Ukiteuliwa na Rais kuwa Balozi kwa wanaojua vyema Protocol hapo tayari automatically umeshakula Kiapo cha Siri kama cha Watu wa Idara Nyeti ( TISS ) na ndiyo maana 95% ya Mabalozi ndani na hata nje ya Tanzania huwa ni wa kutoka Usalama wa Taifa.
Kitendo cha Wewe kuteuliwa na Rais kuwa Balozi ( Mwakilishi wake ) kwa nchi atakayokupangia au kuwa Msaidizi wake Maalum kisha ukaamua Kupishana nae, Kumdharau, Kumdhoofisha Kisera na Kumtishia wakati unajua ulikula Kiapo hapo ni sawa na Kukigeuka Kiapo chako.
Hivyo wakiamua Kukukamata na Kukufungulia Kesi Kubwa au hata Kukuua kabisa huwa wanakuwa sahihi kwakuwa wakikuachia Huru na kuanza Kujitawala huku Ukibwabwaja Mitandaoni, Redioni na Runingani wanakuwa / watakuwa sahihi.
Kitendo cha Wewe kuteuliwa na Rais kuwa Balozi ( Mwakilishi wake ) kwa nchi atakayokupangia au kuwa Msaidizi wake Maalum kisha ukaamua Kupishana nae, Kumdharau, Kumdhoofisha Kisera na Kumtishia wakati unajua ulikula Kiapo hapo ni sawa na Kukigeuka Kiapo chako.
Hivyo wakiamua Kukukamata na Kukufungulia Kesi Kubwa au hata Kukuua kabisa huwa wanakuwa sahihi kwakuwa wakikuachia Huru na kuanza Kujitawala huku Ukibwabwaja Mitandaoni, Redioni na Runingani wanakuwa / watakuwa sahihi.