Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiyo maana uzi mzima umechukua sura ya udini ikiongozwa na ajuza Fayza FoxTatizo ni ukristo vs uislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana uzi mzima umechukua sura ya udini ikiongozwa na ajuza Fayza FoxTatizo ni ukristo vs uislamu
Huyo ni mchawi au kigagulaWewe mama samahani lakni,wewe ni mnafiki..
Mwalimu Nyerere,hakuwachekea wala kuwaonea aibu,waliotaka kuvuruga amani.Hata wawe ni wenzake ,waliodai Uhuru pamoja.Kina Bibi Titi,Kina Fundikira,kina Kambona,na wengineo.I would like to announce that now we have a dictatress in office under the disguise of Jeshi la Polisi.
Twende tukaligomboe lile bus la Lissu🤣🤣Wewe ebu nenda kalinde kaburi maana leo ni zamu yako
Kalinde kaburi wakati ukisubiria mungu wenu arudi tenaTwende tukaligomboe lile bus la Lissu[emoji1787][emoji1787]
Kukamatwa hao watu watatu ndio kutumia mkono wa chuma?Serikali inatumia mkono wa Chuma kutawala wananchi wake[emoji848]
Upuuzi mtupu.Kalinde kaburi wakati ukisubiria mungu wenu arudi tena
Unauliza ndevu kwa osama?Kukamatwa hao watu watatu ndio kutumia mkono wa chuma?
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Hebu binuka nikubamize.Njoo nikupakate kama una hamu
Af leo hii watu wanataka wachekeweMwalimu Nyerere hakuwachekea,wanaotaka kuharibu amani,chamoto aliwaonyesha.
Nenda Polisi kaulize.Kama na wewe hukikiona cha moto.Mwalimu Nyerere ilikuwa hawachekei,wanaotaka kuvuruga amani.Amekamatwa kwa kosa Gani ? Hawa polisi mbona wajinga kiasi hiki
Mpuuzi ni wewe mlinda kaburi na legacy ya kuchongaUpuuzi mtupu.
Wakati wewe ndiye mbamizwaji?Hebu binuka nikubamize.
Binuka nikubamize.Wakati wewe ndiye mbamizwaji?
Wajuwa kama Mwalimu Nyerere angewachekea wanaotaka kuvuruga amani,Tanzania ingekuwa zaidi ya somalia.Kina bibi Titi,kina Fundikira,kina Kambona walikiona cha Moto.Af leo hii watu wanataka wachekewe
Wewe umeacha lini? Maana Mombasa ulifukuzwa kisa kushikishwa ukutaUnashikishwa ukuta.
Amekamatwa kwa kosa la uhainiAmekamatwa kwa kosa Gani ? Hawa polisi mbona wajinga kiasi hiki
Binuka nikubamize.Wewe umeacha lini? Maana Mombasa ulifukuzwa kisa kushikishwa ukuta
Mbamizwaji kamwe hawezi kubamiza jombaBinuka nikubamize.