawachanganya kina Iskarioti.Dikteta Samia
Hoja sii zimeshajibiwa na mahkama kuu kanda ya mbeyaKwaio Serikali imeshindwa kujibu kwa hoja wanaanza kuumiza wanao wakosoa sio.
Ila chama changu ccm kinatia aibuMuda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Rudisheni pesa zangu kama hamtaki kuniuzia kitega uchumi chenuMifwedha yako bhana inawachanganya kina Iskarioti.
Hiki ni fungu gani cha mkataba ccm mnatafuta pa kutokea?tunangoja mtuelimishe mtuambie tutapata nini kwenye uwekezaji wa bandari kifungu kwa kifungu kama mlivyoahidi.Halaleluya daka wote kabisa, bado mbowe na lema na lisu. Daka wote sweka huko lupango na huku kuwanyonga wote hawa wahaini.
Utekelezaji wa falsafa ya 4R ya Mama unaendelea!Tunarudi kule kule...
Samia ni muovu kuliko hata shetaniUbinafishaji Kwa nguvu! Mh. Rais Kwa Nini asingesikiliza mawazo ya wanaopinga halafu wakaboresha mapungufu. Kwa Tanzania si ni ya watanzania ikiwemo yeye? Kuna ulazima was kuaza kukamata watu kisa kupi ga hoja ya selikari?