Hayo ndio kati ya mapungufu yanayotakiwa yarekebishwe kwenye katiba mpya itakayoandikwa!Sasa kama hakuheshimu hicho kiapo mtafanyaje na hiyo katiba inampa kinga asishitakiwe? Tena hiyo katiba ni tangu enzi ya nyerere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ndio kati ya mapungufu yanayotakiwa yarekebishwe kwenye katiba mpya itakayoandikwa!Sasa kama hakuheshimu hicho kiapo mtafanyaje na hiyo katiba inampa kinga asishitakiwe? Tena hiyo katiba ni tangu enzi ya nyerere
Kweli ishushe bundle ili tuendelee kujinafasi jamii forum!Nchi imefika tulipopataka
Wewe akili zako zipo chini ya tumbo badala ya kichwaniKweli ishushe bundle ili tuendelee kujinafasi jamii forum!
Nenda mirembe hujapona vizuri!Wewe akili zako zipo chini ya tumbo badala ya kichwani
Mimi nilishapona bado wewe mlinda legacy ya kulazimishaNenda mirembe hujapona vizuri!
Ulivyokuja kwa haraka haya tuma namba pm nikutupie ya kifungua kinywa maana unawanukisha watu domo kwa njaa!Mimi nilishapona bado wewe mlinda legacy ya kulazimisha
Kwani leo ndiyo umelipwa ya ulinzi?Ulivyokuja kwa haraka haya tuma namba pm nikutupie ya kifungua kinywa maana unawanukisha watu domo kwa njaa!
Tatizo la mswahili ni hilo akipewa msaada haishiwi maswali!Kwani leo ndiyo umelipwa ya ulinzi?
Wewe mwenyewe ni KWANGU PAKAVU TIA MCHUZITatizo la mswahili ni hilo akipewa msaada haishiwi maswali!
Unajiongelesha mjomba tuma tarakimu ni pesa ya chapati tu usilete matatizo ya karo na pango!Wewe mwenyewe ni KWANGU PAKAVU TIA MCHUZI
Uliyempiga ngeta ukampora hiyo buku namuonea hurumaUnajiongelesha mjomba tuma tarakimu ni pesa ya chapati tu usilete matatizo ya karo na pango!
Kumbe bado unaendelea na shughuli salender bridge!Uliyempiga ngeta ukampora hiyo buku namuonea huruma