Dkt. Slaa amerudi rasmi kwenye viwango vya juu vya siasa Tanzania; kuvuliwa Ubalozi kumempa umaarufu kuliko ubalozi wenyewe

Dkt. Slaa amerudi rasmi kwenye viwango vya juu vya siasa Tanzania; kuvuliwa Ubalozi kumempa umaarufu kuliko ubalozi wenyewe

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Dkt. Slaa ataendelea kuwa bingwa wa siasa za upinzani Tanzania. Atazidi kuchota wafuasi wengi awapo Duniani na baada ya kuondoka.

Alitambua kwamba amefungwa kifungo cha kidiplomasia akapambana hadi akaondolewa minyororo ya kidlomasia na sasa amekuwa mtu huru.

Amechanga karata na huku tuendako anatafuta njia yoyote ile awe mfungwa wa kisiasa . Akipata conviction kama mfungwa wa kisiasa tayari malengo yake yatakuwa yametimia . Leo ameitwa nakuhojiwa media za magharibi zimeanza kufuatilia itakumbukwa juzi kati akimsingiza kwenye rekodi ya ubaguzi Prof. Mahalu.

Leo anapotekeleza majukumu yake kisiasa anachotafuta siyo kura. Anatafuta namna yakurejea kwenye nafasi yake ya awali ya mtetezi wa rasilimali za nchi.

Dkt. Slaa anatufundisha kutokata tamaa, kadri utakavyoteswa ndivyo utakavyoimarika na kuwa mtu bora zaidi. Hongera jasusi kwa mbinu zako
 
Dkt. Slaa ataendelea kuwa bingwa wa siasa za upinzani Tanzania. Atazidi kuchota wafuasi wengi awapo Duniani na baada ya kuondoka.

Alitambua kwamba amefungwa kifungo cha kidiplomasia akapambana hadi akaondolewa minyororo ya kidlomasia na sasa amekuwa mtu huru.

Amechanga karata na huku tuendako anatafuta njia yoyote ile awe mfungwa wa kisiasa . Akipata conviction kama mfungwa wa kisiasa tayari malengo yake yatakuwa yametimia . Leo ameitwa nakuhojiwa media za magharibi zimeanza kufuatilia itakumbukwa juzi kati akimsingiza kwenye rekodi ya ubaguzi Prof. Mahalu.

Leo anapotekeleza majukumu yake kisiasa anachotafuta siyo kura. Anatafuta namna yakurejea kwenye nafasi yake ya awali ya mtetezi wa rasilimali za nchi.

Dkt. Slaa anatufundisha kutokata tamaa, kadri utakavyoteswa ndivyo utakavyoimarika na kuwa mtu bora zaidi. Hongera jasusi kwa mbinu zako
Hatakaa arudi kamwe kuwa Slaa yule wa 2015! Kile alichokifanya baada ya pale kimempa DOA la milele.. Watu wengi wamesamehe lakini hawajasahau hivyo wanaenda naye kwa tahadhari kubwa mno!
Wengi wanajaribu kumuamini kwa asilimia 100 lakini roho zao zinasita mno! HAWAJASAHAU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatakaa arudi kamwe kuwa Slaa yule wa 2015! Kile alichokifanya baada ya pale kimempa DOA la milele.. Watu wengi wamesamehe lakini hawajasahau hivyo wanaenda naye kwa tahadhari kubwa mno!
Wengi wanajaribu kumuamini kwa asilimia 100 lakini roho zao zinasita mno! HAWAJASAHAU

Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu sana, sitokaa niwaelewe! Nyie mliosaliti upinzani ndio mnao mlabel usaliti Dr Slaa. Ni sawa uibiwe na vibaka alafu wakupigie kelele za mwizi! Bahati mbaya kweli kelele zenu zina nguvu.

Dr Slaa unaweza kumlaumu kwenye mengi lakini sio kuisaliti Chadema 2015. Kwamba Mbowe ndio alikuwa mzalendo wakati ule? Tuacheni bana!
 
Tatizo ana tangatanga achague platform nzuri kama anataka kutoboa, kama anategemea nguvu ya Mwambusi atakuwa amechemka
 
Hatakaa arudi kamwe kuwa Slaa yule wa 2015! Kile alichokifanya baada ya pale kimempa DOA la milele.. Watu wengi wamesamehe lakini hawajasahau hivyo wanaenda naye kwa tahadhari kubwa mno!
Wengi wanajaribu kumuamini kwa asilimia 100 lakini roho zao zinasita mno! HAWAJASAHAU

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anategemea nguvu ya Mwambusi amechemka pakubwa sn
 
Kamwe, sitamwamini Msaliti wa Kiwango cha Dr. Slaa, alwakataa wa pinzani wenzake wakati wa mateso makali sana.
 
Hatakaa arudi kamwe kuwa Slaa yule wa 2015! Kile alichokifanya baada ya pale kimempa DOA la milele.. Watu wengi wamesamehe lakini hawajasahau hivyo wanaenda naye kwa tahadhari kubwa mno!
Wengi wanajaribu kumuamini kwa asilimia 100 lakini roho zao zinasita mno! HAWAJASAHAU

Sent using Jamii Forums mobile app


Slaa bado natafuta malengo yake, kamwe hayawezi kuwa mema, kamwe.
 
Dkt. Slaa ataendelea kuwa bingwa wa siasa za upinzani Tanzania. Atazidi kuchota wafuasi wengi awapo Duniani na baada ya kuondoka.

Alitambua kwamba amefungwa kifungo cha kidiplomasia akapambana hadi akaondolewa minyororo ya kidlomasia na sasa amekuwa mtu huru.

Amechanga karata na huku tuendako anatafuta njia yoyote ile awe mfungwa wa kisiasa . Akipata conviction kama mfungwa wa kisiasa tayari malengo yake yatakuwa yametimia . Leo ameitwa nakuhojiwa media za magharibi zimeanza kufuatilia itakumbukwa juzi kati akimsingiza kwenye rekodi ya ubaguzi Prof. Mahalu.

Leo anapotekeleza majukumu yake kisiasa anachotafuta siyo kura. Anatafuta namna yakurejea kwenye nafasi yake ya awali ya mtetezi wa rasilimali za nchi.

Dkt. Slaa anatufundisha kutokata tamaa, kadri utakavyoteswa ndivyo utakavyoimarika na kuwa mtu bora zaidi. Hongera jasusi kwa mbinu zako
Anajua kujenga hoja
Anajua kujenga taasisi
 
Yan huyu mzee mnafki sana,angeachwa Ubalozini kama Dr.Asha miringo, angekuwa CCM mpaka leo.
 
Hatakaa arudi kamwe kuwa Slaa yule wa 2015! Kile alichokifanya baada ya pale kimempa DOA la milele.. Watu wengi wamesamehe lakini hawajasahau hivyo wanaenda naye kwa tahadhari kubwa mno!
Wengi wanajaribu kumuamini kwa asilimia 100 lakini roho zao zinasita mno! HAWAJASAHAU

Sent using Jamii Forums mobile ap
Mkuu Mshana Jr mwaka huo 2015 unachokiona wewe ni usaliti wa Dr..Slaa pekee lakini huona ulaghai uliotumika kumpokea Lowasa.

Wako wapi akina Lowasa, Sumaye, na wengineo wengi.....ambao walitukuta na kutuacha bado tunapambania chama chetu...sisi wengine aliyetujenga kuwa wapinzani imara ni Dr.Slaa kwa hiyo mashambulizi mengi mnayomwelekezea na kuacha aliyesababisha ni unafiki pia.
 
Mkuu Mshana Jr mwaka huo 2015 unachokiona wewe ni usaliti wa Dr..Slaa pekee lakini huona ulaghai wa uliotumika kumpokea Lowasa.

Wako wapi akina Lowasa, Sumaye, Kingunge na wengineo wengi.....ambao walitukuta na kutuacha bado tunapambania chama chetu...sisi wengine aliyetujenga kuwa wapinzani imara ni Dr.Slaa kwa hiyo mashambulizi mengi mnayomwelekezea na kuacha aliyesababisha ni unafiki pia.
Umenikumbusha ule mkutano alioandaliwa na mwakyembe pale hotelini, aliwaponda sana CHADEMA kwa unafiki wao
 
Dkt. Slaa ataendelea kuwa bingwa wa siasa za upinzani Tanzania. Atazidi kuchota wafuasi wengi awapo Duniani na baada ya kuondoka.

Alitambua kwamba amefungwa kifungo cha kidiplomasia akapambana hadi akaondolewa minyororo ya kidlomasia na sasa amekuwa mtu huru.

Amechanga karata na huku tuendako anatafuta njia yoyote ile awe mfungwa wa kisiasa . Akipata conviction kama mfungwa wa kisiasa tayari malengo yake yatakuwa yametimia . Leo ameitwa nakuhojiwa media za magharibi zimeanza kufuatilia itakumbukwa juzi kati akimsingiza kwenye rekodi ya ubaguzi Prof. Mahalu.

Leo anapotekeleza majukumu yake kisiasa anachotafuta siyo kura. Anatafuta namna yakurejea kwenye nafasi yake ya awali ya mtetezi wa rasilimali za nchi.

Dkt. Slaa anatufundisha kutokata tamaa, kadri utakavyoteswa ndivyo utakavyoimarika na kuwa mtu bora zaidi. Hongera jasusi kwa mbinu zako
Babu kama huyo nani ana habari nae?
 
Mzee ana laana huyu kavuliwa upadre kavuliwa ubalozi na muda si mrefu atavuliwa uraia make ana chembechembe za uhaini.
 
Back
Top Bottom