Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Lissu aliokuwa anawatetea wamemtelekeza!Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:
- Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Bado unaishi naye huyo mke?, mtu yoyote ayekupeleka na kukulaza mahabusu anakuwa ameshindwa kukuua tu,Tar 15 wife alinitia ndani, na kwa mara ta kwanza nikajua mahabusu kuna sound aje?
Aisee, pasikie tu.
Sema ukiwa na positive mindset, ni mahala pazuri sana, kwa namna nyingine ii was happy being there
Hapana hatuish pamoja, aliondoka nyumban ila sasa alipoona mimi nimekausha wala simfuatilii baada ya kukaa vukao na yeye kugoma kurud nyumban, ameona sasa aanze kunisumbua kwa ma kesi kama hiviBado unaishi naye huyo mke?, mtu yoyote ayekupeleka na kukulaza mahabusu anakuwa ameshindwa kukuua tu,
Kuna watu laana itawapigaKesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:
- Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Huyu Mzee wanachomfanyia sio haki kabisa....mambo kama haya yanaondoa baraka kwenye nchi.Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:
- Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Angalieni hii post yangu.Kesi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa (76) ataendelea kusalia kukaa Mahabusu kwa kukosa dhamana baada ya hii leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam kuahirisha Kesi yake ya kusambaza taarifa za Uongo kupitia mtandao wa X hadi Januari 23.
Soma, Pia:
- Kesi ya Dkt. Slaa yapigwa kalenda hadi tarehe 17 Januari 2025
- Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo
Ni mpiga debe wa Lisu, kwa kufungiwa kwake ushawishi wake unakwama kusambaa.Kwaninmi mpiga kura au mwanachama??
Duh, akili zako sidhani kama zipo sawaAcha apige nyeto mahabusu