Pre GE2025 Dkt. Slaa akosa dhamana, kuendelea kusota rumande hadi Januari 23, Kesi ya kusambaza taarifa za Uongo mtandaoni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akosa dhamana, kuendelea kusota rumande hadi Januari 23, Kesi ya kusambaza taarifa za Uongo mtandaoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Akina Lissu aliokuwa anawatetea wamemtelekeza!
 
Mpaka uchaguzi upite ndiyo watamuachia. Halafu mnasema mahakama zinatoa haki!!!
 
Tar 15 wife alinitia ndani, na kwa mara ta kwanza nikajua mahabusu kuna sound aje?
Aisee, pasikie tu.
Sema ukiwa na positive mindset, ni mahala pazuri sana, kwa namna nyingine ii was happy being there
Bado unaishi naye huyo mke?, mtu yoyote ayekupeleka na kukulaza mahabusu anakuwa ameshindwa kukuua tu,
 
Uchaguzi wa mwenyekiti/makamu ya cdm ni lini hivi???

Ova
 
Bado unaishi naye huyo mke?, mtu yoyote ayekupeleka na kukulaza mahabusu anakuwa ameshindwa kukuua tu,
Hapana hatuish pamoja, aliondoka nyumban ila sasa alipoona mimi nimekausha wala simfuatilii baada ya kukaa vukao na yeye kugoma kurud nyumban, ameona sasa aanze kunisumbua kwa ma kesi kama hivi
 
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Kuna watu laana itawapiga
 
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Huyu Mzee wanachomfanyia sio haki kabisa....mambo kama haya yanaondoa baraka kwenye nchi.
Pascal Mayalla
 
Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:

-
Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025

- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Angalieni hii post yangu.

Mungu atamuondoa mmoja ama wawili wanaotumia madaraka yao kukandamiza Watanzania.

Mahakimu wajiandae kulipwa na Mungu maana wanaamini wana nguvu kuliko yeye
 
Simuonei huruma huyu mzee kwa haya anayopitia! alichotufanyia kwenye uchaguxi wa 2015, upinzani ilikuwa unachukua nchi
 
Back
Top Bottom