Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu

Dah mkuu umemsagia sana kunguni imetosha embu funga file lake huyu Dkt atapanda presha bure
 
Ajirudie zake Canada akaendelee kukimbiza michongo ya supermarket na mkewe kama kipindi kile
 
Kijana kaweka namba hapo... wewe na taasisi yako mzingatieni kijana πŸ˜…πŸ‘πŸΎ
Huyo slaa ananyea kila kambi anayopitia.

Mtu wa hovyo, mwongo, mnafik, asiye na maadili, kuwahi kutokea Tanzania hii.
 
Huyo slaa ananyea kila kambi anayopitia.

Mtu wa hovyo, mwongo, mnafik, asiye na maadili, kuwahi kutokea Tanzania hii.
Samia na genge lake wangekuwa na maadili wasingechukua rushwa toka kwa waarabu na ndio maana anashindwa kujibu hoja anaamua kukaa kimyaa!! Nchi hii hatukuzoea kiongozi anaefanya mambo kwa kificho kuficha uhujumu wake kwa nchi!
 
Samia na genge lake wangekuwa na maadili wasingechukua rushwa toka kwa waarabu na ndio maana anashindwa kujibu hoja anaamua kukaa kimyaa!! Nchi hii hatukuzoea kiongozi anaefanya mambo kwa kificho kuficha uhujumu wake kwa nchi!
Rais wetu mama Samia Suluhu Hasssan ni mzalendo wa kweli na dhati kwa Taifa letu ambaye hawezi kuchukua Rushwa kwa ajili ya kuuza Rasilimali za Taifa letu na uhuru wake. Akili yake na mawazo yake yapo katika kuwatumikia watanzania na kuhakikisha ya kuwa wanaishi maisha yaliyo bora na yenye matumaini kila iitwayo leo.
 
Wewe boya Kweli unaamini kuwa nchi hii iko salama wakati nchi inayojidai kuwa imeongeza wawekezaji na watalii lakini wakati huo huo nchi ni mufilisi haina $$$ za kuwawezesha wafanya biashara kuagiza bidhaa toka nchi za nje!!! Hizo $$ zote mlizopata kutoka kwa hao wawekezaji na ROYAL TOUR ya muigizaji Samia zimekwenda wapi?? Nchi hii ufisadi umekithiri ukilelelwa na mama Abdul!
 
Mbona Una hoja nyepesi?

Kwaiyo Dr. Slaa anapambania Kanisa? Anapambania Ukatoliki? Dhidi ya Nani sasa?

Kwa manufaa ya Nani? Ya kanisa au Yake Binafsi?
 
Acha kuandika blaa blaa zako hapa wewe.kwa hiyo nchi ingekuwa siyo salama ungeweza kupata nafasi ya kuandika hapa?
 
Acha kuandika blaa blaa zako hapa wewe.kwa hiyo nchi ingekuwa siyo salama ungeweza kupata nafasi ya kuandika hapa?
Wewe boya unajua maana ya usalama? Wananchi wanaoshindwa kupata chakula kwa sababu ya mfumuko wa bei Wako salama? Wewe akili yaka ndogo usalama ni kutokuwa na vita sio? Wananchi wanaokamatwa kamatwa hovyo for frivolous excuses wako salama? Wananchi magari yao kukamatwa hovyo kwa sababu ya kodi za hovyo za maegesho wapo salama? Wewe boya uchawa unakupofusha unakataa hata mambo ya wazi kuwa nchi imefilisika haina $$$$!!! Wewe ni mtu wa kuonewa huruma tu mwisho utapotea hata njia ya kurudi kwenu Vwawa!!
 
Mfumuko gani uliopo hapa nchini kwa sasa? Unaweza weka ushahidi hapa? Unaweza weka Takwimu zake hapa? Unafahamu Bei ya mahindi kwa sasa sokoni? Au unaongea tu kwa kuropoka na kukurupuka tu hapa? Wakina nani wanaokamatwa hovyo hapa nchini bila hatia? Unataka ukiwa jambazi au mchochezi usikamatwe? Wewe ni nani katika nchi hii hadi usikamatwe ukifanya kosa?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…