Pre GE2025 Dkt. Slaa akosa dhamana, kuendelea kusota rumande hadi Januari 23, Kesi ya kusambaza taarifa za Uongo mtandaoni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akosa dhamana, kuendelea kusota rumande hadi Januari 23, Kesi ya kusambaza taarifa za Uongo mtandaoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Lissu na Mariah sarungi na chadema mtandaoni wanachangia huyo mzee kukaa mahabusu kwanini hawaandamani kwenda kumtoa wana blah blah nyingi club house!
 
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari i u 2025 yaani utawala wa Samia umekuwa wa kikatili kuliko wa Magufuli. Kweli iNyerere aliacha mizimu ya kikatili ikulu.

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
 
Miaka ya badae mbeleni huko tutakua tunasoma hivi hivi, aliyekua Rais wa Tanzania bwana Mrisho na wahuni wenzake wakina Mwigulu, Chenge, Tulia, Abdul, Makonda, na wengine 560 wote wakiwa ni ccm waendelea kusota rumande huku mama Abdul akionekana kudhoofika kiafya akilalamika kutopata huduma nzuri ya afya.
 
Baada ya uchaguzi wa CHADEMA Slaa ataachiwa tu.

Nia hapa ni kumteka Slaa asiseme mambo mengi wakati CHADEMA wanafanya uchaguzi ili Mbowe apate urahisi.
 
Mfumo wa Hakijinai wa Nchi hii ni mbovu, Mahakama zetu haziko huru zinendeshwa kwa maagizo kutoka juu.
 
Kama alivyotabiri Lema ,Slaa hawezi kuachiwa mpaka uchaguzi wa CDM upite.
Mugabe wetu anapewa kila aina ya msaada na serikali na CCM ili ashinde.
Lema aliingilia uhuru wa mahakama.
 
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Bado Hadi maji Aite mmaaa 😁😁
 
Sawa mawakili wake wazidi kupambana sana na Boni yai alisota sana kwa kesi kama hiyo
Akiwa Balozi angewashawishi wazungu watupige vikwazo vikali sana ili sheria mbovu na mamlaka nje ya utu vikomeshwe nchini ila aliona poa kuwa hayamuhusu na kubeza waliokuwa wanayapambania hadi kuwatungia na kitabu.
Pole sana Dr ndiyo TZ
🚮🚮
 
Back
Top Bottom